Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

SINTAH''S WORDS-JUDGE ON HOW NOT ONE FALLS ,BUT HOW SHE RISES

I believe in God the father almight,the creator of heaven and earth,
kila kitu kinawezekana im so happy Jacky's book is out na nimechangia sana 4 pages sio mchezo

I BEG TO DIFFER IS OUT,GET YOUR COPY NOW

DONT 4GET SINTAH'S  TSHIRTS ARE OUT  MOJA INAUZWA 10,000

MBELE INA PICHA YA SINTAH

NYUMA IMEANDIKWA JLO

BOOK NOW

mmechonga sana na jua mtachonga lakini nani zaidi ya Mungu wangu endeleeni kuongea wakati mwenzenu napiga hatua tarehe 5 dec ndani ya SA,tarehe 10th  ndani ya UN base in Entebbe inaitwa aluta continua

Dar nakuja karibuni
on sat ninaharusi ya Adeline Mlimani city at the same time sauda's first meeting wauuuu cant wait


jlo words from Adiss Ababa Ethiopia
jana alikula dinner na UN deputy Secretary Sheraton hotel Adiss'

sihitaji kuongea mengi zaidi ila watu wa karibu wanajua sana kuhusu mimi ndio maana wamekaa kimya


lol mimi miss u so much my wadau nimetuma hii msg kwa my IT guys ila kuanzia jumapili mtakuwa nami
stick around kuona jacky's bridal shower nimeasahau my cable,hata mkanda jamani maana nimekuja kikazi zaidi so came wit one jean ,nimekuja na nguo za kiheshima tu,nimenunua mkanda Duty free maana napita VIP mtanunaje lol
this is just the begining,mengi yanakujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa


IT dept on behalf of jlo Via phone

19 comments:

Anonymous said...

Kwani duty free ni kwa wanao pita VIP tu?
Sio kosa lako mdada..

Anonymous said...

Hahahahhaaaaaaaaaaaaaaaa jamani, acha tu nipite mweee huyu bi dada ataaogeshwe vipi hawi msafi sasa kuna kipi cha kumringishia mtu hapo. kula dinner uwiiiii, we jifanye mjanja sana kuliko Mungu kwa kuwaringishia watu likikutokea la kukutokea nadhani utaelewa.

Anonymous said...

Ohhh jamani huyu Sintah kweli hamnazo anatafuta umaarufu kwa nguvu zoote maskini weee. Fanya vitu vyako vionekane tu hainahaja ya kutambishia watu mwenzangu ungejua watu unaowaringishia tuko mbali sana ila daily tunapiga magoti na kumshukuru Mungu kwa matedo yake makuu ktk maisha yetu. Be humble

juliana deus said...

jaman mi nahitaj hiyo flana coz i luv the gal so much kwa kweli ni mfano wa kuigwa wengi huwa hawapendi kurudi shule bt for her she did it goooooooo galllllllll so nitaipata wapi hiyo t-shirt jaman napia kuwe na size mana wengine miili midogo km mm

Anonymous said...

hongera Sintah...ila kwa ushauri tu usingeandika Jlo kwa hizo tshirts coz unampaisha Jlo, ungeandika Sintah tu hata mi ningenunua, but Jlo, no pleasee.

IT said...

hahaaaaaa sorry hii ni Diplomatic duty free aliyoingia yeye,sio hizi za kila mtu,kubalini tuu mwenzenu kapiga hatua,umeshawahi kukaa na kula na UN dept secretary?tena katika mkutano?halafu jlo ni maarufu sana sasa anahitaji umaarufu gani?hujiulizi kwanini siku hizi h act movie za ajabu kwasababu a little bit of education helps her a lot ,mnamuonea gere jamani mwenzenu katoka ipo siku mtasikia anafanya UN sijui mtajikata shingo
ndo nimewapasha hayo hapiti tuu general anapita VIP lounge na analala Sheraton luxury hotel per night 300$ chezeya yeyeeeee

Anonymous said...

kweli hamnazo.people are soooooooooooooo stupid.mnawezaje kuandika huo upuuzi? f@>>.k!

Anonymous said...

IT Huo ndo mwisho wako wa kufikiri au ulikuwa unaendelea?.............

Anonymous said...

300$ excuse me, WTh???????????mbona hela ndogo hivo hlf mnajishaua hivo, loh sintah mashauzi yamezidi hlf kama una beef na mtu hivi unayopost uku yaan seriously i dont get it

Anonymous said...

Hahahhahah, kweli duniani kuna mambo!! hata maandiko matakatifu ya Mungu yanatuelekeza tujisende kujikweza mbele za wenzetu kwa maana hivyo utajifanya kuwa juu ya Mungu..Soma Biblia Luka 6:45. matendo yako ndio yadhihirishie ulimwengu jinsi ulivyo na wala si maneno yako! Sisi tunafurahia maendeleo yako lakini huna haja ya kujikweza kwa jinsi hiyo. Badilika mdada. Zingatia sana mistari ya shukrani kwa Mwenyezi Mungu na wote waliokusaidia hadi ukafika hapo soma 2 WAKORINTHO 1: 10-12.

Anonymous said...

kalimbuka, akikua na kuzoea vitu vidogo kama hivi ataacha.

Anonymous said...

IT, kweli utawajua watu kwa ufahamu wao...mbona pole weee..!!!!!!bora ukanyamaza kimya watu wakadhani ni mpumbavu, kuliko ukafunua mdomo na watu wakathibitisha kuwa kweli ni mpumbavu....again, pole weeeeee

Anonymous said...

Lol we IT ndo hamnazo kabisaaaaa bora ungekaa kimya eti $300 ndo nn sasa acha ushamba pesa ndo sana hyo mtu anaspend kwa saa moja tu sasa yeye analala the whole 9t kwa hiyo pesa ndo unasema chezeaaa??? Kweli ushamba zigo la kuni

Anonymous said...

IT ndo mana sintah kakupa kazi humo mana akili zenu zote sawa maviiiii matupu ,,jamani napita tu hahahahahah.

mie said...

IT wa mashuzi,hovyoooooooooo...

Anonymous said...

mwenye blog na IT WOOOOOOOOOOOOOTE mawazo mgando

Anonymous said...

ndugu unayepita angalia usijikwae tu, maana ya firauni na Musa yamenishangaza ila ya Sintah na IT wake yanakwaza, hahahahah, vituko tupu, NILIKUWEPO.

Anonymous said...

Kweli akili ni nywele Kila Mtu anazake Mwengine anasuka Mwengine ananyoa... Haya usharudi addis !?!?aaa bbb bbb bb

Anonymous said...

Watakao vaa flana yako ni wajinga wenzako yani nijikute tuu eti mbele sura lako nyuma jlo????mmh!never ever sijui kwanza huoni aibu kujiita hilo jina sababu hadi ulipofikia limekulostisha sana lakini huelewi tu hadi sasa hata shule haijakusaidia mjinga mmoja wewe kazi misifa tuuu....