Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

EXCLUSIVE RED CARPET MISS TANZANIA 2011

                                                   hebu nicheki
                                                             hot lulu
                                                   belina alikufa mbavu nilipimwambia shemeji anafaidi
                                                  ps and young sis lulu
                                                          super dooper judge Cynthia M
                                              mke mwenza nimeona poz
                                                shostitozzzz
                                                           dida
                                                 lulu
                                                       ni mimi mwenyewe jlo Tz
                                                 kazi ya blog ngumu
                                        Sawasawa au siyo
                                                  jlo &dida




  Haikuwa kazi ndogo,mimi nilipopita Red carpet ya star Tv Millard aliniuliza Jlo unadhani nani atashinda hili taji nami nikageuka kuwa mtabiri,jibu langu lilikuwa ni either of the two,Miss Ilala or Miss Shinyanga,na kweli imeekuwa miss Ilala na 1,Shy no 2.




The night was young, Run way lounge here we arrived




                                                           uuuuwi dida

48 comments:

Anonymous said...

Kama kweli wewe na yule ni marafiki mbona haujamtoa hapo ila umewatoa rafiki zake!!???? naona tena rafiki yake wa kwanza uliyemtoa ni yule aliye-share birthday na mwanae..... What do you want to prove to us!!??? Kwamba unwajua marafiki zake!!???????? Sintah hutakaa umfikie yule yuko juu zaidi yako mamaaa.......Kubali yaishe

darstockholm said...

Dah si kama nitakua nimetenda kosa la jinai kukupa ongera yako Sintah a.k.a Jlo wa Tz kwa haya mavazi maana kila unachotupia mwilini kinasimama vilivyo mtu wangu.Big up sana na kama nyota nakupa(salute)Na si mbaya kama nitampa ongera anaekupangilia haya mavazi kimbiza mbaya mtu wangu upo juuu juuu kama majani anayokula twiga.Inaonekana jana ktk hii miss tz ulikama wao kwa vazi lako.

Anonymous said...

SINTA GAUNI BAYA LIMEKUFANYA MPANA TUMBONI KM MWANAMUZIKI FLANI IVI WA TAARABU YANI BINAFSI ILO VAZI NI 0, DIDA NAE JAMANI BADO ANAVA TENTEMENTE???? VIATU HAVIENDANI NA NGUO LOL!!!!!! MTOTO MDG LULU KAWAFUNIKA KINOMA KWANZA KIATU JAMANI DAH HUYU MTOTO BWANA ANAJIJULIA SN NA GAUNI IMETULIA PIA

Anonymous said...

gauni lako zuri sana sinta, isipokuwa hapo mbele tumbo limeharibu. ..jaribu kufanyia kazi hicho kitambi tafadhali

Anonymous said...

dida kachoka ile mbaya!na umri sasa unakwenda,inaelekea dida analaumu alipoangukia

Anonymous said...

ujapendeza sintaha ata kidogo ila wewe ni mzuri na kila siku mshukuru mungu kwa hilo alafu wewe jlo akigundua unamuharibia jina lake utamlipa huna ata theruthi ya kigezo cha kuitwa jlo sintah nakuonea huruma mdogo wangu hivi nyie waschana wa mjini mna nini nyie kazi kuharibu majina ya watu hii msg inakuhusu wewe ssa ata ukiibana utakuwa umeisoma kimya kimya

Anonymous said...

hotlulu noumer,she always nails t,she wears classy..and she has the body..
i love her shoes..
mlitokamoo jaman.big up
ila Hotlulu hands up mtoto.

Anonymous said...

Sijaipenda nguo yako inaonekana cheapest NA aijakukaa vizuri..angalia wenzio wanaoshonewa NA ma designer wakubwa like mwanvita, I love her dress..unamwangusha jlo Mamie..uzuri ngarama atakuagiza za ngambo poa tu madam ww jlo then vaa Watu wakupe dole ..

Anonymous said...

looking good jlo wa ukweeee aminia mamam endelea kupoteza potezaaaaaaa

Anonymous said...

just to save time..HUJAPENDEZA!!!!!! take it or leave it,utajikeri. Jlo wa bongo my foot,hayo manyama uzembe ya kiunoni unayapeleka wapi? acha kumharibia mwenzio sifa,she's way ahead beautiful than you. Nguo imejikunjaaa,acha kutafuta attention za kijinga,ili watu watembelee blog yako,huna uzuri wowote! Hata ukificha comment,utaisoma kimya kimya,Kakojoe ukalale

Anonymous said...

Hiyo picha inayofuata baada ya viatu vya lace vya lulu imenifanya nicheke nikifikiria unajiita Jlo wa Tz alafu unavyoonekana shapeless,kiuno kimeungana na thighs..

