PS wadau
Hivi kwanini wasichana ma super dooper star wanapenda kuishi maisha ya kuigiza??
utakuta wana madeni sana mpaka wanaboa,yoote hii ni ku maintain status uchwara hapa mjini.
jamani kuwa jinsi ulivyo,magari,nguo,viatu na fashion show zisizokuwa na maana ni za kijinga please try to be real ladies.
utakuta mtu anakopa mpaka unamuogopa yote ku maintain status hapa town.
wanaume watawafanya vya kuwafanya kwasababu ya ignorance zenu arghhhh too much jamani.ishi uwezavyo maisha ya kubangaiza yalishaaga long time kitambo.
WENYE MADUKA TOFAUTI KAENI CHONJO
from Lope Lope J
Hivi kwanini wasichana ma super dooper star wanapenda kuishi maisha ya kuigiza??
utakuta wana madeni sana mpaka wanaboa,yoote hii ni ku maintain status uchwara hapa mjini.
jamani kuwa jinsi ulivyo,magari,nguo,viatu na fashion show zisizokuwa na maana ni za kijinga please try to be real ladies.
utakuta mtu anakopa mpaka unamuogopa yote ku maintain status hapa town.
wanaume watawafanya vya kuwafanya kwasababu ya ignorance zenu arghhhh too much jamani.ishi uwezavyo maisha ya kubangaiza yalishaaga long time kitambo.
WENYE MADUKA TOFAUTI KAENI CHONJO
from Lope Lope J
18 comments:
Naona umewaamlia watakomajeeeeeeeeeee msimu huu
hahhahah tuheshimiane mjini tajijuuu
wanaishi maisha ya kigazi.. lol kisa cha kujiumiza. tujikubali maisha tuliyonayo sio kuwa na tamaa ambazo baadae zinakuja tokea puani. mjini shule
shogako fiderine iranga anakopa minguo ya milioni hakupi shilingi, ukimdai hadi ugomvi na mapolisi juu sina hamu na yule hayawani, anapenda kuazimisha wenzie viatu na kuvitimbaa ukidai kosa.. sijui limeumbwaje hayawani lile dege lisiloliwa... likaendaga dubai likajidai lina birthday likaiba camera ya watu ya bei mbaya, hana hata shoga siku hizi wote tumesepa jitu lina wivu kutwa kupakazia wenzake, kaviuza vibinti vya watu hadi kwa liumba fide ana laana ebu muweke humu sijamuona kitambo sijui liko wapi naona magazeti ya udaku hawamuuzishi sura kwisha habari yake full mnyambo zamu ya kina wema... shosti fide kauza k wee kashindwa hata kuongwa baskeli ya guta achalia mbali bajaji he he heeeeee ati mwanamitindo maarufu.. uharo wa bata!
hahahaha!waambie
Hilo Nalo neno Lopez,
Wakopaji huko walipo watasonyajeeeeeeeeeeee haloooooo
MMmmh lazima wakope my dear unadhani wakitaka kupiga kivazi cha ukweli kama ulichopiga hapo juu afanyeje! Lazima apite kwenye boutique zote akope ili akaonyeshe huko kwenye kitchen party gala
duuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu huo upaja , lazima denda litutoke!
duuuuuuuuuuuuuuuu huo upaja + pozi lazima madusheleeeeeeeeeeee wanase
mmh,nilikuwa siyajui haya ya fide.hao mastaa kumbe ndio zao.ipo siku yatawashinda
hahahahahahahahahahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa! dah! napita tu..."sijui limeumbwaje hayawani lile dege lisiloliwa" kwikwi kwi kwi kwi!!!
Hivi shost hiZi comment huwa unazipitia kweli?? Watu watajaleta chuki zao bila sababu mama.
Ujasiri si wote walojaliwa mpendwa.
yuko kwao sinza anaumwa yu hoi ukimwona utamuonea huruma. Hata hilo deni utamsamehe. Labda umuombee apone akulipe manake keshaanza dozi.
sinta naona mwaka huu umekuja kivingine wape wape vidonge vyaoooooooooooooooooooooooooooooooooooooo
mmmhhhhhh!nahisi napita tu! fide umsamhehe kabisa kabakiza mabega tu na pumzi, yupo pale kwake nyuma ya meeda.
Mjini kuna mambo, bora sie wa kijijini tunalima kwa kwenda mbele!
KABISA TUTAKUTAJIA HADI MADUKA ILI UKAWATAHADHARISHE WENGINE HADI MAGARI WANAAZIMA
Hey there, You've done an incredible job. I will definitely digg it and in my view suggest to my friends. I am sure they'll be benefited from this site.
Take a look at my website - Status Symbols
Post a Comment