Tatizo lako ni hizi shule za kuunga unga ulizokwenda. Kufa bado mrembo, wachache tunafika miaka hii na bado tunadai, nimeshare jina moja na mtoto wake maana yake nini? Hueleweki.
Wewe umeshazeeka hata 30 yrs haujafikisha, unajikoroga, mwili umetepeta kama una watoto watatu, just be you and accept the way u are, and even God will bless much, manake unaonekana hupendi Mungu alivyookuumba wa maji ya kunde unataka kuwa mzungu
kweli kuna watu kama mashetani,hivi kwani kunaulazima gani wa kuchangia?mpaka tunaonekana wanawake hatupendani,nyama kulegea , au kutumia mkorogo mtu inakuuma nini?kuna baadhi ya watu maisha yakibadilika kidogo au kupata angalau uwezo wa kuendesha maisha yake vizuri,anatakata na kuwa mweupe ,akipaka poda inakubali hana stess lzm atapendeza.
19 comments:
Na wewe unasema unadai? Mbona umezeeshwa na akina Mark Anthony?
Mbona Whitney hana binti mwenye jina kama J Lo wa Tz au Bongo? Jina gani una-share na mtoto wa Whitney?
Whitney alikuwa hatumii mkorogo kama wewe. Rangi ya ngozi yake ilikuwa chocolate and natural.
Tatizo lako ni hizi shule za kuunga unga ulizokwenda. Kufa bado mrembo, wachache tunafika miaka hii na bado tunadai, nimeshare jina moja na mtoto wake maana yake nini? Hueleweki.
Ndio kusema wewe una miaka 48??? Such a psychopath, you managed to turn this around and make yourself the focus. Such a narcissist, mxsiiiii.
Kwahiyo ukishare jina na wewe sana ni Whitney? au Bobbi? Maana kwa ku-tap majina ya watu hujambo!
R.I.P Whitney Houston; we will always love you!!
SO SAD
Anaitwa Bobbi Christina.
mtoto wake anatumia madawa ya kulevya na wewe unatumia?au unajua kujifananisha majina tu.pusi we
Una ushahidi kwamba anatumia hayo madawa au unaropoka tu? Kuwa na aibu na heshima kwa marehemu na familia yake, let her rest in peace.
Rest in peace Whitney Huston we always love u nyimbo zake jamani zilikuwa nzuri coz alikuwa pia akijua kuimba kwa hisia.
innaillah wainalillah rajun
yan kuna watu wamekaa kama mashetani nyoo yan hata msiba mijitu bado inacoment ujinga
Rest in Peace Mumy, we 'll always remember u!
Wewe umeshazeeka hata 30 yrs haujafikisha, unajikoroga, mwili umetepeta kama una watoto watatu, just be you and accept the way u are, and even God will bless much, manake unaonekana hupendi Mungu alivyookuumba wa maji ya kunde unataka kuwa mzungu
kweli kuna watu kama mashetani,hivi kwani kunaulazima gani wa kuchangia?mpaka tunaonekana wanawake hatupendani,nyama kulegea , au kutumia mkorogo mtu inakuuma nini?kuna baadhi ya watu maisha yakibadilika kidogo au kupata angalau uwezo wa kuendesha maisha yake vizuri,anatakata na kuwa mweupe ,akipaka poda inakubali hana stess lzm atapendeza.
hahahahah...Sintah kazi unayo dada yani wachangiaji wa humu ndani akili zao wanazijua wenyewe yaani full burudani ndio mana hua sikosi kuingia humu
lazima afundwe huyu ni malaya hana lolote anatapatapa nyau weee
Post a Comment