kwa wale wanajua taaluma ya uandishi wataniunga mkono maana kuna magazeti mengine yanatoa stori humu humu katika PS ila hawataji source of information wameitoa wapi,
sasa hivi ni saa nane kamili za usiku ninaandika hii post
hebu fikiria kweli ni haki?mimi natafuta zangu habari na wewe unachukua kilaini bila kushukuru sehemu uliyoitoa,wakati wewe umelala sasa mimi ndio nikutafutie habari,hebu jaribuni kuwa na utu banaa
to be honest kuweni waungwana wale wote waandishi [pamoja na fellow bloggers
gazeti la Sani akiwemo Living Stone huwa anataja PS kama sehemu aliponyaka stori,nalo letu gazeti la Kiu huwa wanafanya hivyo,kwa
kwa ujumla nashukuru sana KIU na SANI magazeti kwa kuutambua mchango wangu
for accurate news,gossip n so ever please get your copy of either of the two tabloids.
on behalf of PS
i go by the name j wake Lo
sasa hivi ni saa nane kamili za usiku ninaandika hii post
hebu fikiria kweli ni haki?mimi natafuta zangu habari na wewe unachukua kilaini bila kushukuru sehemu uliyoitoa,wakati wewe umelala sasa mimi ndio nikutafutie habari,hebu jaribuni kuwa na utu banaa
to be honest kuweni waungwana wale wote waandishi [pamoja na fellow bloggers
gazeti la Sani akiwemo Living Stone huwa anataja PS kama sehemu aliponyaka stori,nalo letu gazeti la Kiu huwa wanafanya hivyo,kwa
kwa ujumla nashukuru sana KIU na SANI magazeti kwa kuutambua mchango wangu
for accurate news,gossip n so ever please get your copy of either of the two tabloids.
on behalf of PS
i go by the name j wake Lo
16 comments:
na ungekuwa na miguu mizuri wewe??? haina tofauti na baku la mkuyu! hebu nipite zangu mie!
sintah umeonekana mzuri kmbe ni mzuri eeh nakuonaga kawaida sana pia umependeza sana af kipochi cha ukweli kishenzi kizuri ad raha wanaojua vizuri watakuwa wamekukubali kimya kimya..
Umependeza mama kaza buti
wenye wivu watajibeba, kwa jinsi ulivyopendeza ufupi si tatizo. ni maumbile tu wanaokukandia kwa ufupi hawana issue,na wao watume picha zao au za wachumba zao nahisi tutazimia kwa jinsi wanavyotisha. na hao waandishi wanaokuibia habari wakome. uko juu kama mawingu.
si utaje tu global na picha za wema walizo zikomba au waandikie live
Ni kweli hata mimi niliwahi kucoment kwenye gazeti flani, hawaandikagi chanzo cha habari na juzi wameweka wema bila kukutaja, hawajui sheria na wana magazeti kibao. Warudi shule wakasome sio sisi tunashinda kusoma wao wanaingia kirahisi waone. Wana copy na kupaste bila shukrani. Waambie my sis.
nakweli mwaya manake jana wameuza sana hao kina shigongo hawana hata aibu shigongo waandishi wakeo wavivu wanashindwa kutafuta stori wanatafuta kwenye blog yetu ps uandishi uchwara huo
Cute bby!!
mi luv u baby!
wewe jali kazi zako wakikuandika ndo starehe zenu tetettete unabeep.wewe mwenyewe unakosa jlo akikuona unajiita jina lake umekopi siku zote hakuna chapeke yako .ujui amka .ila unajitaidi kupendeza
Christine, kwenye picture zako weka chata ya PS blog juu ya picture tena chata kubwa so waki copy na kupaste lazima itokee tu source of information kwamba wametoa wapi, ni ushauri tu
hyo pochi haijaendana na hzo nguo na kiatu,inshort kipochi kabaya,kipo ki secondary zaidi,ni vizur ukakigawa tu
chuki binafsi...
hivi huwa unamatege nini?maana ilo pozi la kupishanisha miguu nakuona unalipenda,kama wewe ni waukweli simama wima tukuone....naanza kuimagine utakavyotuchekesha teh teh teh
Sintah mamie? naomba uelewa kuna waandishi wa habari na waandishi wa story, so hao waandishi wa story hawaelewi chochote kuhusiana na copyright
Jamani mwacheni anajitahidi japo si sana ila mi ananiudhigi umbea na unafiki wake wa kujifanya kamkacha wema yupo na emolo Jokate ni kujipendekeza huna msimamo kwanza ilipoteaga apa sasa umajirudisha kwa nguvu zoooote.
Post a Comment