Showing posts with label PS. Show all posts
Showing posts with label PS. Show all posts
48HOURS NI KAMPALA THANKS MA GAL BEATRICE FOR EVERYTHING
I was in Kampala for 48HRS, na mimi Kampala nina mashosti lukuki yaani inazidi Dar na mitaa yote kwa wale wanaotoa huduma kama Chakula,nguo nk, wananijua kwa jinsi nilivyokuwaga kindaki ndaki, maana mpaka juzi napita wananiambia nenga umbbuze yaani nimepotea i wish wangejua nilisepa long,
my gal beatrice aka ni host na kama unavyonijua i don mingle with fake friends,she is well educated kama unavyoona no plates ni CD yaani Country Diplomat (usinune ni maisha tuu )
Ero beach Entebbe
my gal beatrice aka ni host na kama unavyonijua i don mingle with fake friends,she is well educated kama unavyoona no plates ni CD yaani Country Diplomat (usinune ni maisha tuu )
Lovely gf of mine
![]() |
| jlo and Beatrice ka no plates kanachingulia kwa mbali CD |
![]() |
| kazi ipo |
![]() |
| mke ya muthungu na Beatrice |
![]() |
| baada ya kunishusha walijipa raha Imperial Resort Entebbe |
Labels:
PS
NIMEWAMISS SANA WADAU WANGU
Hallowz ma wadau,
Natumaini mko pouwa samahanini sana kwani nipo mbali na Dar,kwanza kabisa nilifiwa so nilisafiri kwenda Moshi town kumzika my aunt,nikarudi Dar nikasafiri tena kwa ujumla sipo nchini,narudi jumatano,nimewamiss sana but soon nitaanza kazi kama kawa.
nimewamiso sana
msikose kupitia kwani stori mpya kibao loves
from
j wake Lo
Nothing but Confidence
Labels:
PS
SO FAR SO GOOD
napenda kutoa shukurani zangu za dhati kwa Tasisi,wabunge, na mawaziri mnaomsaidia dorah kwa sasa .
kwani naamini kabisa mmeguswa sana na kitendo alichofanyiwa binti yetu wa miaka minne.
pia ningependa kutoa shukurani zangu za dhati, kwa wale wachangiaji wa madaa hii wengine hawakupenda comment zao ziende hewani ila walinielezea wapi dorah anaweza pata msaada.
kwa wale mliopiga simu na mengineyo, ahsateni kwani leo ni kwa dorah kesho ni kwako nasi tutakuwa sambamba nawe ukituletea habari ili wengine wakusaidie.
kumbuka sisi sote ni ndugu watoto wa baba mmoja bila kujali itikadi zozote.
Mungu awe nanyi,na nitaendelea kuwaeleza, nini kinachoendelea katika kesi ya ubakaji wa mtoto wa miaka minne inayomkabili kijana anayeendesha bajaji.
thanks
sintah
there is only known Sintah in Tz
kwani naamini kabisa mmeguswa sana na kitendo alichofanyiwa binti yetu wa miaka minne.
pia ningependa kutoa shukurani zangu za dhati, kwa wale wachangiaji wa madaa hii wengine hawakupenda comment zao ziende hewani ila walinielezea wapi dorah anaweza pata msaada.
kwa wale mliopiga simu na mengineyo, ahsateni kwani leo ni kwa dorah kesho ni kwako nasi tutakuwa sambamba nawe ukituletea habari ili wengine wakusaidie.
kumbuka sisi sote ni ndugu watoto wa baba mmoja bila kujali itikadi zozote.
Mungu awe nanyi,na nitaendelea kuwaeleza, nini kinachoendelea katika kesi ya ubakaji wa mtoto wa miaka minne inayomkabili kijana anayeendesha bajaji.
thanks
sintah
there is only known Sintah in Tz
Labels:
PS
KWANINI MA SUPER STAR WENGI HAWADUMU KATIKA MAHUSIANO YAO
dada sintah mambo
mimi kila siku nimekuwa nikijiuliza hivi kwanini baadhi na wengi wa ma super star wa bongo huwa hawaweki mahusiano yao wazi na mara nyingi sana huwa mahusiano yao hayadumu
naomba wadau mnisaidie sana maana masuper star ni kioo cha jamii tunajifunza nini kwenye hizi tabia na wakati sisi tunawapenda
wasaalam
Hilda
mimi kila siku nimekuwa nikijiuliza hivi kwanini baadhi na wengi wa ma super star wa bongo huwa hawaweki mahusiano yao wazi na mara nyingi sana huwa mahusiano yao hayadumu
naomba wadau mnisaidie sana maana masuper star ni kioo cha jamii tunajifunza nini kwenye hizi tabia na wakati sisi tunawapenda
wasaalam
Hilda
Labels:
PS
UCHUMI SUPER MARKET YOUR HOME OF VALUE
lle promotion iliokuwa inaendelea from 1-31 dec, sherekea xmass na uchumi sasa imekwisha.
