my cousin Malick hapana chezea ni check tuu for FMF
ladies,jamani mimi mfupi duu au kwasababu nilivaa flats
Jlo,Adeline&Nargis
your woman and a half
my wiii,Flavvy& BFF
27 comments:
Anonymous
said...
Hahaha Sinta usinichekeshe wote hapo wamevaaa flat ni warefu, we hata kama mfupi ni mrembo tu mlipendeza na hongereni, nilipoziona hizi picha mahali nkajua ushajiwahi kupost kwako.
Mlipendeza lakini naona wote katika picha umewataja kwa majina yao asilia, ila wewe Christina umejiita JLO, acha kujifananisha jiamini, mbona christina jina zuri tu mpaka ujipachike majina ya watu wa nje kwanini?? acha ulimbukeni.
Mmependeza sana wadada mwamvita ubarikiwe kwa kusaisia wasichana.Sinta nina swal nasikia uliolewa na unamtoo uganda ni kwel!!!vp mbona upost picture za baby
mi naona what made u look short was the wrong cloth u choose for the event and also it made u look mnene sana from other fotos i've seen of u.ila if u are insecure about ur height, watch you tube videos on how to dress to look taller.but u are beautiful the way u are
Hongereni jamani na mlipendeza saaana, kweli wewe ni mfupi ila mrembo na mzuri, unamvuto wako wa kipekeee hakuna Sinta mwingine ila wewe. Pia mi nazidi kukuomba usijiite JLO, waone woooote ulikuwa nao ambao wako juu sana ila hawatumii majina ya watu labda malimbukeni kina Amber sasa wewe unataka kulinganisha akili yako kama yao? Please tumia Sintah linakupendeza zaidi na ndo litavuma zaidi. Kila la heri dada.
Plz sometimes take some advice my dear is not gonna kill you lol,Wewe ni mzuri, mrembo na kitu kimoja tu kinakuharibia kila kitu na ungechukua advice ingekusaidia hata baadae, naomba kuanzia leo jiite Sintalicious, Sinta or Christine waone wengine wanatumia majina yao tena ya ajabu mfano Mange, Mwamvita lakini ndo wanayatumia hayo hayo haina haja ya kujiita JLO kwanza for what? you are educated na pia unajua mambo mengi pls nakuomba niko chini ya miguu yako jiite tu jina lako litakupendeza sana. Kutoka Kwa akupendaye daima.
mhh mnapenda kujionyesha kwa taarifa yenu wazuri wapo na wetulia nyie viruka njia manunga embe na kuparamia waume za watu ndio mnakijua mjini wala hamjapendeza kichefuchefu namkubali NARGIS ONLY
we sinta mnafki sana sasa unanichefua nakupenda ila unaanza kuniboa bwana we juzi kati hapa umemkana joket sio shoga yako ovyoooo unajua maaana ya bbf ni bestfriend forever sasa hueleweki usiwe kama nywele zikiwa chin ma£$ zikiwa mwilin vinyweleo zikiwa kwapan tafrani mxchhhhh bana coment ila ujumbe umekufikia kumoyo
Mlipendeza dears, kubali asili yako wewe ni mfupi na ni maji ya kunde ila umeamua kijikoboa mpaka basi, halafu kisa cha kujiita JLO ndugu.... naamini we ni mwanamke jasiri na unayejiamni kwa nini ujiite JLo, pretty sinta is nice coz u are beautiful gal but not kujiita JLO, inakuwaje mbaya sasa.
27 comments:
Hahaha Sinta usinichekeshe wote hapo wamevaaa flat ni warefu, we hata kama mfupi ni mrembo tu mlipendeza na hongereni, nilipoziona hizi picha mahali nkajua ushajiwahi kupost kwako.
JLO asiyejua kuandika check ni wapi?
mfupi lakin uko sweet ,
we ni mfupi dia si urefu wa mtu haulinganishwi kwa kiatu alichovaa,
hata kama ungevaa viatu virefu wewe ni mfupi tu wangu bora umejikubali
Mlipendeza lakini naona wote katika picha umewataja kwa majina yao asilia, ila wewe Christina umejiita JLO, acha kujifananisha jiamini, mbona christina jina zuri tu mpaka ujipachike majina ya watu wa nje kwanini?? acha ulimbukeni.
BFF HAJAMBO ALMASI?