Punguza mashauzi wacha watu wakusifie kwa kile wanachoona maana wao ndio kioo.

Anonymous said...

Kiukweli ukipita kwenye blog nyingine ukiangalia madada wa mujinin unahisi kabsa kuna tofauti kubwa....yaani sinta na mashosti zako ...MMECHOKAAAA..Tofauti tulivyozoea kuwaona wadada wa mujini na nguo za uhakika...Ila taratibuni fanyeni kwa raha zenu msitake kujiweka juu au kwenye chat za wengine msije mkapasuka msamba bure...Mana hata kushine hamjashine kiukweli mmepooooza.

Anonymous said...

mmezeeekaaa ila bdo mwang'ang'ania kuvaa vimini, mngejua mapaja yakichuja yanavyochusha, msingevaa hivyo vimini vyenu

Anonymous said...

sinta nguo yako ya kawaida saaaaaana..I saw it first kwenye blog ya shamim na nikanote hilo..plus kitambi mmmmmmmmmh fanya mazoezi..hukupendeza kama unavyofikir..ungeweka hapa picha za kina Millen,Nancy,mwamvita then compare urself???Lulu amejitahid,kiatu kizur..msiige tembo kunya mavi?/mtachanika msamba

Meggy said...

Afadhali mmemwambia ukweli hana lolote huyu... hiyo nguo uliambiwa unaenda kweney sendoff yako au? Nguo mbaya haijakukaa vizuri sio nguo ya kuingia nayo red carpet hiyo ungengoja wakati juma nature akikurudia ndio uvae kwenye send off yako lol!!!!!!!!!!!!! Umeogopa hata kutuwekea kiatu chako maana inawezekana umevaa yebo yebo.....

Anonymous said...

ckutegemea hali ninayoiona, i thot mambo yangukuwa bambam...kiujumla mmechukiza, hapo Lulu ndio katoka chikopa, mhhh na ulivyokuwa umepania red carpet limekushuka shuuu, cku nyingine we jivalie tu bila kutupa attention hata ukiboronga tutakupotezea, kama unaenda kweney sendoff mvomero.

Anonymous said...

mnaojiita wadada wa mjini kazi mnayo, mbona hivi, yaani dida cna la kumwambia pweeehh, hayo manyama kwenye mapaja mnavyoyaacha wazi na mlivyochuja sasa, khaa vaeni kutokana na miili yenu, sinta ulikuwa unaenda kwenye sendoff wapi, umechukiza sana msema kweli mpenzi wa mungu, mkawaone wale wadada wa mjini wawafunze umjini...

Anonymous said...

mara kimora, mara jlo, c mbaki na majina yenu tu, wengine miwani kama fundi welding, sio kila mahali ni pa kuvaa miwani.

Anonymous said...

Honestly hujapendezaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa bidada...!!! ur dress luk so cheap uwiiiiii more than cheap, hata mimi ningekuwepo ningekufunika lol cant wear that kind of dresssss

Anonymous said...

pole sinta, ila hiyo yote imetokana na ulijisifia kabla hujaenda kwenye hayo mashindano na mbaya zaidi yaani umefunikwa vibaya mno, yaani hujapendeza kabisa ukilinganisha na hao unaowaponda, wao ndiyo wapo juu. Mi nakupenda sana ila kwenye ukweli lazima tuseme, ukiibania poa ila msg sent maana mhusika ni wewe.

Anonymous said...

Sintah take it or lv it! Hiyo nguo haijakupendeza hata kidogo! unaonekana mmama n u still young! I know unaweza kuvaa zaid ya hapo!Napita tu!

Anonymous said...

KWA KWELI KAMA UNAWATU UNASHINDANA NAO ACHA TU,
MAANA HUWAFIKII HATA ROBO.
MI NAONA NI BORA UKACHUKUA USTAARABU MWINGINE.
HONEY YOU ARE WASTING YOUR TIME COZ THEY ARE VERY FARRRRRRRRRRR.

Anonymous said...

Pole nimeona picha yako u-turn akakufuta.

Anonymous said...

Hiyo nguo haijakutendea haki na rangi yake haijakupendeza kabisa, kisha imekaa kama haijapigwa pasi. Nafikiri unatakiwa kuingia kwenye website ya Miriam Ikoa anaelekeza nguo za kuvaa kulingana na mwili au google GOK

Anonymous said...

KESSY WA DARSTOCJKHOLM ACHA PASHAU FULL KIMBELEMBELE KUCOMMENT HUKU AFU KWAKO KULE COMMENT UMEBANA NYOOOOO KUMBE WAONA RAHA KUKOMEMNT EEEEH ACHIA KWAKO KULE NA SINTA NAE AKUSIFIE

Anonymous said...

