Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

NANI AMENUNAA,NANI AMENUNAAA (COMMENTS)LOL

dear Sintah sorry for what happened 



From BFF Ch O vj Jockey
walisema umenichukulia bwana
wameumbukaje??thx for zawadi
wasomi huwa hawagombani


duuuuu,nilipata comments nyingi sana zikisema nimegombana na Jokate mara kanichukulia bwana daah?hivi umeshawahi kusikia wasomi wanagombana?aah wapi,baada ya kuuziana na paka shume la mjini  lazima kama rafiki anayejali aliniletea surprise ya Perfume na lotion just kuniambia pole her friend jamani(nani amenunaaa)

thanks Jokate kwa zawadi itabidi watu wawe wananiuzi kila siku ili uniletee zawadi,heee nakupendajeeeeee?

84 comments:

Anonymous said...

na ni kweli wasomi wa ngono mmekutana ila yatawakuta tu kukuadiana

Anonymous said...

saakwani wema ulikuwa umemfagilia sasa umemuacha upo kwa huyo ila.unalolitafuta na degreee zenu mtazipata

Anonymous said...

Matako yenu wote wawili usenge tu sasa ktk perfume nayo utaita jina mfyuuuuuuuuv naushamba wako we jlo makorokocho utapewa mpaka mavi mwaka huun........

shongololo said...

Mi sisemi mengi ukweli utajulikana . Dawa ya kugandani imeingia mujini kwa kishindo.
Siyo mwanaume tu anaweza kutegesha hata mdada kama una Bf au mume mzinzi njoo hapa bamaga fasta.
Dawa inanasa haina cha msomi wala mandisa kila tego haichagui star wala mwanakijiji.
Hongereni kwa urafiki wenu hakuna haja ya kuchuniana ukijua fulani anakuchukulia piga simu mara moja kutegesha tego. Wananchi tupo kushangilia.

Anonymous said...

Ngoma ikivuma,na ikavuma sana vuuuuuvuuuu,vuuuuuuvuuuuu,mwishowe itapasuka,Sintah mwisho wako utakua mbaya sana maana hamna mnafki duniani kama ww, huna tofauti na muuaji,unaenda uku mara uku yan hujielewi,uyo paka shume 2najua unamsema Wema,nawasikitikia kina Jokate na hao wengine wanaokuona rafk saiv maana watajutia,jokate anapoteza marafki wa maana kwa kua na rfk kama ww,kwanza una umri wa mama ake kama sio bibi ake,usomi gani ulionao Sintah,acha kutufanya wajinga

Anonymous said...

nyie ni wazuri duh!!!! respect kwenu sijali watu wanavo wasema nyie ni wazuri tu mnapendezea kua marafiki.... Mungu awabariki

Anonymous said...

wanatafuta kugaiana salio mjini kuna mambo hakuna kugombeana wanaume bali kugawina salio la H.. si vingine ulisikia wapi mwanaume anagombaniwa?wanawake muhelimike loll,mmmhhh dunia hii inatisha jamani tujijali

Anonymous said...

Mbona umeficha jina la losheni au ya mansese kwa mtogole???hehehe just for fun

Anonymous said...

UNAFKI MTUPU.PTUUUUUUUUUUUUUUUUUUU FULL SHOMBOZI-KINYAA

Anonymous said...

paka shume gani limekuudhi sinta tutajie tumrambe matusi..ila shoga kidoti nikimuona naskia kutapika...mfyuuuuu

Anonymous said...

esacada perfum ya vibibi..mtsswwwww

Anonymous said...

Hahhaaaa nani alisema amekuchukulia bwana una bwana gani wa kuchukuliwa weweeeeeeeeeeeeeeeee. hembu usituvunje mbavu sisi tulionuna hapa. Wasomi wa ngono au? huo usomi hatuoni labda makaratasi mmeweka ndani

Anonymous said...

Kiruuuu, mpz kuna tofauti ya usomi na kuwa na vyeti sasa wewe uko kundilipi? jiangalie tu we mwenyewe ulivyo na ulipo uko kundi gani? Hayo watambishie kina Wema ambao hawajaenda shule ukumbuke Blog yako inatakiwa iangaliwe na watu wote walioenda shule na wasioenda, wenye vyeti na wasomi. so take care

Anonymous said...

Samahanini sana, hii ni out of topic kidogo. Hivi nani anajua cream nzuri ya kujipaka ni ng'ae jamani mwili mzima? au kama kunamnayemjua muuzaj! nilikuwa napakaga zamani nikaacha sasa nataka kuanza tena kujichubua. tafadhanli naomba mnisaidie wadau! SHUKRANI.

