Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

JOSE CHAMELEONE LAUNCHED HIS OWN MOBILE PHONE BRAND

chezeya huyuuu
the launch of Chameleone mobile


daah Mungu akikupa hakuandikii barua huyu kaka wamemsema sana mara sijui anaenda under water sijui nini looh,wakati wanamsema yeye anatafuta. ndo hapo muone maneno hayana mpango,hongera sana  baba Aba na mume wa Daniela.

13 comments:

Anonymous said...

mhh full mchina?tusimu ndio uto ameshika?cheap ..im not hating..ni mtazamo tuu

Anonymous said...

NDO MAENDELEO HAYO

Anonymous said...

HATA IKIWA MCHINA WEWE UNAWEZA KUMTENGENEZA HUYO MCHINA??MPE HONGERA ZAKE,,NYIO NDIO MNAORUDISHA MAENDELEO YA WATU NYUMA KWANI UKIMSIFIA UTAUMWA??

Mange Kimambi said...

WEE MBWA SINTAH, NIMEAMBIWA NI WEWE NDO MWENYE ZE UDAKU SPECIAL. NAOMBA UFUNGE HIYO BLOG KABLA SIJAKULAZIMISHA KUIFUNGA WEWE CHEZA UTAKIONA CHA MOTO. SITAKUVUMILIA TENA. UNANISEMA SANA NIMECHOKA. BY THE WAY, I DONT WASTE MY TIME TALKING TO DOGS LIKE YOU. I AM ON ANOTHER LEAGUE BITCH

Anonymous said...

Binadamu hawezi kumsifia mwenzie mpaka afe haina maaana, msifieni akiwa mzima kwasababu akishakufa hasiki,msipende kuwa negative kwa kila kitu hongera zake Chamleon.

Anonymous said...

Katengeneza kwa manaufaa yake hujaambiwa ununue mijitu mingine bwana unasubiri afe ndio umsifie? Hapo ingekuwa msanii wa marekani sifa kibao pendeni vya kwenu waungeni mkono waafrika wenzenu lo!

Anonymous said...

he makubwa afunge blog kisa

Anonymous said...

patam hapo..pameanza kunoga...!!gubegube na gude gude...wadau 2nasubir ha2inglii ng'o...

Anonymous said...

we malaya hapo juu ulieandika jina la Mange,acha uchonganishi hivi Mange na Sintah wakigombana unapata nini?hivi hujui hiyo udaku special hata Sintah mwenyewe walimchambua?hacheni hizo binadamu na wala hawatakosana kwa uchonganishi wenu na Mange hawezi andika ujinga huo

Anonymous said...

Acheni kumtetea Sintah ni kweli yeye naye ni member wa blogu ya Ze Udaku, na tumefanya uchunguzi muda mrefu tumemgundua, mbona ni kazi rahisi.

Cha kushangaza Sintah wewe kwenda mtukania mwenzio wazazi wake walio kaburini hivi ingekuwa wewe wazazi wako ndio marehemu ungekuwaje?

Nyie mnaobisha nendeni post za nyuma sana, nyuma kabisa huyu Sintah ni BFF na Maggie Hanlon. Hawa wanawake ni witches au wachawi kwa sababu, Maggie yuko SA hana data za Bongo, Yule dada wa Minesota naye hana access na data za Bongo, na yule mwingine wa UK nae hana data za udaku wa Bongo, katika kundi lao ni huyu Sintah ndiye yuko Bongo aliyekuwa anafeed huo upuuzi wote halafu wanapost kwenye hiyo blogu. Na akibisha tutapeleka na ushahidi wa communications zao hao watu 4, mbona ni rahisi hakuna siri kabisa kwenye mitandao msijifanye mnajificha kwenye internet hamuonekani. Endelea tu lakini mjue what goes around comes around. Na kwenye hilo kundi lao wapo wanaume wanaowasupport huo ujinga wao. Mimi kwa sababu siko kwenye hao mastaa sijui nini wa kuandikwa mbona ningeshapeleka ushahidi Home Office UK, na huko US na SA watu wangetiwa ndani ya ndege mchana kweupe na haka kaSintah ningekapeleka shimoni kule central kangespill all the beans!! Wacha tabia hiyo mtoto wakike haupendezi hata kidogo kuwa crook. Na bado kila siku nakuuliza nina access na Uni za Uganda wewe umesoma University ipi na degree ipi mbona hujibu? Au hiyo diploma yako ndio unawatambia watu kuwa udiplomat? I wish ungegoogle maana ya neno la diplomat kisha ukaona ulivyokuwa unajichora!!

Anonymous said...

Na wewe unakata Mange hawezi kuandika kwani wakati anaandika ww ulikuwepo au unapenda kushadadia mambo ya hao malaya wa mjini.

Anonymous said...

Mastaa wa East Afrika duh, sasa kama huyo hapo sijui Kinyonga anatofauti gani na mkulima au mbeba zege? Ukimuangalia mikono sijui vidole vichafu havijanyiwa manicure, sijui anakula kucha au kakata na kiwembe!! Huo uso sasa yaani umejaa mafuta unang'aa kama katoka kula vitumbua, wakati hapo anaongea na media alitakiwa awe sop sop. Sasa hiyo ngozi yenyewe ya uso iko chafu chafu blemishes kila mahali ngozi ya uso hailingani utafikiri hakuna scrubs na cleansers!!

Sasa huyo Star aambiwa ana pesa ndio yuko hivyo je hao wenzangu na mie masikini ya mungu wasoweza kununua scrubs, cleansers na kufanya manicure nao waonekaneje? Ana mke kweli huyu? Au huyo mkewe mke jina? Haki ya mama angekuwa mume wangu ningescrub huo uso wake kwa nguvu, haiwezekani mume atoke ndani ya nyumba kama kala vitumbua!!

Anonymous said...

hahahahaaa we uliegoma mumeo huwezi muachia atoke kama amekula vitumbua umetisha..ni vizuri sana..saa ingine mtu unachetua na mume wa mtu unamkuta ana vuzi refu la muhindi cha mtoto..kaaa ivi inakuwaje?muwapende waume zenu jamani mmolewa mengi..kuwatombea tuwatombee na mavuzi pia tuwanyoleee ahhhh jamani!