NI KWELI SINTA WE MASHOSTI ZAKO BADO SN NIMECHEKA NA VAZI LA DIDA NA VIATU VYAKE VYA LAKUCHUMPA NAKWAMBI MBAVU ZILITAKA KUACHANA KWA KICHEKO, WE NAWE GAUGI UMESHONA MWENYEWE?????? UTASEMA MICHELINI HAPO TUMBONI NA UNAVOJISHAUA BASI LOL

Anonymous said...

sinta i know u, gauni limekufanya uonekane shapeless,na shape unayo,sababu ya hiyo mikunjo hapo tumboni.next time kuwa makini na kuchagua.na pia ukiweza kuslim kidogo itakuwa supa juu utaonekana mrefu na utapendeza sana na pumps coz mguu unao!!!huyo kijana anaekusifia hapo juu anatongoza kijanja.halafu wewe kijana unapenda kucomment eeeh?mbona hutaki wacomment kwenye blog yako?basi na za watu kaa nazo mbali!!!

Anonymous said...

sinta i know u.gauni limekufanya uonekane shapeless sababu ya hiyo mikunjo hapo tumboni.kuwa makini next time when u are choosing a dress.halafu ungeslim tena kidogo ingekuwa supa juu ungeonekana mrefu na pumps zingeonekana poa sana n elegant.huyo kijana anaekusifia uongo hapo naona anatongoza kijanja.halafu wewe kijana blog yako hutaki comments wewe huku kwa watu una comment ili?UKIWA MROHO USIWE MCHOYO.nice blog sinta.it will go far!!!

Anonymous said...

kusema ukweli sintah ukupendeza najua unaweza kuvaa but hapo ulichemka kwakweli wakati mwingine uwe unakubali matokeo ndugu yangu maana unajifanya unajua sana. that dress was too simple u can wear better than that tafitaga ushauri wakati mwingine, Mwavita mkammba alifunikla kwa kweli kapendeza kupita hata mamiss wenyewe well done sheria ngowi, sasa bania comment maana ndo zako unapenda usifiwe tu

Anonymous said...

utafikiri unabarikiwa na gauni lako

Anonymous said...

sinta pole dada umeyataka sasa nguo gani hiyo punguza mashauri manake unavyojickia ndio maana watu wanakushambulia sana mmefunikwa na baby lulu wazee ovyoooo

Anonymous said...

hahahhahhahhahah mbavu zangu mie utweza sintah kushindana na URUDI pole sana tena ila ukupendeza ata kidogo kingine kuwa simple sana usitake makuu mana wewe bado sana pia tafuta rafiki ambaye anaendana na wewe hao ulio nao sio wabaya ila mmh! achana na kuiga sasa wewe utamuiga yule wa URUDI utamuwezea wapi, uyo H na yeye ana mzungu lakini naona mzungu wake ni muuza magazeti... anayekushauri siku zote anakupenda

Anonymous said...

NA NYIE NAYE NANI ALIWAAMBIA SINTA ANASHINDANA NA MTU AU NYIE NDO MNAWASHINDANISHA,KWANZA HUYO MNAYESEMA ANASHINDANA NAYE KIUKWELI KWA UZURI HAMFIKII SINTA HATA KIDOGO,UTAKE USITAKE SINTA NI MZURI BWANA,HAO MNAOSEMA WANASHINDANA NAE MBONA HATA WENYEWE HAWAJAPENDEZA,ETI WAMEKAZANIA KUTUONYESHA VISIGINO HUO SI USHAMBA TU,WAMEJIDUNDULIZA HADI WAMENUNUA CL,HAWANA LOLOTE WA KAWAIDA SANA

Anonymous said...

kwa kweli hujapendeza hata kidogo jlo, au aliyekudesignia ni adui yako, bad colour, mtindo, umekuweka shapeless, hauna tofauti na housegal aliyeletewa nguo bila kupimwa,jlo wewe ni mtu mkubwa sana next tyme make sure unajipanga sawasawa if you want to compete.............. kwa kweli jlo wa bongo umenilet down sikutegemea nimeboreka nlivyoingia blog yko,kwa wenzako watoto wa mjini wanang'aaaa!!!horrible

Anonymous said...

kimekushuka bidada...next time hutojisifia tena.kazi mnayo

darstockholm said...

Hahaha imebidi nicheke huyo aliocomment kuhusu mm wkt watu wanajadili vazi la sintah huoni kama ww upo kiugomvi gomvi mtu wangu?maana umetoka katika kucomment swala husika umemkimbilia kumcomment kessy tena umehusisha blog yangu kupitia blog ya sintah huna namba yangu mtu wangu unichane live kama nimekosea kutoruhusu comments ktk blog yangu?hope ukinipigia nitakupa sababu za kutoachia comments ktk blog yangu nakutakia siku njema.

