Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MISS TANZANIA WINNERS PARTY AT PARADISE HOTEL BENJAMIN MKAPA TOWER

                                  sintalicious and sylivia
                       brothers and sisy

boijojo and mmmmmmh




                                Aminatha Keita

                         nothin but confidence
        my galz and i




       brothers and jlo


                     Double S


                     

15 comments:

Anonymous said...

nilipoziona picha hapo juu mashallah umependeza SANA ila nilipofika chini mmhhh hayo mapaja please yafanyie kazi,ushauri huu ni kwa roho safi wewe ni mrembo wallahiii !!!

Anonymous said...

wewe bwana kwenye nywele na make up wali upo juu tena juuuuuuuuuuuuuuuuuu ila nambie tu ki2 kimoja ile gym ulosema unaenda?? kingine tafadhali km huendi pliz pliz pliz nenda yani usizembee nasema ivi coz kuna ki2 nimeona kwenye picha.zingatia shoga u cn do it i knw

Anonymous said...

wewe ni mzuri ila hizo makeup jamani bado hujajipatia kabisa maana unaonekana kama albino huo uso

Anonymous said...

Aminata naona umri unaenda au picha tu

Anonymous said...

unaonekana umepungua sinta ila nguo imekushika sana umependeza ila make up kidogo jaribu kuibalance ni hayo tu na ushauri wa bure kwa nini unajiita jlo sinta wakati ata therusi umfikii napenda unavyojiita sintalicious anayekushauri anakupenda

Anonymous said...

kweli mdau hapo juu,aminata anaonekana umri umeenda sana,anaonekana kama yupo kwenye miaka 40 naa hivi!!!!

Anonymous said...

Mapowdeeerrrrr jamani yamezidi kama mmepaka Johnson baby powder? Hebu mtazamani huyo msichana aliyevaa nguo ya kihindi alivyopendeza usoni.

Anonymous said...

Hongera sana mrembo umefanana na Sauda Mwilima hiyo rangi yako ya uso

Anonymous said...

For real navutiwa sana na wewe sinta, yani katika fans wako mie navutiwa na wewe toka ulipokuwa kwenye fani ya uigizaji, na nafurahia sana the way u move up, GOD bless you. Kitu kingine naomba unisaidie nimeipenda sana hiyo lipstick yako, unajua huwa nimenunua za red kibao lkn bado huwa sipatii red kama hiyo, so pls naomba niambie umenunua wapi na No. ngapi? na lipshiner if possible.
Thanks, Glory

Anonymous said...

MWE !

Anonymous said...

Rangi ya usao nzuri sana + mipaja safi sana = hongera sana haya mwaya yetu macho na masikio

Anonymous said...

kwa mara ya kwanza imebidi nichangie,that boygeorge na mmmmhhhh...!cjaipenda at all coz huyo jamaa ana mke mzuri haswa na watoto 2.att list sehemu kama hizo angeenda na mkewe sababu huyo hawara c mzuri wala nini...! ni uzinzi tu unamsumbua,anaboa

back to u, wow u luk gud as always mi nilikupendaga kitambo tangu enzi zileee za kaole. lips zako mashaallah. lv u

Anonymous said...

ulipaka nn uson?!

Anonymous said...

amekuwa kama vempa, sijui ndio inavyoandikwa hivyo, nadhani wadau mmenipata.

Anonymous said...

Miss Mikorogo
1. Maimatha
2. Sintah
3. Suada Mwilima
4.Dida wa mchop's
5.
6