Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MESSAGE FROM THE CEO

                                                 CEO PS BLOG





niliwamiss sana maana nina mambo mengi halafu nilikuwa ninawashwaje sasa,daah afadhali mambo yamerudi 


take care loves,
nawapenda n thanks for the support.
pretty sintah rocks.

29 comments:

Anonymous said...

HunA hela ya business class ehee. Naona upo changanyikeni maisha plus lol

Anonymous said...

Na wewe unaenda vacation eeeh!! Mwaka huu iga iga mtakomajee!

Anonymous said...

busy na nini wewe,huna cha kufanya,kwanza unammisi nani wewe peleka uchi huko

Anonymous said...

ha ha ha we mdau hapo juu umenchekesha!!!

Anonymous said...

Sasa hapo ni camera ina shida ama ni virus, yani kiufupi picha zako no quality

Anonymous said...

HEE MASKINI UNATIA HURUMA ULIVYOJIBANA KWENYE HAKO KAKITI MWENYEWE UNAJIONA UMEMALIIIIZA
LOH HASARA YAKO BIBI WENZIO MABWANA ZAO WANAWAKATIA BUSINESS CLASS KILA KUKICHA
HAYA TUAMBIE UNAENDA WP MAMA NATURE

kay said...

ukiwa bussiness class,economy class,nafikiri yote sawa tu ili mradi safari yako ufike salama.

Anonymous said...

Hahah shost emirate wapi hiyo?na hujapendeza hahah msema kweli mpenzi wa mungu au siku hizi inaenda SA emirate

Anonymous said...

Hapo kitambo nini no mkorogo

Anonymous said...

Hurocks wala nini michosho tu,hapo kama unaenda gengeni ulivyotoka hivyo vitu vina wenyewe halaf hiyo pic kama umepigia na bb ya mchina eeh au curve heheheh au uoga wa kwenye mjidege huo umezoea precission

Anonymous said...

Sijui nani hapa alijitoa mhanga wa kumpa ofa

Anonymous said...

mhh makubwa! unaenda vakesheni wapi ??

Anonymous said...

JAMANI HII BLOG INANIFURAHISHA! MTU ANAPEWA ZA USO LIVE, NA MWENYEWE YUPO TU! HAYA NA WE VEKESHENI WAPI?? NAHISI KAMPALA, LOLEST! DUNIA YAKO, CHAGUO LAKO!

Anonymous said...

Wapi hiyo???mdau napinga hakuna emirate itokayo dar to kampala hahaahhhahhah hapa ilikuwa masafa marefu lakini katoka kama anaenda upareni

Anonymous said...

Bado saaaaaana utatahamaki uzee umeingia huna habari

Anonymous said...

Mdau umeniacha hoi kwikwikwi

Anonymous said...

Upareniiii

Anonymous said...

Anayataka mwenyewe

Anonymous said...

Labda mwenzetu unaongelea business ya ATC heheheh manake ndio haina tofauti na economy...la

Anonymous said...

Jamani kama mnaboeka msiwe mnaingia humu; wengine hata nauli ya kwenda Moshi hamna.Kama unakereka bora mkakojoe, mtafute usingizi mlale.Kutwa kumsimanga mtoto wa mwenzenu.Fungueni blog yenu muweke mapicha yenu mabaya; sio kucoment ujinga wenu.Mfyuuuuuuuuuu pumbavu zenu

Anonymous said...

PUMBAVU ZAKO MWENYEWE WE ULIYETUNANGA! HOVYOOOOOOOOO! MIE NIKIBOREKA TU OFISINI, LAZMA NIINGIE HUKU, NIFE MBAVU ZANGU KABISA! NICHEKEEEEEEEEEE MAANA HUKU WATU WANA MANENO! SIJAPATA ONA! HEHEIYA, NAIPENDA HII BLOG KHA!

Anonymous said...

Unatilisha huruma

Anonymous said...

Mteja gani hapo alijidunga???

Anonymous said...

Mamaa nature bora ulivyommwaga hao ungeyaonea wapi kukuruka mwanangu

Anonymous said...

Haahaha uwi mbavu zangu MRS NATURE duh kifupi hutishi hata ungeenda wapi ukirudi vile vile miguu kama fito, mfyuuuuuuuuuu

Anonymous said...

ahahahahahahahhhaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!! mbona hiyo ndege kama basi la meridian hahhahahah!! utajibeba mrs nature1!!!

Anonymous said...

BWEGE MTOZENI HUYU SINTA.KWANZA MBAYAAAAAAAAAAAAA AFU SIKUPENDIIIIII UNGEJUA UNGEJIUA.

Anonymous said...

you so cute baby watu wanafiki kucha kumponda mwezao kila mtu na maisha yake muacheni dada wa watu mtajibeba na roho ,mbaya zenu nyooooooooooo.wanfiki

Kithaghadi said...

Sinta unabamba kinoma achana na wapuuzi wanaokuponda wivu tu unawasumbua...weee ni mzuri sana na nakupenda mbaya!