Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

AISHA MADINDA KUTOKA KWENYE KUNENGUA KWA STAGE MPAKA KUMENYA VIEPE

daaah dada huyu alikuwa akizungusha
ninasema utajijuu utalijua jiji wewe
uliniacha na mama Vanessa
enzi za Aisha na pajero
lolest
Ujana maji ya moto ila huyu dada yameshamuunguza dasalaleee,hivi karibuni alikuwa na kashfa ya kutumia  madawa ya kulevya na ikampelekea kufikia kumenya viazi katika mabanda ya chips karibu na kwake ili apate kula ama apate zile  stim za beer hazimpati mpaka apateeee unga wa sembe siwezi kusema lolest maana si la kucheka.
mimi binafsi nilifika mpaka kwake maeneo ya Kino mkwajuni,jamani wasanii chonde chonde kuweni makini na ankara mnavyozitumia ovyoo,daah sisemi mengi ila kwa ufupi ni wa kumuombea maana sasa ni kushnehii babu giiii.

45 comments:

Anonymous said...

msitirini mwenzenu Sintah msimwache aumbuke mjini kumbuka wanawake kushikamana nakuaminia Sintah utafanya uwezalo usiniangushe pleese

Anonymous said...

Sinta nakuoenda na kukufagilia ila naona kama una mjok dada wa watu hujafa hujaumbika huwezi jua htma yako.hajapenda huwezi jua yaliomkuta hadi yupo hapo alipo

before hujaweka kitu fikiria kwanza usimuigilize makengeza utagombana na kila mtuvshauri yako last weekvulimuandama kuku kapanda bachikeli leo umerukia kwengine

minst

Anonymous said...

Duh! ama kweli yamemfika Aisha Madinda.....sintah na ufukunyuku wako hukumfotoa jamani utuwekee tumuone?! if not plz rudi mpnz uturidhishe wasomaji wako.....ni maisha aliyoyachagua yeye mwenyeweee MMUACHE MIAKA NANEEEEEEEEEEE

Anonymous said...

christina Acha kashfa zako,ungeandika vizur bac kma nia yako ilikua kuwaasa wasanii,apo dizain kma unamkashifu.naona umaarufu unatauta kwa udi na uvumba.mi nakupenda sema ukianza izi nyodo zako ndo unanchefua kabisaa.

Anonymous said...

Sinta utasutwa hivi unamjua Aisha vizuri wewe!

Anonymous said...

hii ni dunia kuna kupanda na kushuka

dinah said...

sintah hizi hbari ni za kweli?

Anonymous said...

my dear hujafa hujaumbika na usitukanae mamba kabla ya kuvuka mto,sina la ziada la kukueleza ila leo kwake kesho kwako utauweka wapi uso wako??? huyo ni wa kuonewa huruma sana!!!

Anonymous said...

Mmmmmh kaz ipo

Anonymous said...

kama c ya kucheka hyo lolest umeiweka ya nini?unajua demu hujisomi wewe....ni limbukeni la kutosha kila kitu ni mungu ndie anapanga leo mtihani kwake kesho kwako sasa kusanifu kwa nini....usijione umefika kifo bado bidada hujui kesho iko vipi..ukajiona umefika na lace wig zako feki hayo yote unapita malaya we....

Anonymous said...

do you think what you have written is fair?

Anonymous said...

Kumbuka kuwa kabla hujafa hujaumbika, aliyekuumba wewe ndiye aliyemuumba huyo Aisha jitie tu kidomo domo kama hayajakukuta makubwa zaidi ya hayo.

Anonymous said...

M dear sinta sikuzote nakusoma tu si comment, but kumbuka katika maisha kuna kupanda na kushuka, ndugu yangu wewe, hujafa hujaumbika walosema hiyo misemo wanaakili dada , kama kweli ilikuwa nia kuasa wasanii wenzio pls ungetumia lugha nzuri, tumia akili inapofikia hatua ya kuandika story za namna hiyo i Hope kusoma kwako kumekufikisha pahala ukaweza kujua unaandika nini na huyo mtu yuko katika khali gani kumenya viazi ni maisha tu ndugu yangu kunakukosa na kupata, Ijumaa Kareem Sintha

Anonymous said...

leo kusheni kwa mwenzako kesho kushnei babujii kwakoo,dunia hiii acha sifa za kijinga.

Anonymous said...

Sinta km ungekuwa na nia ya kuwa asa wasanii wenzio usinge weka maneno ya kebei kihivyoo. leo kwake kesho kwako dunia kupanda na kushuka usione hata ww ndo umeshafika. pole yake masikin, ila nyie ndo watu wa kumsaidia mwanamke mwenzenu na sio kumkejeli kwishine babu gee shauri yako.

