Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

SOON JAMANI ATAINGIA KWENYE UMAMA,WELCOME



THX to TK

11 comments:

Anonymous said...

tumemuona na anakaribishwa kuwa mama kama sie. Lakini kaolewa ama ndo yaleyale ya kuzaa hovyohovyo? manake wasichana wa sikuhizi wanatia aibu kwa kuzaa bila kuolewa.

Anonymous said...

Unamkaribisha kwani wewe ni mama? Am curious maana umesema welcome

Anonymous said...

Kwani lazima awe mama ndio amkaribishe? Na wewe nawe! We unayesema ameolewa, aliyekwambia lazima mtu aolewe ndio awe na mtoto nani. Mtumwa wa mawazo wewe! Haya ameolewa, umefurahi?

Anonymous said...

kwani hujui, kama sintah ni mama??

Anonymous said...

Alizaaga na juma nature,hujui???

Anonymous said...

Alizaaga na Juma nature,hujui?Alizaaga na Juma nature,hujui?

Anonymous said...

hapo sasa lazima wakuchukie, maana wale wambea wetu wa U wana bifu na huyu dada........lakini yuko juu hata iweje hampati hata robo.......hazai hazai......kiko wapi!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

yani wewe uliesema kuzaa c lazima hadi uolewe, inaelekea una vitoto vitatu halafu kila kimoja na baba yake, na nahisi hapo ulipo unakamimba cha mwanaume mwingine tena. mwanamke mwenye msimamo ni yule ambae hajazaa kabla ya ndoa na hana mtoto asiye na baba. Otherwise jipange

Anonymous said...

jamani i love this girl hebu mtembelee kwenye hii blog yake uone anavyo post habari zake www.total-knockout.blogspot.com/ yaani she z very decent hana makuu..kwakeli Tk ni binti wa shoka...Mungu ambariki ajifungue baby Malaika salama..love u mamii!

Anonymous said...

I admire TK so much... kaolewa na she will soon become a mother, she is my inspiration.

Anonymous said...

kwakweli TK is sooooo luvly..hao U nini sijui na bifu zao za kisenge hata hawampati,mawivu tu!!! TK yupo jhuuuu,lazima mkubali!!!