Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com
                                                       
                                                hivi ndivyo waliingia


                               

43 comments:

Anonymous said...

HAYA HAYA CEMENI MBONA WAKO PAMOJA THATHA? MBONA WAPO PAMOJA THATHA ? WATZ TUPENDANE LOLLLL

I LOVE U SINTA

Itika

Anonymous said...

Watu maneno huwa sijui wanatoa wapi,walisema unaugomvi na u-turn. Binadamu hatuwezekaniki!!.

Anonymous said...

SALUTE.....

Anonymous said...

Sijawahi comment leo naanza kwa kusema shughuli ilipendeza,wanawake tupendane yale yote ni kuweka tension kwenye blog zao ili muangalie

Anonymous said...

Jamani mmependeza sana JLO umetishaaaaaa!! love u

Anonymous said...

Mange na Sinta oyeeeeeeeeeeeee,wabaya mpo....katafuteni kwingine sasa!

Anonymous said...

sauda sauda sauda.....ni nn hiko shingoni? yaani wewe bac tu.

juliana deus said...

hahahhahahah haya sasa kiko waaaaaaaaaaaaaaapiiiiiiiiii mpo wajameni chakachua nikuchakachue nawabwaga kwny tokyo bwaaaaaaaaaaa nyuso ndogo kajisemea dida km nukta

Anonymous said...

Ujinga mtupu

Anonymous said...

Mmependeza sana, Nargis upo juuu,
nafurai kuwaona pretty sintah na uturn pamoja.

NAKUPENDA BURE SINTA WENYE WIVU WAJINYONGEEEEEEEEEEEE

Anonymous said...

Unajua Sinta nimekuja kujua watu wanaopita kwenye hizi blogs ndo wanaowafanya wenye blogs muonekane hampendani,na nyie mkiendekeza inakuwa raha kwao! Umeprove wrong to them! BIG UP gal!

Maggie said...

Nadhani hicho ndio kiatu cha bei ghali ulichokuwa nacho... hahahahhhaah tooooooo looooooooooowwwwwwwww..

Anonymous said...

hahaha mh mbona wajibebe sintah a.k.a jlo wa tz hakuna ubishi maana kivazi chako kimefanya kishuzi chako kitokeze mpaka sisi unatuweka roho juu na ma bf wetu maana si unajua sisi wengine tumepigwa pasi.

harrieth said...

hongera sana jlo

harrieth said...

hongera sana jlo

Anonymous said...

kwani bilali kafuata nini hapo?

Anonymous said...

bilal bilal bilal umefuata nini hapo?

peter said...

funika bovu mama jlo kama nakuona hapo unasema mihogo yao

Anonymous said...

watu sintah sintah weweeeee kimbiza kimbiza

Anonymous said...

nakupenda sana sintah maana hujibu sikuhizi

fatuma mtanga said...

Sinta wa juma nature hongera sana,ila leo sikilizia makombora toka kwa wadau wa u turn kwenye comment

Cherokee D'ass said...

kumbe sinta na mama u-turn dam dam

Anonymous said...

MMEPENDEZA SANA TUNAMTAKIA BIHARUSI BARAKA ZOTE KUTOKA KWA GOD!

SINT AUMETOKA CHICHA ILE MBAYAAAAAAAAA NA HIGH HEELZ ZAKO JAMANI HUYO SHOGA AKO SI ALIFANYIWA MAREKEBISHO YA MAKE UP MBONA BADO TU YUPO TOFAUTI TOO MUCH MAKE UP BANA NA HUYO MAMA MASHAUZI INABIDI NAYE TUMUITE LADY GAGA MAANA MAKE UP ZAKE MIE HOI

SKINNY GAL

Anonymous said...

mbona imekaa kijomba sn hii kp?na huyu saida mwilima ndio style gani ya nywele hiii na hilo jicheni shingoni vituko vitupu hata haijanisisimua hao mastaa wenyewe sijawaona bado humu,bi harusi viatu gani hivi alivyovaa,miguuu imeshindwa hata kusuguliwa ,na hao marangirangi ya njano ni mastage show au,bado sn mpo nyumba rafiki zanguni kina sinta,wewe kidogoo unaridhisha yani una afueni kwambali labda na kiki na mange,lakini yaliyobaki ni matattizo tu hii harusi

