Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MOMENT FOR LIFE (NARGIS AND IDDY)

ku smile ni kawaida yako
zaynab
uuuuuh mimi mtoto jamani thitaki


liliiiiiiii aiii

Mrs Mziray
haya sasa tu m support gf





                                                  Bongo celebrities

atakeyelibutua wa kwanza nampa zawadi


 long tym kitambo wakati wengine hamjaja mjini ila sisi tulkuwepo
              kekii ya vipepeo

                  maaakuli

                                Iddy weka vizuri  sahani


mama mzaa chema
                                     mashosti twendeni kwenye maakul

ni hapa tuu panaponifanya niwe kibonge
                                             kodac moment

                            kuwa na raha coz its ure day



nawashukuru wote kwa uvumilivu ila ni bibi harusi ndio katucheleweshia uhondo maana  aliniambia ni wait for more snaps but i couldnt wait longer nikaamua kuziweka hizi
nashukuru sana my super dooper mpiga ma photo Musa Mateja kwa nice photos ingawa watu walikupiga majungu ila tunakomaa nao hawajui na hawana la kusema
at the end of the day sisi tuko happy

my special gratitudes goes to Dream galz boutique Kinondoni and Maznat salon
you made my night dont mind as long as i was happy

from me, nothing but confidence,staring,unstoppable,sintalicious,sintah,christine uuuh lastly jlo bongo
ciao


                         there is only one jlo in Tz

27 comments:

juliana deus said...

jaman jaman jaman we mtt wa mwanamke ulipendeza atakae kuponda ana lake limemkaa rohono mhhh jamn nimependa mda wote inaonekana bo harusi alikua akitabasam yes gooooooooo gal its ua day goshhhh so nyc mhhh na maakuli lohhh ilikua poa kiukweli

Anonymous said...

Ligh ungejua sinta ni hiyo sura tu ndo inakusaidia usingejitapa hivyo hiyo miguu mmh!!! anyways Naa umependeza sana na mume wako nawatakiwa ndoa yenye amani na upendo.

Irene.

Anonymous said...

Kweli dada Irene umeongea mh!sinta umezidi bwana heti hata Kina Irene Uwoya ndo ajiite jlo ila sio wee kabisa unachemka sana halafu naona kama watu wanakusanifu tu.

Anonymous said...

Tunaomba utuwekee picha ya mume/mchumba hata bf kama unaye. Tunajua wewe dayworker pamoja na kusoma kwako mana kila cku unawaza jinsi ya kuwafikia kinananii, wao wako level ingine. Jiangalie kwanza ulivyohapo, kuanzia juu hadi chini. Unaishi wapi? Unadrive gari aina gani? Na hapa mjini unajishughulisha na nini au umeajiriwa kampuni gani?

Anonymous said...

Sintah, kama kweli unataka u superstar tafuta professional wa urembo akufundishe ili ukitoka mbele za watu unakuwa wowww hata cc tulianzia huko. Pata muda mwingi wa kujijua na upende mwili wako, fanya mazoezi kunywa maji kwa wingi.

Anonymous said...

pendejaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
watasonyajeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee????????????????

Anonymous said...

tuweke nahizo picha sikuanafunga ndoa tuone jamaani maana tunaona tu kwenye mnuso ndoa je

Anonymous said...

tuweke nahizo picha sikuanafunga ndoa tuone jamaani maana tunaona tu kwenye mnuso ndoa je

Anonymous said...

tuweke nahizo picha sikuanafunga ndoa tuone jamaani maana tunaona tu kwenye mnuso ndoa je

Anonymous said...

tuweke nahizo picha sikuanafunga ndoa tuone jamaani maana tunaona tu kwenye mnuso ndoa je

Anonymous said...

