Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

DRAMA ZA TOWN NI WANAUME TUU NA SI KINGINE,MNAWASHWA SANA MADADA

.

j wake lo

Nothing but Confidence

mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe





kusema ukweli kumezuka tabia za ajabu sana hapa mjini,mimi sizielewi ila naomba wasichana wa mjini mmbadilike,hivi msichana akimuona rafiki yake ana bf lazima naye aende hapo?mnatia aibu na unafiki wenu wa hapa mjini kujifanya mashosti kumbe mnakaangana,wanaume wapo wengi kwanini umchukulie mwezio bf na ni rafiki yako?,acheni tabia za ajabu na leo nime wa stahi tuu,sitaki kujivunjia heshima mie na u diplomat wangu next time rudia utaona cha mtema kuni 
copy,paste then save it.

kwa wale ambao mpo ktk my list ya BBM mliona drama,aah jamani tuliwasema sana hebu,tuwasamehe huku ila wakirudia tuwaanike.

kikulacho ki nguoni mwako,nawashauri wasichana ukiwa na tatizo na bf solve peke yako usitafute shoga akusaidie kuna watu wamekaa kama mapaka wa hoteli kusubiri msosi (wanaume)sijui hawana bahati poooh,
ndo hapo ninaposema thanks to my mom &Dk for the good foundation for me (Education).
maana utaziba A kumbe B inazinduka,aaah elimu raha makaratasi yangu yametulia kwa raha zangu  usishindane na mimi bwana makuadi msiokuwa na formula njaa mbaya itawatokea puani endeleeni kwakweli nitawatoa live humu bila chenga ili wenzenu pia wawaogope.

 kutegema wanaume za watu wawadandie.

my word, enjoy it now coz it wont last 

hapa ndipo ninapomkumbuka Amina Chifupa wangu haitotokea kama yeye my BFF (RIP). 










83 comments:

shongololo said...

Anza wewe na rafiki zako kuonyesha mfano hao wadada wa mujini. Wakati kidoti wako anamnyanganya Wema diamond ulikuwa wapi????
Acha kujifanya mtakatifu. Unataka kusema wanaopora si wasomi?? USITOE KIBANZI JICHONI KWA WENGINE WAKATI KUNA BORITI JICHONI MWAKO. Anza kumshauri rafiki yako amrudishie wema diamond wake kwanza. Najua hutaweka hii inakuchoma isome kimyakimya.

Anonymous said...

uwiiiiiiiiiiiiiii c umeseme tu JOCATE???????????????/yy c ndo kampola mwenzake bwana matako ww nyooooooooooooooooo.

Anonymous said...

Maneno hayo ni bora ungemuambia Jocate,yasije kumkuta siku moja akaona we sio rafiki mwema.

Anonymous said...

KWANI HUYO MUMEO MTOTO AU ANABAKWA ACHENI KUWAPA UJIKO WANAUME HILI HALI WAO NDIO WANAWASALITI

NA KAMA UNAHISI MBANANO SOGEA

Anonymous said...

Sintah jamani hainogi hii post ,taja majina hata kwa mafumbo tu ! Lazima wajipangee

Anonymous said...

marafiki sio watu wazuri..mimi nina shoga yangu huyo anatamani ningeachwa achwa..kila siku anakazi ya kumpigia bwana angu na kumueleza madhambi yangu yote..naona anataka kutiwa anajua bwana angu anavisenti nikipewa roho inamkauka..siku nyingine anampigia simu anamuomba hela haniambii mimi.. mpenzi wangu anamsemeaje kwangu na maneno yote anayoniseamaga ananiambia ptuuuu aibu zako bi shost..sasa hivi staki hata kumsikia huyo malaya..shez wayy too cheap!mfyuuuuuu

Anonymous said...

mbona shoga yako kachukuwa wa Wema hujasema? huo ni umbeya di dada, ukitaka kusafisha kikombe anza ndani nje unamalizia!

Anonymous said...

jokate mbona kachukua cha watu hujasema! au nawewe nyege inakusumbua?????????!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

hahahaaaaa heheheiyaaa nicheke mie niongeze cku za kuishi, yamekukuta ww ndo umeona shubiri eeh yalivyomkuta wema uliona asali, na kujishaua kwa sana almas alipokataa kupokea hela ya wema nyooooo...msxxxhhh....! huo mchezo mnao wenyewe mnazungukana jikanye ww then shogaako kidoti na mumuombe msamaha wema coz mmeona madhara yake..najua utabania ila ujumbe umekufikia mwana izaya ww....!

Anonymous said...

Khaaaa

Anonymous said...

In the third line from bottom Did u mean 'LAST' or 'LUST'

Anonymous said...

Nina wasiwasi na udiplomat wako.. do u know the meaning of 'Lust'?

Anonymous said...

mkomeee wewe na huyo kidoti wako malaya wa chinichini, kabsa naona kidot kakupokonya bwana maana hii post inamhusujeeeee!nyau nyie na huo ni mwanzo tu mtayalipia machozi ya wema

Anonymous said...

TIT FOR TAT

Anonymous said...

WHAT GOES AROUND COMES AROUND wewee mambo ndio kwanza yanaanza. Tutabanana hapo hapo hakuna cha peke yako mjina hapa, tutamchukua mchana jua la utosi linawaka

Anonymous said...

sinta na jokate, maanina zenu! HUSBAND'S SNATCHERS! MFYUUUUUUUUUUU! SHAME ON U!