Mmependeza sana wadada mwamvita ubarikiwe kwa kusaisia wasichana.Sinta nina swal nasikia uliolewa na unamtoo uganda ni kwel!!!vp mbona upost picture za baby
mashauzi crew!!huyo Jokae ilo domo mh!nawe jikubali kila siku mi mfupi mfupi ndio wewe mfupi...MOVE ON
inaonyesha ilikuwa poa sana mm penda flavy
we mfupi tu mbona nargis kavaa flat na kakupita urefu
viatu vya flavianna mmmmh! fashion zinginezinaharibu
mi naona what made u look short was the wrong cloth u choose for the event and also it made u look mnene sana from other fotos i've seen of u.ila if u are insecure about ur height, watch you tube videos on how to dress to look taller.but u are beautiful the way u are
Hongereni jamani na mlipendeza saaana, kweli wewe ni mfupi ila mrembo na mzuri, unamvuto wako wa kipekeee hakuna Sinta mwingine ila wewe. Pia mi nazidi kukuomba usijiite JLO, waone woooote ulikuwa nao ambao wako juu sana ila hawatumii majina ya watu labda malimbukeni kina Amber sasa wewe unataka kulinganisha akili yako kama yao? Please tumia Sintah linakupendeza zaidi na ndo litavuma zaidi. Kila la heri dada.
Plz sometimes take some advice my dear is not gonna kill you lol,Wewe ni mzuri, mrembo na kitu kimoja tu kinakuharibia kila kitu na ungechukua advice ingekusaidia hata baadae, naomba kuanzia leo jiite Sintalicious, Sinta or Christine waone wengine wanatumia majina yao tena ya ajabu mfano Mange, Mwamvita lakini ndo wanayatumia hayo hayo haina haja ya kujiita JLO kwanza for what? you are educated na pia unajua mambo mengi pls nakuomba niko chini ya miguu yako jiite tu jina lako litakupendeza sana.
Kutoka Kwa akupendaye daima.
We nae kwa kujikomba my wii... Eti my cousin huna lolote kujikomba tu we na Malick wapi na wapo mbona wa kile nanjilinji huwataji?cousin my ass☆☆☆☜
acha waseme yote but wewe ni mzuri sana.
jane bomba
mhh mnapenda kujionyesha kwa taarifa yenu wazuri wapo na wetulia nyie viruka njia manunga embe na kuparamia waume za watu ndio mnakijua mjini wala hamjapendeza kichefuchefu namkubali NARGIS ONLY
Picha ya mwisho Flavvy kachekesha..lol..
ULIVAA FLAT WAPI BIBIWEEE MBONA KOKOKOO NYEKUNDU TWAZIONA??
HAHAHAHAAAAA SINTAH banaaa urefu na ufup vyote amepanga Mungu jikubal tu majaaliwa yako tena....
we sinta mnafki sana sasa unanichefua nakupenda ila unaanza kuniboa bwana we juzi kati hapa umemkana joket sio shoga yako ovyoooo unajua maaana ya bbf ni bestfriend forever sasa hueleweki usiwe kama nywele zikiwa chin ma£$ zikiwa mwilin vinyweleo zikiwa kwapan tafrani mxchhhhh bana coment ila ujumbe umekufikia kumoyo
Ufupi si ugonjwa mamy accept and move on! U're short but beautful!
Mlipendeza dears, kubali asili yako wewe ni mfupi na ni maji ya kunde ila umeamua kijikoboa mpaka basi, halafu kisa cha kujiita JLO ndugu.... naamini we ni mwanamke jasiri na unayejiamni kwa nini ujiite JLo, pretty sinta is nice coz u are beautiful gal but not kujiita JLO, inakuwaje mbaya sasa.
Una wivu mwanamke Jokate ana midomo mizuri.............. wivu unakusumbua mpaka unaudhika kwenye facts... hiloooooo
hukuelewa shost hakuna alipomkana Jokate aliongelea ugonvi wa wasanii wala hakutaja jokate so nadhani hukumuelewa na endelea kumpenda.
ahaahhahaaa,JLO my asssssssss!!! siku hizi sauda sio shogaako??? mbona kitchen party yake hatujaiona hapa....
hahahahah wewe unaejiita diplomat hata cheque kuandika hujui alaf una elimu hahaha ya uchororoni babuuuuuu!
Post a Comment