Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

WATU PIPOOOOOOOOOOOOOOOOOOO YANGA YANGA YANGA

                      jezi hapa ni mbele
              nyuma ya jezi


                         
diva jockey,Amber Rose &Jlo
don u wish ure gf was beautiful like us


                                           
                                 my galz with kibawizo


huyu dada aliwachengua wengi pale uwanjani alipiga danadana nyingi tuu,ila aliniboa sana maana kila atakayempa hela alikuwa anapiga magoti mpaka  mimi na my ladies tulimuita maana sisi tulikaa VVIP(VERY VERY IMPORTANT PEOPLE IN TZ)tulipo mwambia akaacha kupiga magoti sasa tuka enda naye sawa sio vizuri kumpigia magoti kila mtu ni wachache na our Father in heaven tuu but all in all she was great



                                               huyu ndio yule dada wa danadana




martin wa Tanrose na dada


NILIOKUNWA NA UCHEZAJI WAO

asamoah
fabregas jamani huyu kaka anacheza
mwape akionyesha nimewachinja

7 comments:

Anonymous said...

we dada acha kujifagilia important ppo utakuwa ww kwa lip ulilofanya hasa TZ hii, utabaki kuwasifia wenzako tuu mbona wapo wengi wenye mafanikio lakin hawajisifii kipumbavu kama ww, itakuwa poa sana usipobania comment yangu

Anonymous said...

dah! wivu homa..we mdada uliyecoment kwanza mbona umeumia hivyo sintah kujisifia? Blog yake, sifa zake sasa kinakuuma nini! sifa ziwe za kweli za uwongo jamani si yeye. kama vipi we unasoma unacheka tu u dont have to take it personal bwana!!!

Anonymous said...

nawapenda yanga hadi basi! yani sintah natamani kweli ningekuwa hapo national stadium ON THAT DAY....but majukum ya kazi na kuhangaikia maisha sikuwezi..rafiki zangu wengi ni SSC supportres...including my man! WALINUNAJE!!!! BIG US SANA DAR YOUNG AFRICANS... KUTESA KWA ZAM WAJEMENI..MUNGU WETU SOTE NA HANA UPENDELEO...EFFORTS + DETERMINATION...

Anonymous said...

Nakupa big up mdau hapo juu, halafu anajidai don mind sasa wakati watu wanataka kumsaidia yaani ana sifa za kijinga sana...mbona huyo JIkate mwenyewe asijifie na tanzania nzima inamkubali..kizuri chajiuza dada acha watu wakusifie kha!! Halafu ndo msomi sasa...hahahahhaha

Anonymous said...

Jamani vipi tena mpirani na high hills huyo Joket nilifikiri ni mjanja kumbe .........!!

Anonymous said...

dada wa wa2 ana adabu eti u n ur ladies mkamwita pembeni na kumkataza asipractise wat she has been tought by her parents una dhani yeye ni nung'a yembe kama wewe?

Anonymous said...

mwanamke domo kama la jokate