Anonymous said...

unapenda kujikweza ili upate zawadi....wasomi wametulia tuli wale empty headed ndio wanapenda ku-remind kila wakati kasetifiketi feki alikokasotea ha ha ha ha mujini kuna kila aina ya matahira....ila wewe funga kazi.

Anonymous said...

Sintah we si unajiamini kuanika vitu vya watu sema basi na la Diamond kulala na Aunt Ezekiel hotel moja karibu na maji machafu - sayansi

Anonymous said...

Kama hajafanikiwa kukuchukulia basi yuko njiani usimwamini sana huyo 'kidoti' sijui 'kikovu'.. Hafai kama ni mtu mzuri kwanini anarukaruka na kila mwanaume? umefurahia tu hicho kipresent akikupa mgongo anawink.. haaa haaa.
Bora kuwa rafiki na wema kuliko huyo 'kikovu' i use to like her but since amchukulie wema mtu wake basi. Nahatakaa awe na amani kwenye maisha yake hata kama anapanda pipa kila wiki yale maumivu aliyonayo wema atakuwa anateseka tu. MWIZI MKUBWA HUYO...!1!

Anonymous said...

Anajisafisha dhambi zake kukuletea vijipresent... yani laiti ungejua sinta watu wanakuchukia kwasababu ya huyo bitch wanaona unamsaport.

Anonymous said...

Itupe chooni mwaya sintah huyo binti anataka kujisafi kupitia gift. Then anaona wewe ndiyo unamfunikafunika hapa mjini na vijiissue vyake thats why anakuletea vijipresent uwe calm na undelee kupenda.

Anonymous said...

ETI WASOMI???? UWIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIIII MY BOTH RIBS AND LUNGS! KHA! LABDA WASOMI WAKUGAWA UCHI NA CHEMBA ZA MAVI! SHAME UPON U STUPID GAL, U R A DISGRACE TO OLL GRADUATES AROUND THE PLANET! MFYUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU! Na bado utaibiwa sana huyo bwana, ukiona unabanwa sogea watu wapite!

Anonymous said...

Heeeeeeh kumbe umeachwa watu pipooooooooooo

Anonymous said...

Haloooooooo kumbe umeporwa bwana??kuropoka sana kukizidi,leo umefunguka haloooooooo wasomi sio wachoyo utagawiana nae tu dudu

Anonymous said...

Paka shume la mjini??hehe umechukuliwa bwana rahaAjeeeeee oh msomi oh mi mzuri oh na mi confidence kuna wajanja zaidi yako wewe,we mbona wa kawaida mno size yako nature

Anonymous said...

Watu wamekuta maji woWaa nini,Dah maji kibao pole msomi wetu wengine hawaonjwi watam ajabu lazma akuache na mishebeduo

Anonymous said...

Wacha we lazma alete naimagine ulivyomganda ajuta

Anonymous said...

Nani anuneee tunasherehekea wewe kutendwa heheyaaaaa

Anonymous said...

Na bado umeonyeshwa kuna wenye confindence zaidi yako umebaki kubwabwaja tu

Anonymous said...

Umalaya.com

Anonymous said...

Habari ni hizo hizo tu wanaume halaf eti wasomi sinta utaishia kumegwa tu toka enzi za dsj dah kushalegea

Anonymous said...

Bwana anauma eeeh

Anonymous said...

Njoo tushare wa kwangu we kidawa mie sina choyo

Anonymous said...

Umetendwa msomi wetu,kumbe wasomi pia huumia wakuchukuliwa bwana tehtehtehteh

Anonymous said...

Malaya tu nyie siwapendiiiiiiiiii!Nyoko zenu na usomi wenu mavi kunuka

Anonymous said...

Basmati mbovu na mikwara hatari bwana ni wako akiwa ndani akitoka atamendewa tu na akimkuta bibi mtamu sio kushalegea kama wewe Ala anahamia kabsa

Anonymous said...

umesoma lakini una mashauri ya tandale tulia tu watu wataona usomi wako sio lazima upige kelele na huyo malaya wako mbovu

Anonymous said...

sinta umesoma lkn huelewi.comment za jana zilikuwa zinahoji ulivyosema kuchukuliana mabwana ndo wadau wakacomment mbona jokate alivyomchukua almasi hukusema lolote?yamekukuta kwa mwingine na co kwa jokate unalalama.

mama naah said...

yaaani kweli ww kamkundu yaonekana hata bwana ako siku akitaka mkunduu anakuletea kajizadi basiii unatoaaa tuuu kiulainiii...
vijizadi kidogo tuuu
mineno inakutoka kibao wewe sio msomi na kama msomi basi ww ni mshambaaaa sintaa ww ni mshambaaaaa tena limbukeni bwege wewe

eti perfume na lotion ovyooooo

Anonymous said...