tarehe 7 ndio grand draw, na grand prize the living room make over,wanakuja kwako wanabadilisha sofa,coffe table,dining table,tv plasma from samsung,carpet,tv stand,painting your house hii ni kwa mshindi wa kwanza.
na kuna small small prizes kwa wale washiriki wengine Laptop,Camera, nk
ni pale pale uchumi supermarket Quality centre muda ni saa nne za asubuhi mpaka saa saba mchana
karibuni nyote
UCHUMI SUPERMARKET YOUR HOME OF VALUE
tarehe 7 ndio grand draw, na grand prize the living room make over,wanakuja kwako wanabadilisha sofa,coffe table,dining table,tv plasma from samsung,carpet,tv stand,painting your house hii ni kwa mshindi wa kwanza.
na kuna small small prizes kwa wale washiriki wengine Laptop,Camera, nk
ni pale pale uchumi supermarket Quality centre muda ni saa nne za asubuhi mpaka saa saba mchana
karibuni nyote
UCHUMI SUPERMARKET YOUR HOME OF VALUE
Labels:
PS
Habari za leo PS. Naomba unisaidie kuwajulisha wateja wangu juu ya mabadiliko ya ofisi yetu ya kazi. Natanguliza shukurani zangu za dhati kwako..
TAARIFA MUHIMU KWA WATEJA WETU WA DAWA YA KUKATA TUMBO ( KITAMBI ) WALIOPO JIJINI DAR ES SALAAM
NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOOD CLINIC , WAUZAJI WA DAWA SAFI YA ASILI YA KUKATA TUMBO, TUNAPENDA KUWATAARIFU WATEJA WETU WAPENDWA KUWA KWA SASA TUMESOGEZA HUDUMA YETU KARIBU ZAIDI NA WATEJA WETU KWANI KUANZIA TAREHE 27/12/2011 . TUNAPATIKANA KATIKA HOTELI YA ROMBO GREEN VIEW HOTEL ILIYOPO KATIKA ENEO LA SHEKILANGO. SIKU ZA KAZI NI JUMATATU HADI JUMAOSI KUANZIA SAA MBILI KAMILI ZA ASUBUHI HADI HADI SAA MBILI KAMILI ZA USIKU.
TAARIFA MUHIMU KWA WATEJA WETU WA DAWA YA KUKATA TUMBO ( KITAMBI ) WALIOPO JIJINI DAR ES SALAAM
NEEMA HERBALIST & NUTRITIONAL FOOD CLINIC , WAUZAJI WA DAWA SAFI YA ASILI YA KUKATA TUMBO, TUNAPENDA KUWATAARIFU WATEJA WETU WAPENDWA KUWA KWA SASA TUMESOGEZA HUDUMA YETU KARIBU ZAIDI NA WATEJA WETU KWANI KUANZIA TAREHE 27/12/2011 . TUNAPATIKANA KATIKA HOTELI YA ROMBO GREEN VIEW HOTEL ILIYOPO KATIKA ENEO LA SHEKILANGO. SIKU ZA KAZI NI JUMATATU HADI JUMAOSI KUANZIA SAA MBILI KAMILI ZA ASUBUHI HADI HADI SAA MBILI KAMILI ZA USIKU.
Labels:
PS
SINTALICIOUS'S UJUMBE KWA WADAU WAKE
dear wadau wa Ps na wale mnaochungulia chungulia,nimekuwa nikipata msg nyingi sana za tuhuma kwamba all of these chicks are my friends na ninafanyaje kama wana beef
ladies &gentlemen here i go,hawa watu wako katika industry moja,na sijui na wala sitaki kujua walichogombania ,mimi wakiniita ktk their birthday naenda napiga picha na nondoka,na siwezi kugombana na mmoja wao maana siku wakipatana nitaweka wapi uso wangu,,siwezi kuingilia shughuli ambayo hainihusu, mnasema ooh jlo hivi eti unafiki labda nyie coz mimi ni niko kibiashara zaidi,mambo yao hayanihusu kabisa na nitaongea na kila mmoja wapo akinhitaji ila they are not my close friends.
i have got many galfriends but only 4 close friends who know me better
so wewe usiejua,jua hilo chachaa
hakunaga kama mimi
ladies &gentlemen here i go,hawa watu wako katika industry moja,na sijui na wala sitaki kujua walichogombania ,mimi wakiniita ktk their birthday naenda napiga picha na nondoka,na siwezi kugombana na mmoja wao maana siku wakipatana nitaweka wapi uso wangu,,siwezi kuingilia shughuli ambayo hainihusu, mnasema ooh jlo hivi eti unafiki labda nyie coz mimi ni niko kibiashara zaidi,mambo yao hayanihusu kabisa na nitaongea na kila mmoja wapo akinhitaji ila they are not my close friends.
i have got many galfriends but only 4 close friends who know me better
so wewe usiejua,jua hilo chachaa
hakunaga kama mimi
Labels:
PS
MSG YA MANGE KWA WADAU WA U TURN NA PS BLOG
HIjlo-tzwape hii kwa wale wanaokuchukiaHAHAHAHAHA NIMECOPY NA KUPASTE HII KITU KUTOKA KWENYE BLOG YA UTURNS AND AM SO HAPPY WITH THIS
Penny,Wema and JLO tz....chezea...
