Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

AUNT'S BIG DAY WAS EXTRA ODINARY

watoto wakipokea misaada
sintalicious
eti na mimi nilitoa zawadi
                                             Mrs Diamond,jlo na cheni
ladies
               mwanamke wifi hasa ukiwa naye

my ladies and Nyerere
tunaendeleaaa



luiza nad i
shost
                  belina na bibi harusi mtarajiwa




                     kwaito twende sasa chezea bongo celebrity
       



sidhani kama ninahitaji maelezo sana
ni hivi Aunt Ezekieli alisherekea birthday yake na watoto yatima pale leaders akaona si vibaya atuite na sisi wakubwa wenzie
Mungu akusaidie kwani umewakumbuka hawa watoto Aunt

12 comments:

juliana deus said...

mpe hongera zake na pia iko poa kinona kwa ushirikiano mliouonyesha big up to aunty ezekiel all cellebrit. ps jaman cku izi hata utoi comment ninazoandika jaman nimekufanya nn bt all in all luv u gal

Anonymous said...

Mdada wewe ni mzuri nakukubali na naona umeanza kufanyia body yako kazi. Ila tu acha uswahili yaani I wish I could say what I want to advice you in Swahili. natamani uwe classic yaani ubadilike kuanzia misemo yako inakuwa imekaa local sana kama wale wa mama wa Tandale au wa kuwekeana taarabu au kuvaliana kanga

Anonymous said...

Hongera sana Gwantwa kwa kutimiza miaka kadhaa na kuamua kusherehekea siku yako ya kuzaliwa na watoto yatima. pia mlipendeza sana,seriuosly. ila najua wajuaji watakuja na kusema yao kuwavunja mioyo....but deep down hiyo itawakilisha tu ni kiasi gani wamewakubali...gels u look BEAUTIFUL..wote mlipendeza tena sana. Hongera and Happy bilated Birthday Aunt Ezekiel, hope you live to blow more candles! DOREEN.

Anonymous said...

kajala vp tena izo nywele jamani????? kwanini umeziacha zikakukua???? km ni mawig vaa ila kufuga nywele mpz hpn hazikupendezi tushazoea mkato wako ule

Anonymous said...

Jamani mimi wema huwa ananimaliza sana huyu mtoto mzuri si mchezo huo ushape mi hoi, wema ukija kwenye kujieleza ndiyo hatari tupu nampenda na huyu binti

Anonymous said...

Jamani wema mzuri tukiacha mambo mengine ila atulie jamani. happy b'day bidada

Anonymous said...

wema sepetu kapendeza sana,shepu,sura kujieleza sasa ndo usiseme.nampenda sana wema abrahamu sepetu.uko juu mamii.
mama mkorogo sauda mwilima naona umepunguza mapoudaaaaaaaaaa kwa uso

Anonymous said...

Kweli wema ulistahili kuwa miss tanzania we mtoto mrembo haswa punguza machachali yako

Anonymous said...

Sintah hao mabongo movies naomba list ya waliokwenda shule kama wewe maana kila dakika nimesome nimesoma embu wanyambue na hao ambao kutwa unashinda.Kama wewe unajina uko better off kwa kusoma embu tafuta wasomi wenzio sio unahang na form4 leavers sio kujifanya unapaka alafu unacheka nao

Anonymous said...

yani da wema ni nouma sana nampendajeeeeeeeee?

Anonymous said...

tatizo mfupi sana,jlo mwenzio kaenda hewan.happy b'day aunt

Anonymous said...

tuseme ukweli wema ni kiboko yao.......wema mkareeee bwana!!! yani hakudeserve kuwa na huyo platnum,wema anatakiwa ahang out na mwanamme wa maana sana!! tulia mdogo wangu, utampata wa type yako,huyo pimbi mwachie huyo jokate ahangaike nae!!