Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

THE CRAZIEST PARTY EVER


Oprah and jlo
oprah,jlo&Sir Elton John



shughuli ilianza namna hii
nilienda kupiga  picha za blog kwenye baby shower but i was  late,si nikafika shughuli inaisha jamani maana nilipita kumsalimia hubby si unajua tena lazima ahakikishe mali zake kwanza(lol)
lakini nikakutana na my ladies tukaseme safari moja inaleta nyingine

Nyumbani Lounge tulifika hivi

elton john



     handsome wa machozi band


                        linah baby


inaitwa aluta continua Run way lounge tuliwasili



   sintalicious and mama kibunju


             hilda na diva



                                              tid



fa and sintalicious
diva na mama kibunju

                  martin with the boys

11 comments:

neema mabinza said...

waaaat did u say? sr elton john? ;;h my GOD..anyways ts not good to judge ppl.ulipendeza sinta vp zoez limeanza?

Ald said...

dear sister sinta, i am your fun, i like you........i read you mention something like ''my hubby'' Please me know your life in side B, i like your efforts.

Anonymous said...

msaada jamani,hivi hayo majina mnayopewa au mnayojipa yanaendana na matendo ya wenyewe original au??manake sir Elton John?? shoga?? au mnatak tujifunze nini toka kwenu? hata ukiibania msg delivered!! napita tuu.....

Anonymous said...

hayahaya hapo chacha tz kwisneyyyyyy

juliana deus said...

sasa jamn km bilali antaka aitwe ivo ye sinta atafanyaje na mnawajua wa2 wa typ iyo mi namjua bilali toka anasoma biafra jaman kwny graduu wacha aongee kifaransa mmhh na ivi tulikua njuka na wao walikua wanamaliza tuliona anajua kishenziiii mhhh bilali mashauzi

Anonymous said...

Jamani mbona TID katokea vibaya,wakati sisi tunajua TID ni bonge la Handsome

Anonymous said...

Na huyo nae shoga wala usijali mpenz RELAX.

devil said...

sir elton jonh is a gay hahahhahah acheni usenge nyie eti nini oprah sinta kuna watu ambao utakiwi kuwaweka kwenye blog yako kabisa kwani awaendani na blog yako ya kiswahili sana hilda afai kuwa umu bibi weee uyo wa kwa URUDI TEH TEH TEH umu we weka hao washamba wenzio kina oprah na mashoga hao

Anonymous said...

uyo TID nae unga umemchoshaaaa jamani nyie wasanii wa bongo angalieni hayo sio maisha kabisa

Anonymous said...

sorry sinta,kuna binadamu amevaa nguo za kike is he a gay??kama ni gay dunia imeisha and please usiwe unaweka watu kama hawa kwenye blog yako.

jane bomba

Anonymous said...

jlo,oprah and sir elton my foot....y u being fake guys?pls stop all this and be urself..stop changing ur names and u dnt look lyk them...atleast mngekuwa look alike tungewaelewa bt hamfanani nao hata kwa ukucha hao the real jlo hafanani na sinta,na huyo oprah wa tz hafanani na the real oprah,na huyo elton john ndo kabisa ....jikubalini hivyo mlivyo au mnajua mkitumia hao majina mtakuwa superstars?atleast mngekuwa mnafanana nao bt nyie hata hamfanani nao...