Kumanina zenu wote wawili wasenge unabinia comment eee ila msg sent mfyuuuuuu

Anonymous said...

sinta ww ni mzuri ila tabia yako ya unafki inakuchafua kila kitu hata huo usomi hauonekan.badilikaaaa

Anonymous said...

kama alivyomkwapua diamond kutoka kwa wema! na yeye ategemee hivyohivyo tu, watamkwapua tu wajanja wallah! na kama kweli aunt ezekiel kambeba diamond, nampa big up vibaya mno aunt kwa ukomandoo aliouonyesha! yaani endeleeni tu kupokezana, inaleta raha kwa kweli! mchew!!! mnaboa sana, eti wasomi, kha!

Anonymous said...

mi napita tu hapa, Sintaaaaaa mti unaopigwa mawe.....lol yetu Machooooo

Anonymous said...

ETI SORRY 4 WHAT HAPPENED JAMANI MAKUBWA MAMBO MENGINE USIWEKEGE HUMU SHAME

Anonymous said...

mmmh mna mambo nyie malaya wa mjini haswa wewe sinta umeibuka juzi tu lkn mbwembwe nyingi punguza tui uweke mchele blog yako haifundi chochote zaidi ya kupoteza maadili tu,,,,,kundu wewe

Anonymous said...

Mmmmh! Enzi zile ulipokuwa kaole kiasi ulikuwa una nyota nzuri ila toka umerudi mjini una bahati mbaya,yaani jamii inakunanga mitaani ndio usiseme inaonekana siku ukipata janga kama la LuLu watu watafanya party kuwa makini.

Anonymous said...

heeee... nimechekaje miee eti kikovu. na kweli saizi yake KIKOVU SIYO KIDOTI..

Anonymous said...

Dah hii blog kiboko lol,ndio ya msomi eeh kama kijiweni lugha za matusi tu

Anonymous said...

We kiboko,msomi act like one basi mweh

Anonymous said...

Hii blog kasheshe,tubadilishie jina la blog tuipe jina la udaku udaku na visokorokwinyo vyote vya ujingaz

Anonymous said...

Mmenipa raha wadau wa hii blog ya mtu anayejiita msomi, jamani matendo na mambo tunayofanya ndio yanaweza kutufanya tuonekane ni watu wa aina gani na si kujitangaza na unaweza usome na usielimike kama christina manongi. badilika bibie unajijengea mazingira ya watu kukuchukia kutokana na unachoandika punguza kujishaua na punguza nyodo, kusoma si mwisho wa kila kitu jali utu na uwe mstaharabu

Anonymous said...

mi sioni hata maan ya wewe sinta kuwa na blog! hivi inakuingizia pesa hii au ndo umbea tu unafanyia...mdogo wangu unaharibu sana jina la wasomi wewe! kaa chini achana na kuandikandika vitu vya kisenge! manina zenu!

Anonymous said...

Shkamoo sinta

Anonymous said...

Hivi na wewe una bwana eeeeh watoto wazuri wadogo wadogo waliojaa mjini hapa bado wabichi,wanaokufata wewe ni fyatu

Anonymous said...

Manina wote na huyu msomi wenu mavi kunuka,akili zake na nyie mchangiao utumbo sawa sawa,elimu yake ya kutombwa tu

Anonymous said...

MH WATU MANENO YAMEWATOKA MPAKA MAPOVU JAMANI!? KISA HAMTAKI MARAFIKI WAPENDANE! HAOOOOO MTAJIBEBA MWAKA HUU. HUYO WEMA NI NANI HASWA MBONA INAWAUMA HIVO KIDOTI KUWA NA DIAMOND MI NAWASHANGAA KIDOTI ANAMVISHA NA KUMCHAGULIA VITU VIZURI AKITOKA KWENYE SHOO MNAKUBALI WENYEWE.
HONGERA SINTAH KWA KUPEWA ZAWADI TUTAJIE HUYO GUBEGUBE ANAYEKUNYIMA RAHA TUMPE VIDONGE VYAKE.

SINTAH JLO UNSTOPABLE UKO JUU KEEP IT UP MAMA WALA USISIKILIZE MANENO YA WATU WASIOPENDA MAENDELEO YAKO.

