KITABU ! KITABU ! KITABU! " USAGAJI NA UKIMWI TANZANIA: Chanzo, Athari & Suluhisho "
Inbox x
Inbox
| Dec 1 (6 days ago) | |||
|
Habari za leo Sintah , tunaomba utusaidie kuweka tangazo letu kwenye blogu yako.Tunatanguliza shukrani zetu za dhati kwako.
USAGAJI NA UKIMWI TANZANIA : Chanzo, Athari na Suluhisho,ni kitabu kinacholezea chanzo cha wanawake kujamiiana na wanawake wenzao, Athari wazipatazo wanawake wanao jihusisha na tabia hiyo hatari na isiyo faa katika jamii ya watu walio staarabika kama watanzania, pamoja na njia sahihi za kisaikolojia na kiroho za kukabiliana na tatizo hili, kwa kulifanya lisiendelee kufanyika katika jamii yetu pamoja na kuwasaidia waleambao tayari wameshatopea kwenye tabia hii hatarishi kwa maambukizi ya v.v.u waweze kuachana na tabia hiyo.
SOKONI LINI? : Kitabu hiki kitaingia sokoni tarehe 15 DISEMBA 2011.
BEI YAKE : Kitabu hiki kitauzwa kwa gharama ya Shilingi Elfu Kumi Tu ( Tshs. 10,000/=) za kitanzania.
USAMBAZAJI : Kitabu hiki kitasambazwa katika wilaya zote za Tanzania Bara na Visiwani na katika Nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki . Vilevile kitabu hiki kitasambazwa kwa watanzania waishio katika nchi za BOTSWANA, SOUTH AFRICA, UK,USA, CANADA, na UNITED ARABS EMIRATES.
BOOKING : Kwa wasambazaji wote wakubwa kwa wadogo waliopo katika wilaya zote za Tanzania Bara na Visiwani, wasiliana nasi kwa simu namba:
0719376783 AU 0688616690 AU 0752319341
maelezo zaidi tembelea blogu yetu : http://www.mambopublishers.blogspot.com//
Sintah tunatanguliza shukurani zetu za dhati kwako na tunakutakia afya njema. Asante na kazi njema.
USAGAJI NA UKIMWI TANZANIA : Chanzo, Athari na Suluhisho,ni kitabu kinacholezea chanzo cha wanawake kujamiiana na wanawake wenzao, Athari wazipatazo wanawake wanao jihusisha na tabia hiyo hatari na isiyo faa katika jamii ya watu walio staarabika kama watanzania, pamoja na njia sahihi za kisaikolojia na kiroho za kukabiliana na tatizo hili, kwa kulifanya lisiendelee kufanyika katika jamii yetu pamoja na kuwasaidia waleambao tayari wameshatopea kwenye tabia hii hatarishi kwa maambukizi ya v.v.u waweze kuachana na tabia hiyo.
SOKONI LINI? : Kitabu hiki kitaingia sokoni tarehe 15 DISEMBA 2011.
BEI YAKE : Kitabu hiki kitauzwa kwa gharama ya Shilingi Elfu Kumi Tu ( Tshs. 10,000/=) za kitanzania.
USAMBAZAJI : Kitabu hiki kitasambazwa katika wilaya zote za Tanzania Bara na Visiwani na katika Nchi zote za Jumuiya ya Afrika Mashariki . Vilevile kitabu hiki kitasambazwa kwa watanzania waishio katika nchi za BOTSWANA, SOUTH AFRICA, UK,USA, CANADA, na UNITED ARABS EMIRATES.
BOOKING : Kwa wasambazaji wote wakubwa kwa wadogo waliopo katika wilaya zote za Tanzania Bara na Visiwani, wasiliana nasi kwa simu namba:
Sintah tunatanguliza shukurani zetu za dhati kwako na tunakutakia afya njema. Asante na kazi njema.
Reply | Forward |
No comments:
Post a Comment