Anonymous said...

hiyo meza ya kina mange tuu ndio ya kistaa lakini nyingine matatizo,mwavita humu kama kibibi vile sura,watu wamechokaaaaaaaa lol

Anonymous said...

hivyo vibajaji hela imekosekana nini ya kukodi limo?mbona viatu vyako havina unyayo mwekundu?au ndio feki?unaonekana kama unajipendekeza kwa mange

sintah said...

dear wadau na wale wote mnao comment
kuhusu uturn na ps
nimemmjua Mange K kabla hajaitwa mama kenzo nilimjua kama mumy bhoke,nimeishi na Mange vizuri tuu hatujawahi kugombana ni miaka 7 sasa au 8 kama sikosei namjua Mange yeye anajua hilo nililala kwenye msiba wa marehem dady yake nyumbani kwao Mbezi beach sasa mnaosema nimepiga picha sijui vipi i wish u knew msiwe mnaongea vitu ambavyo hamvijui jackie kavishe,lovness,boi jojo muandaaji wa miss Tz na wengineo wanajua hilo
nimesikitika sana kuona mnataka kugombanisha watu nilitaka tuu kuwajulisha sasa baada ya kujua hilo endeleeni kuongea
sintah

juliana deuce said...

sintah oyeeeeeeeeeeeeee mammy

Anonymous said...

Jlo vumbi

Anonymous said...

SINTA KIUKWELI MLIPENDEZA HASA WEWE,MANGE,MWAVITA NA HAPA NAONGELEA MAKE UP.UNAJUA MAKE UPS NA HAIR DO INAWEZA KUKUFANYA UKAONEKANA SUPER HATA KAMA NGUO YAKO NI SIMPLE.

NAMPENDA ISHA HASA ANAPOIMBA KWA HISIA ILA KUHUSU MACHENI MA MAKE UP NI ZERO MREKEBISHE KAMA UNAWEZA.INABIDI AITWE isha macheni.

SAUDA HIVI HAJUI CHENI SIO LAZIMA SHINGONI?HIYO MAKE UP NDIO BURE KABISA.KWA NINI ASIWE ANAKWENDA HATA KWA MAZNAT AKAFANYIWA MAKE UP KWA TEN THOU ILI ATLEAST AONEKANE NI MTU USONI?

ILA MWISHO HILI SIONGELEI KAMA BIFU BALI NI UKWELI,HIVI HUYU NARGIS ILIKUAJE AKAENDA KUTAFUTA MASOMO WANOSAGANA?HAWA WANAWAKE WAMEACHIKA SABABU YA KUSAGANA NA HILO LINAJULIKANA KWA WOTE.....KWANI KWAO HAKUNA MASOMO KWENYE FAMILIA?NAJUA HAWA MASOMO ALIOWATUMIA AMEWALIPA.HEBU KAMA NI TAMADUNI TUZIFANYE KWELI KWANI NADHANI SI SAWA BI HARUSI KUFUNDWA NA MWANAMKE ALIEACHIKA,au ndo tuiite super stars!!!!

OTHERWISE NAKUPONGEZA SANA KWA HATUA ZA MAENDELEO MDADA,JUA TU KWENYE RIZKI HAPAKOSI FITNA SO ELEWA WENYE HUSDA WATAENDELEA KUKUCHAFULIA ILA NAKUSHAURI USIPULIZE NAO VUVUZELA....SEPA ZAKO NA WAPOTEZEE MBAYA.

NAMTAKIA NARGIS KILA LA KHERI NA HONGERA ZAKE KWA KUPENDEZA.

