Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

TANZANIA,DAR ES SALAAM MKO TAYARI,SIKIA HII MAANA SI YA KUKOSA

huwa inafanyika mara moja tuu kwa mwaka na ni siku ile ya kilele cha ukimwi duniani,sasa basi mahala ni pale pale sehemu ya waastarabu double tree hilton masaki
PS blogspot imepata bahati ya kupata executive table,unataka ku join katika hio meza?ikiwa kama wewe ni mdau wa hii blog na unataka kukaa meza moja na jlo bongo wala usipate shida
just call me on 0652 112071 utanipata mimi direct
mchango ni laki moja tu na ninatoa nafasi 7 za upendeleo kwa wadau tukae pamoja tujumuike
naanza kupokea hela kuanzia leo mpaka tarehe 15th november
kumbuka hii ni executive table
vazi ni kiwalo cha red anza kutafuta basii

TANZANIA RED  RIBBON FASHION GULA

100,000THS Double Tree Hilton 1-12-2011

                                            jlo bongo

8 comments:

Anonymous said...

Mimi kwa kweli kama mimi huwa ninakukosoaga sana kwenye hii blog yako kwa sababu tu siyo chuki ila ni upendo wa kweli nilionao kwako.
Leo nikusifieje jamani maana naona hata vya kukusifia havitatosha kwa kweli umependeza saaaana. Kuanzia make up, nywele, vazi ulilovaa yaani nakuangalia mara mbili mbili natamani nikuambie hembu simama nikuangalie vizuri. Dada umependeza saana natamani kila siku uwe hivi pamoja na makeup yako.

Anonymous said...

Achana na hiyo Jlo leo umetoa kitu kinachoeleweka kwenye blog yako haina majungu, haina yale mambo ya uswazi hapo kidogo imeanza kuonekana kama blog ya mtu aliyeenda shule. Nitakupigia tuwe pamoja

Anonymous said...

Utafikiri kuna kitu unataka kuniambia, kweli umependeza saaana. Tutakuwa pamoja my dear. Jane wa L

Anonymous said...

You very lovely and innocent..me like:)

Anonymous said...

hio laki moja unatoa unapata na msosi puls vinywaji au ni kiingilio peke yake?jib ili tujipange kabisa

Anonymous said...

yani natamani nipae kwa jinsi nilivyokuwa na hamu ya kukaa na wewe meza moja,but am sadly coz nipo mbali mama.i wish one day sinta utatafuta siku maalum kwa ajili ya mashabiki wako.luv u and keep it up!

jane bomba

jlo said...

hicho kiingilio kina cover kila kitu so jipange halafu huo sio ugali ni chumvi ndizi na samaki
jane b na juliana deuce pse get in touch with me
nipigieni

happy said...

umependeza mtoto mzuri