Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MR PRESIDENT LAUNCH

His Exellence  and mtu mfupi

wadau wa filamu
uncle Hashim
Amber Rose
mheshimiwa Komba

Kodac moment ladiessss
Vivie
msosiii



ninaweza thubutu sema kuwa it was sucessfully one ,yaani watu walifurika sana,hongera sana Steve Nyerere inaonyesha wewe ni mtu wa watu dady,mimi hapa nilitoka home kwenda kempiski katika harusi lakini nikasema lazima nipitie Movenpick kum support Nyerere,hongera sana kijana its a good start

11 comments:

dinah said...

the party was nice sintah but my concern ni amber rose hebu nisaidie hivyo vitu shingoni alikosea kubeba au ndo swagaa lol! madada du wa mujini wana vituko jamani

Anonymous said...

uyo amber rose sijui mh hpna ni ushamba na hayo ma head phone jmn kuiga kazi kwann usitoke kivyako mpka kweny maparty na hayo mavitu????????????????na shoga yako Sadaah mwambie hakitaka ivyo vinguo hapunge uwo mwili mna mpka kichefuchefu cos halikuwa mzr halipokuwa anasoma Green.

Anonymous said...

Amber Rose, huyo ni attention sicker. Au hizo head phones alimaanisha iwe necklace amechishe na viatu? Mhh, anything too much is.. Kwa kweli hapo sijaelewa labda na nyie wadau wa blog hii mnieleweshe kidogo hivi kuvaa head phones tena kwenye harusi ni kitu gani!!!!!!!!!

Anonymous said...

Ushamba mwingine jamani.com how can some wear headphones kwenye harusi for God's sake au anatafuta attention!!!!. kuwa star kazi jamani.

Anonymous said...

Seriously vitu vingine vinashangaza duniamy dear Sintah acha watu wakuseme tu maana kwanza wewe ni mzuri, uko juu, unafight ile mbaya maisha na isitoshe hata kuvaa kwako kunaeleweka hayo ya mpk head phones kwenye harusi hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa dunia inavituko hii.

Anonymous said...

Mimim hii hapa nimecopy na ku paste naomba kama kuna ambaye anaweza kutujibu hapa pleaseeeeeeeeeeeeee;
Why would you wear Headphones to a wedding??A wedding is an event where people mingle and have fun with the newly weds..please SOMEONE explain to me why she has them on!!!WHY????

Anonymous said...

Mi nilifikiri niko peke yangu niliyeshangazwa na head phones tena kwenye harusi hahahaaaa. Nilishangaaa kweli mdau uliyesema huyo ni attention sicker haujakosea. bado hajaweka hair bands kwenye kichwa chake lol!!!! mi nachekaga saana. Kumtoa mtu kijijini rahisi sana ila kumtoa ushamba si rahisi.

Anonymous said...

Hahaaaa, nasubiri wabongo wafike maofisini kwao mi nilikuwa sijaona hiyo ya headphone, sasa hapo ni kwenye harusi jamani? hembu nipeni link ya kwenye harusi. Amber Rose, hivi ni kwa nini watu wanapenda kutumia majina ya ma super star wa nje? kwa nini usitengeneze la kwako? Ninachojua wengi wanaokuwa masuper star ni wale wanaotumia local names eg Kidoti,Ila nimegundua watu wanaotumia majina ya watu hawajiamini au hawajui wanachokifanya wakidhani kwa kupitia majina yale watakuwa masuper star.

Anonymous said...

I HATE WOLPERS STYLE TOO MUCH, AMA KWELI ALITOKEA KWENYE PROMOSHENI KKOO

Anonymous said...

Jacky wolper massawe wewe ni mrembo lkn uvaaji wako unakuangusha wa kishamba shambaaaaaaa

Anonymous said...

I hate more than you can never image, what kind of style is that? na kwa nini asitumie jina lake eti Amber Rose, fake and you will never be Amber Rose because Amber Rose create his own style na sio ww ku copy na pest.