Anonymous said...

you seems to be happy about it! wish you could write something to find some means of helping her but instead its like you are mocking her. This article describes a lot about you ... NOTE: THE BEAUTY IS JUST INSIDE OF A PERSON & NOTHING ELSE. you should change your attitude girl...

galfrend wa biba said...

nae sinta anaelekea huko sasa hivi utarudi kwa jay wa necha c wewe ulikuwa unamuomba hela kila kukicha laki laki na hela za vocha mfyuuu leo wajifanya wakisure loooooh dunia ina mambo wap ASHA MADINDA Sintah utasutwa na bendi na ukoko wa wali....gusa mkwajuni weyeeee....

Anonymous said...

wewe sinta unajua si mtu mzuri,mwanamke mwanzako hata siku moja hachekwei,#

wewe na elimuyako iko siku utashaanga ya dunia ndo wewe mashauzi, vijitu vifup mnamatatizo kweli hiv we unaakili kweli ndo mana blog yako ya kichovu

Anonymous said...

hivi wewe sintah wewe, subiri dawa yako yachemka, umegusa makaa ya mawe, na yatakuchoma ngoja! siku ukifulia nitakuwa wakwanza kukufungulia blog! achana na watu na maisha yao!

Anonymous said...

kwa usalama wako ondoa hii posti na umuombe radhi aisha ndani ya siku mbili, kinyume na hapo basi ndugu zako wasubiri huzuni kubwa. hii ni kweli sitanii maana tumechoshwa na kashfa zako. habari yeyote kabla ya kutoka utafutwa muhusika jee ulifanya hivyo? kuna watu wangapi wanaokuhusu ambao wamechoka kimaisha mbona hatuwaoni hapa? mdomo uliponza kichwa binti. UMEYAKOROGA SASA UJIANDAE KUYANYWA. RAFIKI YAKO AMINA CHIFUPA ANAKUSUBIRI.

Anonymous said...

nyoko wee sinta, uchi wako hauna sura nzuri...

Kinanasi said...

Sasa umemtangaza mwenzako kwa kejeli ili iweje kwamba wewe ndo wa maana sana? Acha hizo binafsi cjapenda.

Anonymous said...

sinta wewe ni juha,huna akili,nadhani unatumia matako kuwaza. Af haya mambo ya kuiga haya yatakutokea puani kuna jinsi ya kutoa habar sio kma ivi ulivofanya. M ningekua aisha ungenijua,sicingekuacha.ulimfukunyua mr nice kakaa kimya,cjui ukaona sifa ss unakoelekea uko ni kubaya.

Anonymous said...

wewe malaya wa kaole unaitaji kushughulikiwa ili uwe na adabu. Na hao mashoga zako nawaskitikia we c mtu wakawaida.

Anonymous said...

Mmmmmh! Ww malaya bubu,mshamba,mbaya na mchafu..umemaliza kuishi ww?wakati unaenda Owino kununua vilapa vyako mbna hatukusema!sura kama kinyeo cha kobe!bora yy ana guts za kumenya viazi kuliko ww ulietariziwa mkundu kwa kufirwa ununua ma lace wig!muacha m2 aishi maisha yake

Anonymous said...

mmmmh makubwaaaaaaaaaa

Anonymous said...

Sintah mimi sijawahi kukoment humu ila maneno ya Aisha Madinda yameniuma sana kusikia na wadau wamekuambia maneno mazito sana mdogo wangu hasa wadau wawili wamesema wanawake haifai kuchekana neno zito sana hili mdogo wangu, unajisikiaje kuambiwa hivi ukiwa kama mwanamke? najua unaroho ya kusaidia nimeshakuona ukienda kwenye nyumba za yatima kusaidia hili na lile mola akuzidishie kwa moyo huyo naomba akupe moyo huo huo wa usaidizi ukamsaidie Aisha Madinda kama nikumpeleka rehab atibiwe kama huwezi peke yako tafuta wenzio wenye roho za imani kama yako msaidiane

Anonymous said...

Baaaada yakuvurungwaaa na juma nature now ndio,anajiona mjanjaaa pls pls Sintah binadamu,mwenzio anapopatwa na shida usimcheke maana,ya mungu mengi iko siku na wewe yatakupa sijui utaweka wapi huo,uso wako kama kinyagooo,sokwee na huo mkorogo wako wa Kinondoni,badala yakuamasisha watu wamsaidie wewe unaweka,vijembe,umesoma kweli wewe?maana sioni kama hiyo Elimu yako inakusaidia,au uliyeenda kusomea jinsi yakutafuta mabwana za watu? Na jinsi yakutoa vijembe hapa kwa hii blog yako,

Mdau..!

