Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

KUMBUKUMBU YA SIKU AMINA ALIZALIWA RAHMANINO ALINILIZA

she  lives  in me
hiki ni key holder nilimkuta nacho man
kwa nyuma kiliandilwa hivi

Tarehe 20th may ni kumbukumbu ya my lovely BFF alizaliwa,Mzee Chifupa aliniita kwa mazungumzo yetu binafs kuhusiana na Amina Chifupa Foundation,nikaenda pale kwakweli manny kakuwa na sasa yupo std 5,siamin ni yule nliokuwa namwita tahira kwa kuwa alichelewa kuongea na mammy wake wakishindana kunimwagia mchanga,nilimkuta kakaa na key holder anaiangalia nilijisikia vibaya huku machozi yakinitoka.

 

MUNGU AILAZE ROHO YA AMINA MAHALI PEMA PEPONI,DAIMA NITAKUKUMBUKA.


24 comments:

kay said...

binaadam njia yetu ni moja,haijalishi umzuri una pesa ,maskini hata tuweje,siku zetu zikiisha duniani tutarejea kwa allah.

Anonymous said...

maskini pole..i feel for you!

Anonymous said...

yaaani ulimuita mtoto wa mwenzio taahira?!!!!!!loh kweli wewe mwanamke huta bahatika kuzaaa kwa laana chafu ulizonazo!

Anonymous said...

JAMANI RAHMAN, MSALIMIE MWAYA! MWAMBIE WE LUV HIM, KAACHWA YATIMA MDOGO! MUNGU MWEMA ATAMLINDA! JAMANI TUWE WAANGALIFU SANA HASWA WENYE WATOTO, ILI USIJEMUACHA MTOTO YATIMA BILA SABABU YA MSINGI.

Anonymous said...

utamwitaje mtoto wa mwenzio taahira?unajua maana ya taahira????
halafu acha kujiliza liza mbele ya mtoto.hata kama una uchungu sio ulie mbele yake unamfundisha nini?

Anonymous said...

PRETTY SINTAH C VZR KUMWITA MTOTO WA MWENZIO JNA KM HLO IKIWEZEKANA REKEBISHA HAPO MAANA UTAPATA COMMENTS MBAYA SN NA CPEND KUSOMA COMMENTS MBAYA JUU YAKO WKT MWNGNE UWE UNAFIKIR KABLA YA KUANDIKA KTU, TUACHANE NA HLO KHS AMINA CHIFUPA NLIMPENDA SN HUYO DADA YAN NLIKUWAGA NASOMA SN MAGAZETI YA UDAKU KPND HCHO BAC NKIONA KAANDIKWA VBY ROHO INANIUMA UTADHANI NDO MM, KWEL VZR HAVIDUM MUNGU AMLAZE MAHALA PEMA PEPON AMIN

Anonymous said...

jamani kuweni wastaarabu sio kuchamba tu kila sehemu lol

JLO said...

hivi watu wengine mnakuwa hamuelewi nimesema nlikuwa namuita zamani na nia mama yake amchanganye na watu na hajawahi kukasirika na wakati mwingine alikuwa anamuita tahira,halafu ni mimi na yeye ndo tulikuwa tunamuita wewe inakuwashia nini?nimemuita wako?kama hauna la ku comment shut up

pia i always go n see manny,nipo nao so close in fact mimi ndio nliwakumbusha siku ya kuzaliwa kwake,walikuwa wana mix 20th na 21st so nimekwambia wewe ambae hujamuona kwamba kakuwa baba wa std 5,i cant leave em Amina ananiona ninalo fanya sio lazima nitangaze hapa

UNSOPPABLE

Anonymous said...

Wewe sinta ni mpumbavuuuuu!full stop

Anonymous said...

pole sintah na rahmanino kwa ujumla, mwenyezi mungu atamkuza na kumuelekeza kwenye mema, ila to be honest Amina alikuwa mzuri jamani loh, yamebaki mazombie tu makina jlo,kikovu na wengineo yanazunguka zunguka mjini.....!!!!