Alafu guys, sina beef na JLO,
SHE IS MY GIR, Nimemjua siku nyingi mnooooo
so acheni kutengeneza story...
Mie nikiwa na beef na mtu wala hakuna shida ya kuanza kukisia maana ntamuweka humu mnisaidie kumchambua kama karanga...hahaha
Pia acheni kumsema JLO, kila mtu ana uhuru wa kublog anavyotaka yeye
kama hupendi alivyo usiingie kwenye blog yake.
otherwise naombeni muache kuleta humu comments za kumshushua
msijeniletea balaa na JLO bure...
YAN WAMBEA WATAJIBEBA WALE WANAOPENDA KUTENGENEZEA WATU MABIFUBYJULIANA DEUS
Ninamjua Mange tangu na tangu,tumelala hostel mabibo sana,ndo maana mnapopeleka maneno ana wachora maana ni my gal sasa na ananijua vizuri kwamba mimi si mtu wa ma beef ni mtu wa kukwambia live na nasepa
sasa peleka umbea wako katika blog nyingine huku huwezi kumsema mama Bhokenzo na kule hamuwezi kumsema j wake lo
iloo,mmeshushukaje loo,muniwache, muniwache na Mange wangu,najua wewe kimbelembele unayepeleka maneno kule unanipenda sana na unatamani kuwa kama mimi no wonder unanipiga vita, just come and ask how i penetrated na sio kukaa na kuponda ujinga
jlo na Mange ni one love forever
Labels:
PS
RED RIBBON FASHIONS GALA 2011 AT DOUBLE TREE HILTON
jlo na Martin
toto za prezidaaa ziliwasili
wifi yangu Alma
jacky jacky
faraja
mo na ps blogs
mwenye shughuli
| J na crew yake |
warembo wa mujinii
| mc na jlo |
| jlo na Flavvy |
familia ya Mzirai iliweka pose
meza yangu ndio hii
| vijana wakiingia kibawizoo |
wifi yangu mie huyu
a moment of silence
congratulations sisy Khadija,mim penda wewe sana,una moyo wa upendo mpaka ukafanya hii fundraising,Mungu amekubariki na huo moyo na atakubariki na mengine love,we had fun,tuombe Mungu tufike next year for another one lol(Inshallah)
Labels:
PS
SINTAH''S WORDS-JUDGE ON HOW NOT ONE FALLS ,BUT HOW SHE RISES
I believe in God the father almight,the creator of heaven and earth,
kila kitu kinawezekana im so happy Jacky's book is out na nimechangia sana 4 pages sio mchezo
I BEG TO DIFFER IS OUT,GET YOUR COPY NOW
DONT 4GET SINTAH'S TSHIRTS ARE OUT MOJA INAUZWA 10,000
MBELE INA PICHA YA SINTAH
NYUMA IMEANDIKWA JLO
BOOK NOW
mmechonga sana na jua mtachonga lakini nani zaidi ya Mungu wangu endeleeni kuongea wakati mwenzenu napiga hatua tarehe 5 dec ndani ya SA,tarehe 10th ndani ya UN base in Entebbe inaitwa aluta continua
Dar nakuja karibuni
on sat ninaharusi ya Adeline Mlimani city at the same time sauda's first meeting wauuuu cant wait
jlo words from Adiss Ababa Ethiopia
jana alikula dinner na UN deputy Secretary Sheraton hotel Adiss'
sihitaji kuongea mengi zaidi ila watu wa karibu wanajua sana kuhusu mimi ndio maana wamekaa kimya
lol mimi miss u so much my wadau nimetuma hii msg kwa my IT guys ila kuanzia jumapili mtakuwa nami
stick around kuona jacky's bridal shower nimeasahau my cable,hata mkanda jamani maana nimekuja kikazi zaidi so came wit one jean ,nimekuja na nguo za kiheshima tu,nimenunua mkanda Duty free maana napita VIP mtanunaje lol
this is just the begining,mengi yanakujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
IT dept on behalf of jlo Via phone
kila kitu kinawezekana im so happy Jacky's book is out na nimechangia sana 4 pages sio mchezo
I BEG TO DIFFER IS OUT,GET YOUR COPY NOW
DONT 4GET SINTAH'S TSHIRTS ARE OUT MOJA INAUZWA 10,000
MBELE INA PICHA YA SINTAH
NYUMA IMEANDIKWA JLO
BOOK NOW
mmechonga sana na jua mtachonga lakini nani zaidi ya Mungu wangu endeleeni kuongea wakati mwenzenu napiga hatua tarehe 5 dec ndani ya SA,tarehe 10th ndani ya UN base in Entebbe inaitwa aluta continua
