Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MASHUJAA BAND IMETISHAAAAAAA

dada alizunguka huyu jamani
loooh
mapedgheeee tulikomajee na suit
heeeeee petit who is the next one


kingungeeee chalz baba

Torres

20 comments:

Anonymous said...

Huyo abdu tall hyo suti aliyo vaa alinunua baada ya kumtapeli dacota meneja wa mapacha hela yake ya gari aliyopewa akamnunulie dubai matokeo yake gari ilikaa bandarini miez saba

Anonymous said...

Huyo abdu tall hyo suti aliinunua dubai baada ya kumtapel khamic dacota pesa yake ya gari dio akanunua jeusii kama nyoka kwanza hajui kusoma w

Anonymous said...

Huyo abdu tall hiyo suti baada ya kumtapeli dacota pesa aliyopewa amletee gari ndio kaenda kununua suti hyo huyo jamaa ni mshamba sna..mweusi kama pumbu za nyani kwanza hajui kusoma wala kuandika aibu gani

Anonymous said...

Mfyuuuuuuu sijaona la maana hapa na sijaelewa hasa ulichopost

Anonymous said...

Utumboooooooo tu

Anonymous said...

Tutolee ujinga bana kha!utadhani tuko kwenye udaku,tunaangalia mapicha yakwenye madisco,umetuchoka ama?uswahili huu sasa,msomi wetu unaishiwa news lol

Anonymous said...

Mimi umeniacha njia panda hapa oh mashujaa ilitisha oh dada alizunguka oh petit heeee ama umewawekea wao waone picha zao?manake maelezo ni 0 toka mwanzo sijaelewa kitu jifunze kunegesha mambo huu uandishi mmh ona kwa mwenzio naniliu kule akiweka mapics story kama movie vile rahaaaje hata hukuepo unaelewa kiliendelea nini

Anonymous said...

Hiyo madedghee ndio nini?halaf si mara ya kwanza kuona unaandika hivyo?mweh inatamkwaje mie najua unamaanisha nini lakini hii ya kwako kwako

Anonymous said...

its PDG...In french tutatamka pe de dje..kirefu ni president director general...

Anonymous said...

Chazz baba ulitokaje, Pendeza sana weye

Anonymous said...

kweli nyani haoni kundule na we c ulikuwa unazunguka kila kona ndo maana mkawa mnakutana engo zote...!

Anonymous said...

Kingunge na Torres ni uyo uyo au??Bongo bhana,ubunifu kitu cha zero

Anonymous said...

Hheee eti mapdeghee kwikwikwi na wewe ulitokaje?sie hao wa nini?si twawaona kwenye udaku kila siku??tupe vitu unique wewe Aaaarrrrghhh huyo petit umeshupaa nae jama

Anonymous said...

Ilikuwa wapi?na lini?na nini?toa maelezo full uliogopa wenye computer kukufuma nini,acha ubahili nunua laptop utu update kila kukicha humu,sio kila ukienda ofisi za times ng'o

Anonymous said...

Picha chafuchafu tu naona,hata camera yako inawafanya waonekane wa ajabu zaidi,hauna camera nzuri angalia u turn mambo mwake mwake

Anonymous said...

The next one ulijua wewe????baada ya kumpaisha humu???na the great ukampachika hehehehehh

Anonymous said...

Najihisi sijui nna kiherehere,manake kila kukicha naangalia kama kuna jipya humu,mwenye blog mwenyewe anaingia humu baada ya siku 3 lol..it sucks

Anonymous said...

wewe nae uzingatie maneno unayoambiwa..nunu laptop na kamera..internet za kuungaunga si mda wake..tusichoshane

Anonymous said...

hii blog inaniua mbavu kupita bloggs zote kha! mwenye blog anachambwaaaaaaaaa weeeeeeeeeeeee, ye na hao anaowatoa humu, lakini hakomi kwi, kwi, kwi, mbavu zangu mie! hebu nipite mie, tena kwa speed ya ajabu!

Anonymous said...

MA PDG hapo kuna pedege na suit za ajabu ww ulikuwepo huko au umeambiwa ebutuondolee huo uchafu hapo charls baba na njaa yake kuhama kama mwanamke malaya ebu ondoa hapo