Wadauzzzzzzz
Happy Valentine,nyie ndio Valentines wangu maana have learnt so much from you never the less,
ni hivi katika kuandika comments muwe mnapunguza matusi jamani duuuuu,maana mtu anakuwa kama ana hasira vileee,yaani mi nakuwa sielewi twendeleeni kuelimishana kisomi basi,
enjoy your valentine with the loved ones,wakati huo huo ninamtakia Linex happy belated day,enjoy your day
happy birthday Linex mzee wa moyo wa subira
Happy Valentine,nyie ndio Valentines wangu maana have learnt so much from you never the less,
ni hivi katika kuandika comments muwe mnapunguza matusi jamani duuuuu,maana mtu anakuwa kama ana hasira vileee,yaani mi nakuwa sielewi twendeleeni kuelimishana kisomi basi,
enjoy your valentine with the loved ones,wakati huo huo ninamtakia Linex happy belated day,enjoy your day
happy birthday Linex mzee wa moyo wa subira
12 comments:
Happy Valentines to you to Sinterlicious na wewe punguza mashauzi ili na sie tupunguze comments za hasira
happy valentine day to you
happy valentine's day to u too......wenye wapenzi wetu tukajimwage kisawasawa, kila cku is a valentine though.
happy valentine sintah
Happy Valentines ..at least leo nimekupenda Sinta umeongea pointi na umeacha yale mashauzi yako.
Hope you will enjoy girl!!
HAPPY VALENTINES DAY TO U SINTA, i love u
Happy Valentine,lakini anakuletea maua mekundu akiwa ametoka kuwapa wengine sita ushauri wa bulre, mtumie Condom hakuna mapenzi siku hizi
Happy Valentine Sintarious,mtafute Kiroboto hawez kukusahau!
vipi kuhusu ile pati ya walio singo...?
sintah ulisema utaenda ile sehemu moja ya wonders of the world in Asia i suppose... ulishaenda?tuwekee pics tuone ulivoinjoi basii
ewaaaaah!.... sasa naona unaanza kuelimika taratibu kupitia sisi..
tunachukia kutokana na mashauzi yako unataka kuwa kama diva bana.. hebu badilika tutakupendaje!!!!!!!!!!!!!!!
wewe mdau hapo juu unampa kichwa bure,huyo akituona tunamsapoti sana lazima atatukera tena na elimu yake ya vichochoroni,yaani we sinta ukigusia icho kielimu chako unanikeraaaaaaaaaa mpaka natamani kujinyea...elimu hujionyesha yenyewe kwa mtu anavyopresent.
Post a Comment