Anonymous said...

HUMU DUNIANI HUJAFA HUJAUMBIKA...SINTA WEWE UNASAHAU SANA ULIPOTOKA NA UNASAHAU HATA WEWE ULIFULIAGA,MAISHA NI KUPANDA NA KUSHUKA.LEO UNAMCHEKA NA KUMKEBEHI AISHA KESHO ITAKUWA WEWE,HUO USUPASTAA UNAONA LEO KESHO UTAKWISHA HATA KAMA NI WA KWENDA KWA WAGANGA.....MJIFUNZE TOKA KWA MASTAA WA NJE AMBAO WALIHITI DUNIA NZIMA LAKINI LEO WAPO WAPI?NDO MAISHA HAYA SO HUKUPASWA KUMKEBEHI HATA.....WALIKUWEPO AKINA JOE THOMAS,MICHAEL BURTON AND SO MANY OTHERS SA HIVI WAPO WAPI?ZIPO SURA MPYA...NDO MAISHA HAYO.PAMOJA NA AISHA KUFULI WATU BADO WANAMPENDA KWA SABABU ALIVYOKUWA STAA HAKUWA NA MAKUU NA MTU NA NDO MAANA HATA UKISOMA KOMENT ZOTE HAPO JUU WATU HAWAJAFURAHISHWA NA ULICHOANDIKA.MWOMBE AISHA MSAMAHA NA UTOE HUU UCHAFU HAPO JUU.OLE WAKO UBANIE KOMENT YANGU.

Anonymous said...

Hivi nyie huyo alie waambia huyo sinta kasoma nani? anawadanganya nyie. Sinta au Christina kasoma Kiraeni Secondary mkoa wa rombo alikuwaga wamwisho darasani kwa kuendekeza ulezbian, akafukuzwa Kiraeni akaenda Jitegemee, form four kafeli kabisaaaaa, anawadanganya tu na vyeti vyake vya mdomo, mbona kazi ya maana hafanyi basi kama msomi kweli, wasomi wako maofisini na hata hawana muda wa kufwatilia watu wengine, yeye mbona kutwa yupo mitandaoni. Kusoma mchezo nini? anajishauwa tu kwa wasio mjua, akamdanganye Juma Nature ila sio sisi tunae mjua.

Anonymous said...

i ve copied and pasted hii habari, ngoja yakufike utaipata habari laana kum wewe. Mtu na akili zake dunia ya leo anmcheka mwenzake mwenye matatizo? Alikuchukulia mume au? yaani nimekushusha thamani, ndo maana bayaaaa, pua kama ngumi ya baunsa.
Yaani sikommentigi humu huwa napita tu ila mpango wa kucheka wenzio unaelekea kukomaa sasa, acha nikwambie ukweli, itakula kwako 1 day

Anonymous said...

Imeniuma sana sababu huyu ni mama mzazi wa mtu wangu wa karibu sana,naimani ata mama ako akiwa kichaa hautapendezwa mtu kumkejeli..Muogope Mungu wewe sintah..yakwako mangapi watu wanayasitiri ulivokua kampala ulikua takataka tu kama housegal umechoka mbna watu hawakutangazi na picha zipo..mdomo utakuponza

Anonymous said...

HIVI NYIE MNAOMSIFIA HUYU MWANAMKE KUWA KASOMA HIVI ALISHAWAHI KUWATAJIA KUWA KASOMA WAPI? NA ALISHAWAHI KUONYESHA HATA VYETI VYAKE?

Sintah sisi tuna wadogo zetu, kaka zetu, watoto wetu kama Aisha Madinda, tena wamesoma kukushinda wewe mshenzi unaejitia umesoma ushuzi! Lakini wamefikia stage ya kuwa addicted na madawa yanayouzwa na mabwana zenu, ili wawatimizie matumizi yenu huku sie tunabaki na mzigo wa ulezi wa watu wazima. Aheri Aisha yeye hamuibii mtu anakwenda kumenya viazi anauza lakini wengine wameathirika kiasi wanachokiona wanaiba.

Umeambiwa hujafa hujaumbika na leo nakuongezea laana nyingine (mbali na ile ya kutukana wafu) yalompata kibeku na ungo yatampata, na kama sio wewe basi utahangaika na mdogo wako au kaka yako kama tunavyohangaika sie.

Anonymous said...

mbnona wewe hujisemi utapeli wako/mbona husemi zile ulizowatapeli wachina then ukakimbilia uganda...bania na hiii kundu lako

Anonymous said...

Sinta nakupenda sana ,tena naipenda blog yako siwezi lala bila kufungua yanayojiri...

Leo umeniudhi sana na umeonesha unafiki wako wa hali ya juu,rekebisha kauli yako na kamuombe aisha msamaha.

