Sasa huyo noel nae ndio kaamua kuvaa kama demu kabisa jamani huyu mtoto sinta acheni kumuendekeza mnamharibu mtoto wa watu. Hivi mama yako angekuwepo ungefanya huu ujinga jamani. Noel badilika.
hata mimi jamani nampenda sana hawa mkamba jamani, ila sasa shotiii uwe nahabari kamili hawa katoka sweden au denmark? aiii, sinta vaa tu nguo zako fupi na miguu yako hiyo twende turudi, ndo unapendeza, lakini gauni refu hupendezi hata kidogo
wewe kinakuwasha nini Jacque akivaa miwani usiku.... shut the hell up if u got nothing nice to say to her. She looks gorgeous... I wish there were many pics of her, she lloks stunning lost some pounds and she does look like Amber. Haters jinyongeni
Trya your ass... mwaka huu mtajibebaje.... she looks like her kama utaki kajitumbukize baharini..... wabongo bana, kama hutaki kusifia shut the hell up, go pee and hit ur bed. stupid ass
Tanzania Girls rock... Sinta, Jack, Belinda vyonne etc.... U look hot, sexxy, dashing and most of all u rocked in all the attires u wore, Tanzania ladies are really pretty. Keep it up ladies.
Tatizo ma-star wa Bongo hawajiamini wao kama wao, eti unajiita J-Lo, mara Tyra n.k. Huko ni kutojithamini na kujiamini. Acheni hizo simama imara utaweza kwani hao mnaoiga majina yao nao walianza kama nyinyi ovyooooooooooooo
21 comments:
kweli ww ni andunje duh!
Wewe jacq hayo mamiwani umezidisha jamani hadi usiku hizi swaga nyingine kiboko....
HUYO BELINA MGENI VIPI MBONA KAKAZA USO UTAFIKIRI ANASIKIA MAUMIVU YA KICHWA,MAMODEL WA
KIBONGO WANA MAPOZI YA KISHAMBA!
waoooooooo mmependeza nampendaga wolper jamani duhhhhhhhh hata siku moja achukizagi yeye ni zaidi kupendeza tu.
DUUUUUUUUUUUH Sintah,You Look so sexy!
Umeniudhi kupiga picha na Kibonde m CCM huyo anakuzeesha tu!
WEWE DADA ULIYE COMMENT HAPO JUU ACHA WIVU KWANI AKIPIGA PICHA NA KIBONDE KUNAUBAYA GANI AU UNAMTAKA PUMBAFU WEEEE!!!!!!!!!!!!
'Mwali' mbona nguo imekuvaaa???? wewe kwavile ni andunje uwe unavaa nguo fupi ndo wapendeza! unasura nzuri
Bora nawewe umajionea mdau,huyo Belina karibia picha zake zote sura kama anakamuliwa jipu..khaaa!kazi kujipa majina ya watu,Tyra my assssss...mzxxxxxx
Sasa huyo noel nae ndio kaamua kuvaa kama demu kabisa jamani huyu mtoto sinta acheni kumuendekeza mnamharibu mtoto wa watu. Hivi mama yako angekuwepo ungefanya huu ujinga jamani. Noel badilika.
Hapo Hawa Mkamba kawafunika wote,yuko natural no mkorogo,hana mashauzi na yuko juu,Luv u Hawa...xoxo!
hata mimi jamani nampenda sana hawa mkamba jamani, ila sasa shotiii uwe nahabari kamili hawa katoka sweden au denmark? aiii, sinta vaa tu nguo zako fupi na miguu yako hiyo twende turudi, ndo unapendeza, lakini gauni refu hupendezi hata kidogo
KWELI UJAKOSEA HAWA KAWAFUNIKA INGAWA MIMI UMRI UMEKWENDA LAKINI NIMEONA KAPENDEZA SANA WALA HATUMII MIKOROGO NAKUPENDA SANA WEWE MDADA!!!!!!!!!!!!!!
wewe kinakuwasha nini Jacque akivaa miwani usiku.... shut the hell up if u got nothing nice to say to her.
She looks gorgeous... I wish there were many pics of her, she lloks stunning lost some pounds and she does look like Amber. Haters jinyongeni
Trya your ass... mwaka huu mtajibebaje.... she looks like her kama utaki kajitumbukize baharini..... wabongo bana, kama hutaki kusifia shut the hell up, go pee and hit ur bed. stupid ass
Tanzania Girls rock... Sinta, Jack, Belinda vyonne etc.... U look hot, sexxy, dashing and most of all u rocked in all the attires u wore, Tanzania ladies are really pretty. Keep it up ladies.
hahaha mdau umenichekesha sana. Sun grasses usiku zinahusu huo ndio mwanzo wa kuona ubwabwa kama pilau
Tatizo ma-star wa Bongo hawajiamini wao kama wao, eti unajiita J-Lo, mara Tyra n.k. Huko ni kutojithamini na kujiamini. Acheni hizo simama imara utaweza kwani hao mnaoiga majina yao nao walianza kama nyinyi ovyooooooooooooo
Kula tano mdau,umeongea point
AMESHTUKA AKIVAA NGUO FUP MIGUU INAKUWA KAMA FYEKEO
acha kukosoa uumbaji wa MUNGU.
Post a Comment