Dar nakuja karibuni
on sat ninaharusi ya Adeline Mlimani city at the same time sauda's first meeting wauuuu cant wait
jlo words from Adiss Ababa Ethiopia
jana alikula dinner na UN deputy Secretary Sheraton hotel Adiss'
sihitaji kuongea mengi zaidi ila watu wa karibu wanajua sana kuhusu mimi ndio maana wamekaa kimya
lol mimi miss u so much my wadau nimetuma hii msg kwa my IT guys ila kuanzia jumapili mtakuwa nami
stick around kuona jacky's bridal shower nimeasahau my cable,hata mkanda jamani maana nimekuja kikazi zaidi so came wit one jean ,nimekuja na nguo za kiheshima tu,nimenunua mkanda Duty free maana napita VIP mtanunaje lol
this is just the begining,mengi yanakujaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
IT dept on behalf of jlo Via phone
Labels:
PS
ABYSSINIA BEAUTY AND SPA NI SEHEMU YA KUTENGENEZA NYWELE ZAKO
Ladies and G hahaaaaa ni sehemu ya utulivu unapata VVIP treatment kama sisi hapa(mimi,jokate,c pwa)kwakweli wanaweza
Ateka is a lady can be trusted in beauty
kuanzia sasa mimi nikitoka nywele zangu atanifanyia yeye na utapenda ukiniona
she is located at Mbalamwezi beach
cell no 0652 593967
ni amini mimi
Hakunaga kama Ateka Dar
mark my words
Labels:
PS
TANZANIA,DAR ES SALAAM MKO TAYARI,SIKIA HII MAANA SI YA KUKOSA
huwa inafanyika mara moja tuu kwa mwaka na ni siku ile ya kilele cha ukimwi duniani,sasa basi mahala ni pale pale sehemu ya waastarabu double tree hilton masaki
PS blogspot imepata bahati ya kupata executive table,unataka ku join katika hio meza?ikiwa kama wewe ni mdau wa hii blog na unataka kukaa meza moja na jlo bongo wala usipate shida
just call me on 0652 112071 utanipata mimi direct
mchango ni laki moja tu na ninatoa nafasi 7 za upendeleo kwa wadau tukae pamoja tujumuike
naanza kupokea hela kuanzia leo mpaka tarehe 15th november
kumbuka hii ni executive table
vazi ni kiwalo cha red anza kutafuta basii
TANZANIA RED RIBBON FASHION GULA
100,000THS Double Tree Hilton 1-12-2011
jlo bongo
PS blogspot imepata bahati ya kupata executive table,unataka ku join katika hio meza?ikiwa kama wewe ni mdau wa hii blog na unataka kukaa meza moja na jlo bongo wala usipate shida
just call me on 0652 112071 utanipata mimi direct
mchango ni laki moja tu na ninatoa nafasi 7 za upendeleo kwa wadau tukae pamoja tujumuike
naanza kupokea hela kuanzia leo mpaka tarehe 15th november
kumbuka hii ni executive table
vazi ni kiwalo cha red anza kutafuta basii
TANZANIA RED RIBBON FASHION GULA
100,000THS Double Tree Hilton 1-12-2011
jlo bongo
Labels:
PS
VOTE VOTE VOTE FOR JOKATE SWAHILI FASHION WEEK BEST STYLISH PERSONALITY
This is my gal vote her, was nominated by swahili fashion week kuwania the best stylish personality
please vote her as you know got different swaggazzzz
Labels:
PS
MIAKA 5 YA UKWEEH KWA 8020
hivi ni baadhi ya vifurushi tulivyoondoka navyo
leo sitoelezea picha acha zijielezee,uliyekosa pole maana begi langu lilijaa zawadi mpaka na nyingine nitampa hubby lol
ni hivi nimemfahamu shamim 6 years ago akiwa pale dar hotwire
she is lovely and caring person im so happy for her
nashukuru sana nilipoanza blog alikuwa ni mtu wa kwanza kunipa link inaonyesha anapenda mafanikio ya wenzie no wonder anafanikiwa
shamim nilimpigia simu saa kumi na moja siku ya BD yangu alikuja haraka sana inaonyesha kwajinsi gani anapenda kazi yake
sina mengi bali nasema thx for all uliyonifanyia and may the good Lord protect you from evils
Amen
Labels:
PS
Subscribe to:
Comments (Atom)












