Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

DIDA WA GERVAS WHITE WEDDING AT MSASANI CLUB

Dida na Gervas




Ashura Macheni




Isha Mashauzi,Bilali Mashauzi na Shamsa wa ukweeh
Mimi na Mzee Yusuph
Mwenyekiti wa kamati Dotnata na shosti

Wasalaam

22 comments:

Anonymous said...

jamani Dotnatha hata mumeo hakwambii?umeezeka mama yangu waachie wakina Sintah na wengineo

Anonymous said...

ahhhahahhhhaaaaaaaaaaaaaaaa

Anonymous said...

huyu Dida ameolewa mara ya nne na nyiyi mna muda,hela za kupoteza kwenda kwenye mambo yake mnamfaidisha kijanja huyo mwenzenu

Anonymous said...

huyu dida ana mbaka mumewe

Anonymous said...

jamani Dida uso umemshuka
mmmh huyo ni serengeti boy jamani hizi ndoa za siku hizi

Anonymous said...

Dotnata uso umekuwaje? Ni matokeo ya mkorogo au? Jamani wadada tutunze ngozi zetu madawa yanamadhara na tutatamani kurudisha natural beuty tutashinwa. Ooh

Anonymous said...

yaani mlipendeza ila make up ya sintah pekee ndo ilikaa vizuri wengine majasho mpaka kwenye picha tunaona
jamani dotnata heee mtu mzima ovyo

Anonymous said...

yaani Dotnata alikaa kabisa Sintah na ukampiga picha ya kutuwekea?anajua hili?maana uso umemshuka

Anonymous said...

wadau jamani tuleni raha kama sura ya dotnata ipo hivi kweli?mmh tupondeni mali maana uzee ukija hakuna mtu wa kutuliwaza

Anonymous said...

kwani hii ndoa ya jumamosi hii kweli?huyu dida anaolewaje wakati alikua akilalamika mchops hajampa talaka?halafu mbona hii nguo alivaa kwenye kitchen part yake ya mwaka jana?simsomi dida kabisa.sinta naomba weka full picture ya dida hiyo siku ya harusi.

mama dotnata hongera kwa kula chumvi nyingi.......amini wewe ni mtu wa awtu bwana.mshukuru mungu hapo ulipo fika.

Anonymous said...

huyo shamsa kwa nini analikataa jina klake huyo...si anaitwa bahati james huyo!

Anonymous said...

heeeeheeee kumbe ndio jina lake halisi?looh ndio uzuri wa blog kuambiana ukweli,si anajifanya ana hela sana?eti ni young millionare

Anonymous said...

halafu jay dee jamani hana mvuto,mmmh ana hela yuko hivyo je akiwa hana itakuwaje?

Anonymous said...

dotanata mzee wewe jamani duh usilazimishe ujana wewe dida mzee yusufu bwana yako... sasa uyo serengeti sijui umemuokota wapi kwanza mwanga wewe kutwa kwa waganga nyoko wewe umeolewa au umejiowa?na hao wanaokuja kwenye arusi yako hawana kazi ya kufanya kabisa

Anonymous said...

jack nakuona na kiduku lol pendeja sana sana ila sauti yako na wewe mwenyewe tofauti

Anonymous said...

Dotnata amekula chumvi nyingi gani? Kajikoboa sasa anaonekana kama bibi kizee. Akikaa na mama yangu wa miaka 60 mama yangu anaonekana kibinti kwake. Kubalini kataeni mikorogo inawazeesha! Dotnata hana hata miaka 50 huyo jaribu kumlinganisha na mtu kama mama Kikwete uone nani mzee hapo. Wanawake hacheni kutumia madawa hatari kwenye ngozi zenu mtajajuta kama huyo mwenzenu.

Anonymous said...

aahahahaaa, kuna watu wabaya jamaniiiiiii,JIDE hung'ai tu shogaangu??? janajike baya wewe............

Anonymous said...

maji ya kisima mkorogo umedunda aeeeHHHHHHHHHHHH

Anonymous said...

Shamsa kwisa kazi. Yake umalaya umemponza katoswa na Yule jamaa yake aw Japan aliyeowa anamringia yupo tu mjini Amerindian kuuza upya kunguru asiyefugika amefulia mabaya bahati James lol

Anonymous said...

Shamsa kwisa kazi. Yake umalaya umemponza katoswa na Yule jamaa yake aw Japan aliyeowa anamringia yupo tu mjini Amerindian kuuza upya kunguru asiyefugika amefulia mabaya bahati James lol

Anonymous said...

dotnata ni mtu mzima wala cio mzee tatizo hapo ni MKOROGO.. mbona kina asha rose migiro watu wazima lakini hawajazeeka hiv kina salma kikwete hata anna mkapa hajazeeka hiv.. HIYO NDO FAIDA YA MKOROGO HIYO

Anonymous said...

dotnata ni mtu mzima wala cio mzee tatizo hapo ni MKOROGO.. mbona kina asha rose migiro watu wazima lakini hawajazeeka hiv kina salma kikwete hata anna mkapa hajazeeka hiv.. HIYO NDO FAIDA YA MKOROGO HIYO