JOYCE ROWLAND

Anonymous said...

Hivi what is the point ya kujisema kama u msomi wakati huo "usomi" wako haujidhiirishi katika matendo yako??

kay said...

wachangia comment wenzangu mnanifurahisha na comment zenu.

kay said...

laiti sura zetu zingekuwa zinaonekana pindi tunapocomment, bibie sinta hivi unapozisoma hizo comment unakuwa katika hali gani?

Anonymous said...

Msomi huyu kurushiana vijembe na mabinti size ya wadogo zake utachukuliwa mpaka babako mzazi

Anonymous said...

Doooooh humu ni soo kunanogaje mwenye blog mwenyewe hamnazo,bania shankupe lakini umeisoma mlengwa

Anonymous said...

ROR!!!! Mpeni mpeni mie naenda tafuta mengine uswazi nikipata natupia humu LIVE uwiiiii

Anonymous said...

Haya twende twendeee weweeeeeeeee ha ha ha haaaaaaaa

Anonymous said...

Katıka blog zote za bongo humu nı mwısho wa matatızo yaan huwa naıngıa humu kwa ajılı ya vıjembe vya watu yaan mbona watu wanahacra na wewe jamanı ! ukıona hıvyo unapaswa ubadılıke bıdada !

Anonymous said...

Jamani mwenzenu nilikuwa napitwa leo shoga angu kila nikimuona na cmu yake kicheko meno 32 nje,ndio kunidokeza haya yapatikanayo humu,ndio mara yangu ya kwanza leo tu nahisi stress free heheheh sinta kumbe bado upo upo?nilijua sahizi umetulia na familia kumbe ndio kwaaaaanza mambo ya michambo na kupashana hahahahhhaaahah

Anonymous said...

Lol lol lol eti basmati mbovu,matusi mengine najifunzia humu,hili naenda kumtwisha mtu na mie

Anonymous said...

Pole dada ukubwa jalala unatupiwa kila aina ya mizoga naona BuAhahahahah

Anonymous said...

Mipasho heviiiiiiiii

Anonymous said...

Uwiiiiiii mbavu zangu mie wajameni

Anonymous said...

Usomi tutauona wapi na ye kutwa kishangingi zaidi

Anonymous said...

wageni karibuni sana..humu ni burudani mwanzo mwisho..hafagiliwi mtu!

Anonymous said...

Bania tu ila unazisoma kimya kimya kwani mlengwa ni wewe simtumii mdau nakuchana wewe na umeisoma so ni sawa na kujidanganya bania tu tunaondika comment za ushauri za michambo weka tuzidi jifunza matusi mapya ya kitaa

Anonymous said...

uwiii pole watu wana hasira ndo ujifunze

Anonymous said...

Wasomi hawagombani au MALAYA hawagombani!!! malaya wakubwa nyinyi, nyuso mbaya kama kinu cha tangawizi

Anonymous said...

hahahahaha mie nikishaingia huku stress freee matusi mapya humu misemo mipya humu haya tupeni burudani sie

Anonymous said...

Uwiiii hicho kinu cha tangawizi kikoje wajameni, hahahahaaaaa!

mwasa baby said...

kazi ipo mwaka huu hadi uishe ni neema jamani! mungu tujalie hekima na busara!

Anonymous said...

NGOJA AKUCHUKULIE BWANA NDO UTAJUA WASOMI MALa.... Mwanamke anaechukua bwana wa mwanamke amjuaye si mwanamke huyo ni wa mshenzi subir utakuja nibeee au utanisendia msg

Anonymous said...

Mansese ondoa uchaga wako hapa

Anonymous said...

DU NAPITA TU KAMA MWENZANGU!!!!

Anonymous said...

Mmh,humu ndani,pametisha!

Anonymous said...

Natamani kuwatomba wote jamani wadada warembo nyie wanaowasema wana wivu tu wanatamani level yenu na hawataifikia kamwe!

Anonymous said...

we kuma unausomi gani, hovyoo, hivyo vicheti vyakuunga unga eti nawe msomi, teeheeeee

Anonymous said...

wish niwape my cock m-suck cz sio ndo mabest ful kushirikiana au vp sinta malaya....

Anonymous said...

NAONA HUKUIWEKA COMMENT, UMEZOEA KUTUKANWA NDO MANA COMMENT INAYOSEMA UKWELI HUWEKI, ILA UJUMBE UMEPATA

Anonymous said...

Mhhhhh! Dada, JIPANGE.