Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MSG YA MANGE KWA WADAU WA U TURN NA PS BLOG

HI
  jlo-tz
      wape hii kwa wale wanaokuchukia
HAHAHAHAHA NIMECOPY NA KUPASTE HII KITU KUTOKA KWENYE BLOG YA UTURNS AND AM SO HAPPY WITH THIS

Penny,Wema and JLO tz....chezea...

Alafu guys, sina beef na JLO,

SHE IS MY GIR, Nimemjua siku nyingi mnooooo

so acheni kutengeneza story...

Mie nikiwa na beef na mtu wala hakuna shida ya kuanza kukisia maana ntamuweka humu mnisaidie kumchambua kama karanga...hahaha

Pia acheni kumsema JLO, kila mtu ana uhuru wa kublog anavyotaka yeye

kama hupendi alivyo usiingie kwenye blog yake.

otherwise naombeni muache kuleta humu comments za kumshushua

msijeniletea balaa na JLO bure...



YAN WAMBEA WATAJIBEBA WALE WANAOPENDA KUTENGENEZEA WATU MABIFU
BY
JULIANA DEUS


Ninamjua Mange tangu na tangu,tumelala hostel mabibo sana,ndo maana mnapopeleka maneno ana wachora maana ni my gal sasa na ananijua vizuri kwamba mimi si mtu wa ma beef ni mtu wa kukwambia live na nasepa
sasa peleka umbea wako katika blog nyingine huku huwezi kumsema mama Bhokenzo na kule hamuwezi kumsema j wake lo
iloo,mmeshushukaje loo,muniwache, muniwache na Mange wangu,najua wewe kimbelembele unayepeleka maneno kule  unanipenda sana na unatamani kuwa kama mimi no wonder unanipiga vita, just come and ask how i penetrated na sio kukaa na kuponda ujinga

jlo na Mange  ni one love forever

18 comments:

Anonymous said...

Sinta umepungua.....usiache mazoezi na usijisahau kwenye chakula na kula sana...endelea, umefikia bazuri...ila hiyo mikono cjui utaipunguzaje...Gym kuna mazoezi ya mikono....Very nice..nimependa....ulikuwa unaenda pabaya dear....January ikianza more result...eeehe

Anonymous said...

hii inaonesha wazi kuwa, peke yako hujitoshi,hujiamini,hujipendi, hujijui, hujithamini, hujitambui,huna muelekeo,hujijali, kwani mpaka mtu mwingine akutambue ndo unakamilika,grow up girlie.

Anonymous said...

ukishangaa ya musa utayaona ya firauni...na kwa nn ukasubri hadi upate endorsement ta mange ndio uweke hii post?ungeiweka kitambo

Anonymous said...

ok, tutaitunza hii msg.

Anonymous said...

mimi siwaelewi hawa watu wana spend time kumchamba mtu kama vile wanamjua..

Anonymous said...

Sinta achana na watu wasiopenda maendeleo yako hao wako siku zote kwa sababu hawana chakufanya ndio maana wanakuonea wivu wanatamani wawe kama wewe lakini hawawezi,cha muhimu mpendwa focus na maisha yako.

Anonymous said...

HAHAHHAAH niko happy mbaya coz bifu sio issue,issue kusaka hela bwana

Anonymous said...

jaman naomba muendelee hivo hivo lohh haters mpooooooooooo

Anonymous said...

atakae ponda ana lake jambo na wewe j wake lo

juliana deus said...

mi mwenyewe am happy kwa kweli

Anonymous said...

Mimi nakufahamu kwa kupitia Luninga na vyombo vya habari pamoja na hii blog blog yako. Kiukweli mimi nakupenda sana na natamani nizidi kuona makubwa juu yako.
Kuhusu ugomvi na Mange au na mtu yeyote sidhani kwanza you look polite na mstaarabu japo kuna sehemu unakuwaga unaharibu unapoblog. Kwa upande wangu nadhani kuna group ya watu au aina ya watu fulani wanachuki na wewe especially ma superstar mchwara ambao wanatak kuwika kwa nguvu zote sasa wanajaribu kukuchafulia na kuonekana hufai. Sisi watembeleaji wa kawaida wa blog yako sidhani kama kuna mwenye chuki na wewe haswa haswa ni lazima kuna kundi B ndo hawapendi maendeleo yako.
Cha muhimu usihangaike nao na wala usiumie chochote ukiona wanakuponda jua wameumia sana na mafanikio yako pia haina haja ya kuwajibu mama wewe pasua anga vibaya mno fanya vitu mpaka washangae endelea kutupa raha kwenye blog.
Jane wa L

Anonymous said...

Leo na hiki kibaridi na kazi zimepungua ninahamu ya ku comment sana. Haya vishambenga na wakome kabisa. Kwanza hata ukiwa na ugomvi na mtu unawahuu. Nilisoma kwa Mange nikampigia na makofi saaafi sana. Unajua ukianza kuonyesha mafanikio wakukuponda ni wengi sasa kazi kwenu. wenye chuki wa mji huu.
Mastar wakibongo jamani kila mmoja afuatilie maisha yake na kufikiria kitu cha kumuweka busy kazi mmekalia umbea tu na uchonganishi Sintah hana chuki na mtu jamani mwenyewe kashasema zusheni lingine.
Jane wa L

Anonymous said...

LOL naona unajisikia upo mbinguni kuandikwa kwenye blog ya mama bhokenzo! lol

Anonymous said...

wanaona umewazidi kwa kila kitu ndiyo maana roho zinawauma mbayaaaaa.chezea sinta weyeeeeeeee utalala hoi bibi.luv u Sinta and keep it up.

jane bomba

Anonymous said...

unajichoresha tu. nani anamuda wa kumchukia mtu saa hizi

dinah said...

mti wenye matunda ndo unapigwa mawe always you know what kusemwasemwa ndo kumefanya blog yako kuwa maarufu all over the sudden; usisononeke believe kuna watu hawaendi chooni mpaka wapitie blog yako kwanza. ila endelea kuupdate mara kwa mara big up!

Anonymous said...

knowledge is true power.

Anonymous said...

GROOOOOOOWWWWWWWWWWWWW UPPPPPPPPPPPPPPPP girlfriend.!!!!!!