Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MAIMUNAAAAAAA

serekali tunaomba msaada wenu
nini kifanyike mbona tunaumbuka hivi mashuleni
usikute huyu yupo chuo
looooh
it sucks

22 comments:

Anonymous said...

Heri yake yeye lugha ya kiingereza inamshinda, wewe mbona hata Kiswahili hujui! Angalia mapungufu yako hapo chini; 1. unaanza sentensi yako bila herufi kubwa 2. huna koma wala kituo kwenye tungo zako 3. spellig unakosea (serekali)4. hakuna neno "usikute" katika lugha ya kiswahili, wewe umelitoa wapi?

Unaponyooshea wenzako vidole, jiangaliae wewe binafsi umesimama wapi? Mwenzio kakosea lugha ya kigeni, cha ajabu wewe unakosea lugha yako ya kwanza!

"serekali tunaomba msaada wenu
nini kifanyike mbona tunaumbuka hivi mashuleni
usikute huyu yupo chuo
looooh
it sucks"

Anonymous said...

Hivi wewe unasubiri yatokee yakutokea ukawe kwenye kamati??mbona ishu ya sajuki umejikausha kuongelea wewe,hivi uko sawa wewe vitu vya msingi huweki unatuwekea mapics ya ajab ajab tu

Anonymous said...

Weka hapa issue ya sajuki hamasisha vidampa wenzio wachange,hamasisha sie wadau wako tuchange chochote tutakacho jaaliwa umeuchunaaa duh kila sehemu imeongelewa yakitokea ya kutokea utakuwa wa kwanza humu Breaking News nyoooooooo

Anonymous said...

Duh! Lakini kwani ni lazima tutumie Kiingereza? Mbona tukitumia lugha ya kiswahili inaondeza sana? Nimechekaje!!

Anonymous said...

hahahaaaaaaaaa.....lol!sinta we kiboko kweli usikute anajivunia mi naongea kingereza vizuri tu.

Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.
Anonymous said...

duh hıı kalı

Nanah said...

Sinta it does not suck! Sio lazima kujua kiingerea,hiyo ni lugha ya wageni na it's not a must to speak or write it well. Mbona tunaona watu wengi haswa viongozi wa nchi kama ufaransa wako kwenye mikutano ya kimataifa hawajui kiingereza wanaongea lugha zao na kuna kuwa na mtafsiri na mkutano unaendelea kama kawaida. I am a proud Tanzanian, niko proud kujua kiswahili na nashukuru nimejifunza lugha ya kiingereza na naijua although it is not necessary!

Anonymous said...

we nawe eti "it sucks" kwani sie waingereza? Hakuna lililoharibika wala hakuna cha kucheka hapa, tujivunie nasi tunayo lugha yetu. Mbona wachina, wajapani, na mataifa mengi mengine duniani hawajui hata kusema goodmorning na bado wanaheshimika sana? Nyie wabongo inabidi msafiri mje nje ya nchi mjionee wenyewe. Wa kuchekwa ni wewe unaemponda mwenzako. Wewe mwenzetu ni mwingereza?

Anonymous said...

hata ukizuia comment message sent... Tutakuwa tunacopy broken english yako kwenye blog za ukweli uone utajisikiaje. Usipende kudhalilisha wenzio wakati na wewe una shida hiyo hiyo, unless hujitambua kama english yako needs a lot of improvement

Anonymous said...

bichwa lako limejaaa mavi tu...ila unatuintateni kwa upupu wako...what a joke!

Anonymous said...

mbona hujaweka post yangu fala ww

Anonymous said...

sasa unamsema mwenzio wkt hata ww kiengereza HUJUI,nyani haoni kundule

Anonymous said...

we Sintah mbona kiingereza pia hujui? ata kuandika full sentensi in english ieleweke huwezi!! aftena unamcheka mwenzako kweli akili huna na hiyoo mastres yako ni ya chupi

Anonymous said...

hana tofauti kabisa na msomi wewe

Anonymous said...

Kwenda kwake uganda basi ishakuwa tabu na ujuaje wake wa kila kitu chini ya jua

Anonymous said...

Mdau umenigusa mwaya na ishu ya sajuki huyu hajielewi sinta

Anonymous said...

Eti anasubiri kuweka Breaking News

Anonymous said...

ckupendi wewe sintah mbwa ww kumamamako msengenye wee

Anonymous said...

Elimu uliyonayo wala haina maana,mimi naishi uk watu wengi huku wanamapesa Yao na biashara zao lakini lugha ya kiingereza hawaijui wanajua lugha za nchi Zao especially wachina,Italian, french etc kwani kujua lugha ni nini?

Anonymous said...

mh leo ndo mara ya kwanza kuchangia,nashangaa na comments za watu wengine najiuliza wamelelewa wapi?mtu anahasira kupitiliza,sio nzuri kwa afya yako.au kama kuna ziada?nini hasa utoe matusi mazito?mh yaani sipati jibu,nadhani huna hata hofu ya MUNGU.

Anonymous said...

malaya mkubwa wewe mbona Diomand hajui kizungu lakini ana mboo mkubwa joketi anainyonya kila siku, joketi hapendi mboo ndogo alizoeshwa na hashim na ukuni wake baada ya kuacha bac kaachiwa shimo