ALWAYS
MAMA RIQUE

Anonymous said...

thanks to zeze sauda leo hajatoka kituko na makeup, ingawa bado imejaa, but angalau. sema hio kitu hapo shingoni........... sauda bwana kwani hana hata kioo, saa na wewe sinta kwani hujamshauri shoga yako...., haya we.... kushnei

Anonymous said...

sinta,wala usipoteze muda wako kujieleza kwa hawa binaadam,hata utumie fullscape 100 hataelewa ujue mtu akishajiwekea kuwa anapenda watu wawe na bifu ni kazi sana kumbadilisha,cha maana just ignore them,na huyo alocomment kuwa subiri usome comments from uturn hana issue yoyote,mpotezee kwani anataka kuprovoke watu tu!! kuna watu hawana kazi ya kufitini watu tuu. do what makes yourself happy,as u cant make pple happy,its impossible under the sun!!!!!

toxeeqation said...

Picha nzuri sintah..ubarikiwe.

Anonymous said...

anon unaesema thnx kwa zeze...bado sana ni kama alifanya kazi bure, y acngeenda tena kule alipokoselewa kwenye ule urembo wa wakati ule japo arembwe kwenye huu mtoko? sauda bado sana sana, hiyo cheni sasa, kingine tumieni tu majina yenu hayo ya wenzenu hayawafai kabisa, sintah make up yako on point, dida hiyo lipstick hapana kabisa, huyo isha wa kuombewa tu, kaa 2much!

Anonymous said...

WENGINE JAMANI HUWA HAMJIJUI? VIMINI VINA WATU WAKE, HAPO SINTA TU NDIO AFADHALI WALIOBAKI WOTE NI KICHEFUCHEFU. HUYO SAIDA DUH UTAFIKIRI MTU KUCHORA

Anonymous said...

Jamani mimi mgeni ktk hii blog na nimeingia leo nimeona jinsi wanawake wa bongo mnavyopendeza jamani yaani hata mnawashinda wa huku ulaya kama yule nuru the mwanga sijui anajiita maana miguu yke kama fito alafu anapenda kujiweka mbele mbele na mbaya nyie nini siri yenu ya kupendeza mashoga zangu ebu mnimegee kidogo nami nifunguke.

Anonymous said...

cjapenda sauda alivyo toka.inabidi sintah uwe unamshauli shostito jinsi ya kuvaa hata kujimake up.

Anonymous said...

yani sinta ulifunika bovu kwani unamshono wa peke yako mama.

Anonymous said...

Jaman Jl wa bongo blog yako naipenda sana na ongera pia lakini tatizo lako picha zako huzitolei maelezo mfano kweny kichenpart ya nargis hao walioingia na pikipiki ni wa kinanani na wanafanya nini

Anonymous said...

Jaman mbona kila mtu anamsakama sauda,basi ajirekebishe mweeee na huyo kimora lee sijui ndio Salma khaaaa kam aukuni vile

Anonymous said...

TISA KUMI TUNASUBIRI,KPARTY YA ADELINE ITAKUWA NZURI,ILA HAKUNA KPARTY YOYOTE ITAKAYOFIKA YA MAZNAT PIGA UAAAAAAAAAAAAA, SASA HAYO MAPIKIPIKI ME SIJAPENDA UCHAFU MTUPUUUUUU NA BIBI HARUSI HIZO KUCHA ULIONA UBAHILI KUTOA HELA USUGULIWE AU???? KHAAAAA, SINTA UMEPENDEZA MAMA NA ADELINE WENGINE SURA ZIMEWAKAZA KAMA MNAKULA UKWAJU, SINTA WE NI MZURI

Anonymous said...

wewe sinta,dida na sauda mmeiona top three ya mange,kiki na mwamvita??? wasafiiiii wenzenu...sio uchafuchafu wenu hapa,kakojoeni mlale! eti JLO nyoooooooo, hebu usiiaibishe TZ, wakisema eti mtoeni JLO wenu ndo unatoka wewe....tutashindwajeee hayo mashindano!!

Anonymous said...

mmmmmmh,bibi harusi nakupendagaaa,lakini mbona miguu michafu nargis....unajishusha bana, unakua ka sauda!! dem shamba hilo, lenyewe likiwa linatangaza mkipindi wake linajiona limependezaaa,jehuuuuu!!!