Sipendi kashfa,na hapa ulivoandika hivi nimeumia sana maana aisha namjua na tunajua hali yake lakini hatumtangazii na kumkebehi kama wewe unavofanya ,leo kwake kesho kwako

Sinta kabla hayajakutokea puani please fanya kama tulivokuambia usije juta maisha yako yote .

Wewe ni mrembo na msomi kama unavojiita ,please act kiutuuzima na usiepende kuwa na waadui ulio nao wanakutosha acha kuongeza uhasama na watu.

Love u ....

Anonymous said...

Sinta nakupenda sana ,tena naipenda blog yako siwezi lala bila kufungua yanayojiri...

Leo umeniudhi sana na umeonesha unafiki wako wa hali ya juu,rekebisha kauli yako na kamuombe aisha msamaha.

Sipendi kashfa,na hapa ulivoandika hivi nimeumia sana maana aisha namjua na tunajua hali yake lakini hatumtangazii na kumkebehi kama wewe unavofanya ,leo kwake kesho kwako

Sinta kabla hayajakutokea puani please fanya kama tulivokuambia usije juta maisha yako yote .

Wewe ni mrembo na msomi kama unavojiita ,please act kiutuuzima na usiepende kuwa na waadui ulio nao wanakutosha acha kuongeza uhasama na watu.

Love u ....

Anonymous said...

Sinta ujaongea na mungu wee ipo siku litakukuta utatafuta pakujifukia wee hii ni dunia tunapita tuu!

Anonymous said...

mmmmh makubwa kwa kweli,haya, mi mpitaji tuu

Anonymous said...

Weee Sintah UNAA UTINDII WA UBONGO. Sio mzima kabisa...daaah wazazi sie tunakazi..haya tuzae tu ila matunda mengine si matunda KABISA...Aaaah!!!

Anonymous said...

Aisha mtoto wa kigoma usimuone teja..elfu ishirini yake tu akiituma tigo pesa kigoma we mkundu utajuta kuzaliwa.usimdharau mwenzio kwa yaliyomkuta leo kwake kesho kwako tupo hapa

Anonymous said...

wakuache sinta miaka 100.hyo.anaesema umsitiri .kwanini yeye asimsitiri.wewe sinta umemuweka hapo w.atu tujifunze kupitia hao.sindio jamiiii.uga ufe hiyo.kana .mama aliyetumia garama zake kumsaidia kama .asha baraka.then mtu abadiliki.amechoka .na maisha .anajua anachokitaka.akikipata.atatulia.

Anonymous said...

TATIZO WABONGO HATUPENDI UKWELI ILI WENGINE TUJIFUNZE.SIONI KOSA LASINTA.MBONA KIPINDI KILE SINTA ANAHANGAIKA NA JUMA NATURE .ALIANDKWA MPKA .SASA ZAMUZA WENGINE.MNA MFCHA UCHI HAZAII.WEKA UKWELI WATU WAJIFUNZE .KIFO KIPO .HAKIKWEPEKI.WTE TUTAKUFA BUT UKELI UPO PALEPALE.KAMA WA KIGOMA WA TANGA ABADILIKE .MPLEKENII MSG ABADILIKE .WAKUACHE SINTA.MUWEKE NA KIDOTI MWIZI WA WEMA WATU WAFURAI .MBONA VINGINE UNAVIMEZA.KAMA WEWE MKWELI SINTA KUWA WAZI .NDO MNA WANAKUCHUKIA.

Anonymous said...

hivi ww maisha umeyapatia hapo,wkt umechoka tu eti umesoma elimu ya UG nawe msomi,mpuuzi tu,ww piga tu domo kwenye radio ya kichovu huko

Anonymous said...

Ninachoweza kusema ni kwamba kuteleza si kuanguka, Aisha aliteleza na sasa yuko ktk stage nzuri tu ya kuanza upya maisha yake, ukiongea naye anakueleza vzr tu ilikuwaje na hv ss yuko rehabitation. Mitihani ya MUngu haiji na kalamu na karatasi, Aisha atasimama tena na M'Mungu ni mwema na wa kushukuriwa kwa kila jambo. Ramadhani njema.

Anonymous said...

Wanawake mbona mwajidhalilisha hivi? Kila mtukanaji ni kum.. kum.. hivi mbona hamtukani mboo au hicho sio kiungo?? Acheni kujidhalilisha namna hiyo na mnaotukana wote ni wanawake eti li mwanamke linaandika kabisa kum.. wakati limeibana ya kwake mapajani.Mtabaki hivyo hivyo kudharauliwa na wanaume kwani mmeshindwa hata kuviheshimu viungo mlivyopewa na Mungu.