Anonymous said...

RIP Amina, Mungu aliyembinguni atamkuza Rahman na kumlinda kwa kila hali. Miss you sweet

Anonymous said...

HE HE HE,TUHABARISHE NA UMBEA WA MJINNI KUHUSU SHOGA YAKO NA DIAMOND,KWELI WHAT GOES AROUND COMES AROUND.......HAYA TUONE U BEST NA JOKATE UTAENDELEA AU,MNAFIKI WEWE.HE AUNT EZEKIEL KANYAKUA KITU,YANI SINA NAMBA TU YA AUNT EZEKIEL ILA NINGEKUWA NAYO NINGEMPAJE HONGERA LOL,SO HAPPY JAMANI,DIAMOND UMENIFURAHISHA SANA.AT LIST OUR DIVA WEMA SEPETU WILL RELAX NOW.

Mpita Njia said...

My dear Jokate jirudie tu kanisani kaimbe kwaya yako english mass!!!

Anonymous said...

Unajifanya kuachia comments zote mbona umebania comments u need go back to school beyaaach! Hata kama ulikuwa how comes uandike utumbo wewe si bure kichwani unawadudu !kuna vitu vya kuanduka lakini sio hiyo eti tulikuwa tunamuita taahira stupiiiid sinta!

Bania na hio manina wew

Anonymous said...

ni kweli anabania comments nyingine kwa sababu zinahusu lakini msg sent au siyo washabiki wangu poa tuu

Anonymous said...

ni kweli anabania comments nyingine kwa sababu zinahusu lakini msg sent au siyo washabiki wangu poa tuu

Anonymous said...

JOKATE U NEED TO GET YASELF A LIFE BIATCH..ETI NAINGIA KANISANI..NYINYI NDIO MNAOFANYA MPAKA SIKU YA MWISHO TUHUKUMIWE..MXXXXXXX

Anonymous said...

stupid woman ngoja na wewe uzae huyo taahira then uone raha yake watu watyakapokuwa wanamkashifu.
NB; Kiingereza kichafu rudi shule changu mzee wewe.

Anonymous said...

kama wewe staa wa maana ungeenda kuchagua gari za mnada bandarini tena unasema kabisa nataka ya milioni saba.Eti una postgraduate ww mbona lugha inakushinda unachemkachemka tu hata maneno unaandika unakosea kuku

DIMPLES said...

mmmmh mna mambo huku balaa Topic nyingine na umbea mwingine PIPO U SHOULD LEARN HOW N WHERE TO PUT UR COMMENTS NA SIONI SABABU YA KUTUKANA KAMA UMEKEREKA SANA SIO LAZIMA KUACHA KINYESI CHAKO KILA MAHALI WATU WAKIONE HEBU JIHESHIMU JAPO KIDUCH MIKONO HIYOHIYO NDIO UNAANDIKIA MATUSI NA KUSALIMIANA NA WATU NA KUTAARISHA CHAKULA KWA WALE UWAPENDAO KAAAAH MMMH RIP MAMA RAHMANINO AAAAH MISSING U SANA KWA KWELI

Anonymous said...

wee sijui ndio jlo hukawii kuwa ushampenda kimapenzi mtoto wa watu please usijempa harufu ya uzee bureeeeeeeeee. Nyau wee

Anonymous said...

heeee eti hajui lugha kwani inahusu kujua lugha sio mpango bana mpango nikusaka mahela haya wewee unajua ungenge mbona mpaka leo unaishi kwa baba na mama asbh unasubiri upewe hela ukanunue maandazi mgawane hahahahaha hovyoooooooo

Anonymous said...

amina ungekua hai wewe..acha tuu..ungekua juu sana.mwenyezi akupunguzie adhabu za kaburi..na ailaze roho yako mahali pema peponi
AMEN

Anonymous said...
This comment has been removed by a blog administrator.