![]() |
ni yeye mwenyewe UNSTOPPABLE |
timu yangu ni hii hapa na washikaji wangu Young Africa 4ever |
![]() |
wit ma gal kidoti pamoja ni Yanga |
jamani ile siku iliyokuwa inasubiriwa kwa hamu imewadia
twenden tuka support jlo's team Young Africa ikifanya mambo yake
mimi ni yanga damu
kwa ujumla warembo wote ni yanga
nitakuwepo VVIP nikichill na ma friends kuangalia kandanda.
TUKUTANE TAIFA
nimepata jezi mpya
6 comments:
all the best Yanga Sports Club..pamoja sana!
Umezeeka shost hata uji-make up vipi. Ona makunyazi hapo kwa mashavu!
umependeza andunje jlo,.uyo mwingine ni wolper amber?(wabongo ubunifu zero)post nyingi nyingi bhana,nimezimikia swagaz zenyuuuu,.kidoti yupo cutie kama kawa kama dawa mseto.
arafu jlo andunje,.kwenye iyo muvi yenyu ya 'sitaki demu' ni idea ya nani?coz we umesema nature ndo alikukol eti ufanye ubunifu,wakati nature alisema we ndo ulifunga safari mpaka tmk kumuomba akauze nyago,.mwanzo mwinga,gusa unase....ulipigwa denda mpaka gari ikagoma kwenda
jamani ni nani aliwambia mnapendeza na hizo miwani pana kama nyungo?aghhhh!!!!mnakera yaani!
kwanini jokate anafanyaga midomo hivo mwambie hapendezi kabisa, angeline jolie wanna be mwambie ya mwezake ni natural kha nachukiaaaaaaaaaaa
eti miwani kama nyungo jamani nimecheka peka yangu akha yaani sina mbavu yaani hata hawapendezi kabisa na nywele zao za maiti hawajui hata kuzitunza mfyyyyyuuuu (sonyo)
Post a Comment