Nargiss na Richard ni ndugu,anyway Nargiss ulipendeza weye Kama Cinderella.

jlo said...

mume,bf, hubby ni wangu nimuonyeshe hapa ili mumuibe kama mlivyozoe this time no no maana wale wenye kazi zao wakijua hiki kifaa cha jlo watakisarandia kwa kazi zote,this tym nop ni my family,na close friends maana si marafiki wote wazuri wengine back stabbers sasa mimi wa nini,na wengine wako kikazi ya u snatchers zaidi
aku babu hubby will not apper anywhwere
copy and paste

jlo said...

hataki huu umbea na ushankupe wa blog,fb,twitter
amesema he was born to make sintah happy
only that

msema kwel!! said...

jlo,jlo,jlo,leo umependeza sn cfa zako nakupa,me ni msemakwel cku ukitoka vbaya nasema na ukiluk mwaaaah!!nakucfia!kwenye hii harus kwa kwel akitoka bi harus unaefuatia ni ww kwa kupedeza!!!U LOOK MWAAAAAAH MY DR!wenye wivu wajinyonge,mtt una sura nzur balaaa!!nywele wamekutengeneza vizur sn!!!

Anonymous said...

Heheheee huyo anayetaka pic za bwanake sinta nani? Mwenzio kashajichokea na maisha kwa sasa anatafuta umaarufu kwa nguvu. Huyo bw wa kumuoa atamtoa wapi? Zaidi sana ataishia kwenda kwenye haruc za wenzie. Anatongoza wanaume ile. Mbaya.

Anonymous said...

Hana mwanaume wa kueleweka. Kuna buzi mean zee au mume wa mtu anayemuweka hapa mjini. Hawezi thubutu kumuweka. Jlo zamani enzi za Juma N au kipindi alipoimba wimbo wa safari. Kipindi hicho ulikuwa mzuri sana. Unachokitafuta kwa sasa utakipata utajutia muda wako. Rafiki wa karibu.

Anonymous said...

Hahaaaaaaa, atajuta haswaaaaaaaa. hakuna mwanaume anayetaka kujulikana anadate kicheche so watu wanakula mzigo wanasepa, kimya kimyaaaaaa. Ndo maana stress hazimuishi huyu dada, kageuzwa daladala

Anonymous said...

mmh jamani mbona mna mambo kila mtu ana mtu wake ambaye kafika ukicheche wake nyie mnaujua kuna mtu anamwita mwenzake kicheche kumbe naye anaitwa hivyo hivyo, cha muhimu ni kumwambia aache kujisifia kupita kiasi anatuboa mnoo kwa hilo.

Anonymous said...

Acha sifa binti,punguza msongo wa maisha yatakuja tu muda ukifika na ukifanya kazi kwa bidii.
Hongera umempongeza Richie kenda Moshi,wewe si uliwahi kuishi Mwanza nini kilikukimbiza huko Mwanza?????!!!!!!!
Na hiyo elimu unayojisifia ni elimu gani????
Wenye elimu zao wametulia hawapayuki, wanapiga kazi tu. Acha kelele na elimu yako ya kuungaunga. Shule si mchezo we mtoto wala haitaki mbwembwe

Anonymous said...

Sinta or whatever you call ur self kwa nini watu msikuz majina yenu mkatambulika kama nyie kuliko kujiita JLO come on girlfriend likuze hilo hilo lako

Anonymous said...

ha ha ha ha nargis kila mla cha mwenzie na chake pia huliwa subiri kuliwa chako na wewe maaana ushakula vya watu sana!

Anonymous said...

cnta ulipendeza mwaego...hongera sana

Anonymous said...

mashoga acheni wivu,sintah ni mzuri hata kama hana mume cjui anatogoza wanaume haiusiani chochote na hii blog.tupendane binadamu siku chache za kuish.

Anonymous said...

inatia raha sn utafikili akuna kufa jammmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm

Anonymous said...

mmependeza sannnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnnna

Anonymous said...

Nargis umependeza sana but sinta punguza kujicfia mtoto wa kike au hujiamini

Anonymous said...

mashaalah sinta au mamaa desh desh umependeza hiyo make up iko mwaaah wachimba chumvi wakaoge wao kila cku kuwaponda wenzao mtu akifanya jambo mpe sifa yake mie cna neno uko juu miaka 1200 endelea kuwakimbiza.kwa mr n mrs idd nawatakia kila la her na mwenyeez mungu awape afya njema.