Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

SINTAH.COM HIYOOOOO

Sintalicous
baby wa naniiiii???


Halooow watu wangu wa ukweeeeh,ni hivi basi sasa hivi tukutane pale www.sintah.com

whats new sintah.com

sintah.com itakuwezesha wewe u chat na marafiki saa 24,,,,, katika live chat yetu ya hapo hapo kama hutaki jina lako litokee ingia kama guest tu na u chat na marafiki jamaa na msutane,muambiane ukweli na drama nyingine live na mengi tuu yapo

kama kawa vibweka ,na vurumai zote na comments zitakuwepo,heeee lolest.

Mungu ibariki kazi yangu na watu wanaonipenda na kunizunguka.

Sintah.com
 

 send email : tinah@sintah.com

26 comments:

Sally said...

Tafuta picha nyingine yakuweka hapo juu iyo umepaukaaaah.sijui ni mikorogo au mapoda yamezidi

Anonymous said...

baby ya okwiiiiiiiiii

Anonymous said...

nataka nichat na wewe live sintah nifanyeje sipaoni jaman jaman

jlo said...

ann wa hapo juu ku chat na mimi nenda sintah.com utaona sintah's chat so drop ya message there u ta chat na mimi live but nikiwa online kama sipo my team wata chat

love u loads

Anonymous said...

uwiii,eti baby wa okwi,wadau hamkawizi kutoa live,ni kwel lkn baby wa okwi?

Anonymous said...

jlo mambo ya Aisha Madinda umefikia wapi mamimto

Anonymous said...

Kitu cha okwiii hivi hamnaga mapenzi na watu ambao si masuper staa jaribu ufurahie mapenzi sio kujifichaficha tu

Anonymous said...

DU PICHA YA KWANZA UMETOKEJE SIJUI YANI MACHO YAKO YANAONEKANA KAMA BIBI KIZEE HAAAA.. HEEE.. KWELI MKOROGO NOMA...

Anonymous said...

KWA KUIGA WEWE HUFAI LOLEST,TUMECHEKA HAPA BALAAA.UNAMUIGA MPARE MWENZIO KILA KITU ANACHOFANYA,UTAAMBULIA PATUPU KWA KUPIGA PICHA NA NGUO ZA KWENYE SALE.NA KUWEKA WEB NALO PIA UMEIGA.SHAME ON YOU.UNAIGA TEMBO KUMEZA BOGA WAKATI WEWE SUNGURA UTACHANIKA.....

Anonymous said...

jamani urafiki na WOLPER umeishia wapi?..mtoto una roho mbaya wewe sijapata kuona loooh..watu washamtonya WOLPER..umemuharibia hadi gari limekamatwa sasa ivi unachekelea..

Anonymous said...

IGA UFE,

USIFUNGUE TU KWA KUTUMIA SITE ZA DEZO KAMA HII ULIYONAYO YA BLOGSPOT. Kama kuna mtu unamlipa kwa blogspot ambayo ni google free site basi umeliwa.

Sijui hata kama unaelewa .com ni commercial site inabidi uwe unailipia kila mwezi. Mwenzio tangu siku ya kwanza hakuanza kutumia site ya dezo, ilikuwa ni .co.tz, wewe utaweza? Au unatumika tu ka picha mwishoe uje uaibike huko siku za usoni? Mie sina muda wa kuchezea kuchat upuuzi!!

Anonymous said...

ataiga ila hamfikii mpare mwenzie wa hapo mtaa wa pili,,,,.

Anonymous said...

maskin nguo kushnei ndo maana unarudia picha, endelea kuiga wa mjini utafirwaa mpaka urukwe na akili,,,mbwa koko wewe.

silvie j said...

i like ur blog xoxo

Anonymous said...

Bora ya sintah huyo mpare mwingine kachoka mbaya kimekondeana sijui nn mbaya maana mpaka blog imechoka loool!

Anonymous said...

Duh bonge la shugamummy, au tuseme umeamua kutoka na Serengeti boy? Emmanuel Okwi amezaliwa 25th December 1992, yaani almost 1993. Hivi ni mwaka gani vile ulianza kucheza michezo ya kuigiza Kaole? Huyu Okwi si alikuwa bado anavaa diapers leo unatangaza kabisa eti huoni aibu kutembea nae?

Duh unamcheka Aisha wakati wee mwenyewe ni wale wale.

Anonymous said...

jamani muacheni sintah mumkome kabisa..kwani huyo wa mtaa wa pili nae si anako anakoiga..sintah iga mpaka uchoke..burudani tuuu

Anonymous said...

mbona watu mko hivo lakini? Lazima nyie muingie humu kama huyo wa mtaaa wa pili ni wa maana kuliko sinta basi msiwe mnaingia humu...

Mnasema sema tuu,nyie blog yenu iko wapi...ndo maana watanzania hatuendelei kwa sababu ya wivu wa kijinga

Mnaboa sana aisee,chuki aijengi washikaji...

Anonymous said...

duuu kwahiyo OKWI ndio anatomba huyu muhaya?

HVI WE SINTA UTAKUA LINI HEBU TAFUTA MTU UOLEWE JAMANI HAO MASUPERSTAR WATAKUPELEKA WAPI?
UNAZEEKA WEWE SHAURI YAKO... KILA SIKU WANAKUTOMBA THEN WANAKUACHA HUKOMI??

ULIANZA NA NATURE SASA NA OKWI KISA UMESIKIA ANAENDA ITALY?

HEBU BASI MSHAWISHI AJE YANGA....

Anonymous said...

safi sana kwa kuwapa ukwl wao kazi kuponda hawana lolote watanzania ndio mana hamuendelei majungu tu we unamuita sinta mzee ulimuonaje km nac mzee lolest huna jipya kaoge

Anonymous said...

nashangaa hawa wanaolinganisha hapa na mtaa wa pili,wachonganishi na inaelekea wamekosa kazi za kufanya na nyie mtaa wa wa kwanza na wa pili fanyeni vitu vya maana vya kuwajenga watanzania kimawazo sio misifa kila kukicha!

Anonymous said...

na huyu anayehangaika na umri wa wapendanao yamekupataje? KWANI MWANAMKE AKIMZIDI UMRI MPENZI WAKE KUNA SHIDA GANI? kajipange ndo uje kushusha comments hapa sio unaropoka bila mpangilio!

Anonymous said...

Watu people hebu tuacheni wivu usiona maana na tuwe na wivu wa kimaendeleo zaidi, mtoto wa watu kila atachofanya kuna mijitu kazi yao kuponda tu hebu tubadilike jamen!!!!

Anonymous said...

Achana nao Sintah hao wapumbavu watakupotezea muda wako. Chapa kazi tupe burudani. Mungu yu pamoja nawe my dear.

Anonymous said...

hao wanaotoa habari toka mtaa mmoja mpakamtaa mwingine ata siwaelewi. sijui wanalipwa nini? uchochezi tu!

galfrend wa biba said...

urewediii wap jay wake nechaaa