Anonymous said...

wewe mwanaume kaoge huko.....kwenye mablog ya wanawake wanasutana unatoka wapi jamani,kale vipapatio vyako na managrin ukajambe huko...au umechoka kupiga picha barabara ya gueen ukaweka kwenye blog yako

Anonymous said...

Hata mi namshangaa mwanaume mzima kutwa kwa wanawake inahuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu ovyoooooo darstockholm my foot!!

Anonymous said...

mh!wapendwa kazi mnayo,maana kama ndo udada wa mujini mnauhangaikia ila naona unawakataa mbaya!!anyways kazaneni sana bcoz u still have a looooong way to go.
Poleni sana,hii post naona ina comments nyingi ila ndo hivo tena nyingi sana ni negative!!Duh!wadau mngempa mwenzenu moyo kidogo!
in a nutshell,NAPITA TUU.....

Anonymous said...

huyo urudi mwenyewe kachemka hata hajapendeza,kiatu kama boti kimguuu kiduchu hamfikii sintah kweli kwa uzuri wala mguu sinta humu pia umechemka haujapendez waliopendeza ma list 1.mwavita,kiki,millen,cynthia masasi,hot lulu,nancy.
na waliochemka 1.U-rudi,2 dida,3.aunt ezekiel,4.killy,sinta na zainab mmegongana kwa kuchemka nyie ndo mlioshona kwa fundi juma mmeshika namba 4,huyo na CL yake kachusha lol

juliana deus said...

jaman kuna watu mnapenda shari lohhhhhhhhh heee jaman kwan huku mmeitwa ehhh kwa nn msiende blog zingine hadi huku 2 km hajapendeza c yy jaman hee mmezid lohh waangalie nyuso zao zimewashuka kama shipa zinazokwenda kwny oparation ua all stupid

Anonymous said...

Ha ha ha ha hizo CL zenyewe bei yake umeiona ni cheap kishenzi,mbona aibu jamani unatupigia kelele sisi tunadhani bei kubwa kumbe dola 150

Anonymous said...

we juliana deus uso wako umeuona au kutukana wenzio tu!! sura baya km kopo la chooni tutokeeeeeee hapa, watu tusiseme ukweli!! km hajapendeza hajapendeza tu hilo halibadiliki othrws uwe designer wake naona unajipendekeza sana...byeeeeeeeeeeeeeeeeee

juliana deus said...

hahahhaha ps umemuona mchawi uyo hahahahha watu wa ivo ni kuwapiga na mayai viza cku ukikutana nao tena mwenyewe hajiamin thats y hata jina anashindwa kujiandika kwa kuzan atadakwa amemshupalia mtt wa mwanamke mwenzenu as if amewachukulia bwana cjipendekezi kwa taarifa its all bout love which my mumy told me to do to all pevery person and with that am living a peacefull life NOT HATTERS JUST LIKE U INAVYOONEKANA NI MWEMBAMBA KM KIJIKO NA KM MNENE BASI SHAPELESS HAHAHAHHAHAHAHHAHA POLE BI SHOSTI

Anonymous said...

pole wewe unaesifia pumba....eti niandike jina langu what for!! hahahah u dont know how beautiful i am lol hunifikii hata robo bidada!! eti hater why should i hate someone i dont know, was just telling the truth coz wil build her and not destroy,habari ndo hyo take it or leave it....go on write ur name bidada may be u'll be granted by being among the friends, all the best jlo's secretary a.k.a juliana

juliana deus said...

hahahha jitoe tukuone co unajisif wewe bila kusifiwa hahahhahahahahha pole sana kumbe unajua kwamba huwezi kumchukia m2 bila ya kumjua sasa kinakuchonyota nini kwa mwezio unamjua kwa picha 2 na tv hahahaha unazani kuandika kingereza ndio tukuogope au hahahahahah kiswhili lugha tamu ya kumchambia m2 kama wewe thax 4 making me to be jlo secretary hahahhahahahaha kwikwikwikwikwiwkwiwkwi hhahahahahahha km nakuona ulivyolishupalia swala hili hahahahahah

Anonymous said...

SINTA KAPENDEZA, LULU NDIO KAPENDEZA KISHENZI NA NI MZURI SANAAAAAAAAAA,ALAFU HUYO SALMA ANAJIITA KIMORA LEE HAHAHAAA MBONA KITUKO CHA MWAKA SURA MBAYAAAAAAA

Anonymous said...

Maskini ya Mungu Dida, mbona unaharibikia uzeeni kaa boga? kubali basi ushapitwa na wakati jaribu ku Google HOW TO DRESS YOUR AGE.