Anonymous said...

Nyoo, mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu. wee ilivomsaidia Jokate kuvunja uhusiano wa Wema na Diamond hukuyajua hayo, leo yamekufika wewe ndio unalalama, kaa ukijua basi kila cha mwenziwe na chake pia huliwa.

muone vile, eti Sinta bila make up inawezekana! wakati hapo ulipo uso umepaka foundation kama shetani hadi inaonekana hadharani

Anonymous said...

mh kweli kabala hujamnyooshea kidole mwenzio anza kwako, lkn pia mashoga siku hizi kunashoga? unamwambia kila kitu mwisho wa siku anakuja kukugeuka, shoga shoga ya mpenzi wako mpezi wako, mji hapa watu wakale wapi

Anonymous said...

Hahahahah nkuki kwa nguruwe lol npishe mie huko,cha ajabu kipi kikongwe we,bwana bongo????kizuri kula na wenzio kwi kwi kwi kama mlivyompokonya wema,mlidhani nini??ye ana roho ya chuma sio??dada uliefanya hivyo HONGERA umeWAKOMESHA,sinta endelea kubwabwajaaaaa

Anonymous said...

Raha ajeeeeeeeeeee Buahahahahah asante uliefanya hayo,sinta nunaaaaaa vimba pasuka

Anonymous said...

Sana na we umeona kumbe,manake alivyokuwa anashadadia ya wema utasema akifanywa jokate ye huku anakojoa

Anonymous said...

sintah ameweka post nzuri, ila wachangiaji hamkumsoma vzr ndo maana mna criticise post yake. Yeye anamaanisha kidot amemchukulia bf wake kiana.

Anonymous said...

TENA TUNAWASHWA SANA TUNATAFUTA WA KUTUKUNA, WEWEEEE HAPO HAPO USIBONYEZE KIDUDE

Anonymous said...

hihihihihhhhh
sinta umepatikana
na bado jizi weeeeee

Anonymous said...

shost wamekuchenjia..lkn kweli hayo unayoambiwa,,yazingatie..kila mla cha mwenzie na chake pia huliwa..na siku zote unapofanya ubaya yani ujue lazma vitakurudi..what goes around comes around mama..bwana god hacheleweshii..
simpendi kidotiii....mfyuuuuuu

Anonymous said...

kaundime una mambo weye! lazima umkumbuke amina chifupa maana ndie aliekufundisha umalaya na kupora waume za watu na matokeo yake akampunguzia salio medy mpakanjia na zitto kabwe, sasa leo kimegeuka kwako unalialia. nyooooooooniii, fisadi kiwembe hasidi manyoya weee, sura kama kinena cha mwanaume.

Anonymous said...

kuibiwa mwanaume umeona ndio issue muhiiiiiiimu eeeeh kumbe akili yako kama kisimi chako!

Anonymous said...

Sie watamu ndio maana mabwana zenu wanatutaka!! Teh!

Anonymous said...

UMEONA UMEONGEA POINTI, KWAHIYO PICHA NA HIYO POST VINA UHUSIANO? KAUCHI CHAKO

Anonymous said...

nimefurahi sintah umelitambua hilo ingawa umechelewa kidogo ila kama wasemavyo making a mistake its not a mistake but repeating the mistake is a mistake so i hope utaanza kwa shostio kumfunda asirudie kosa la kunyakua mabwana za watu nawe ukawa unashadadia. ila wanawake wenzangu its really sad kama anavyosema Sintah kumnyakua bwana wa mwenzako yani nimeona haka katabia kana shika hatam siku hizi hebu tujiulize huyo mwanaume aliyemtomba shogako akaja akakutomba na wewe unadhani atakuthamini than alivyomthamini shogako? sanasana atakuona wewe ni kicheche na poozeo lake tu la muda so lets try to be a little bit expensive ingawa mfukoni kumetoboka but atleast ukijithaminisha nawe utathaminiwa na hata dau lako litakuwa kubwa. ni hayo tu.

Anonymous said...

MMBEYA TU WEWE HUNA LOLOTE, NANI AKUNYANG'ANYE LILE GUBEGUBE LAKO!

Anonymous said...

Huna mume wa kushobokewa wewe, huyo mwenyewe uliyenaye mume wa mtu, halafu unajifanya makuadi! Wewe si ndio kuwadi babalao!

Anonymous said...

Samahani Dada Sintah, naomba kuuliza" HIVI USAGAJI UMEACHA"?

before I heard that your Lesbian!

Anonymous said...

Acha unafiki wewe Sinta mkanye kwanza rafiki yako kidoti then na wewe pia sio msafi kihivyo hata wewe uko kwenye kundi hilo hilo. Acha mashauzi hupendezi.

Anonymous said...

Nilivyoona tu hii topic kabla sijasoma comment nilijua comment ntakazozikuta na wala sikukuosea, hata wewe sinta nafikiri ulijua nini kitaandikwa mambo mengine yaachage tu nduguyangu maana wadau wako ushawaju,ni sizitaki mbichi hizi

Anonymous said...

My Baby

You have really hurt my feelings Sintah. I felt like crying when you hanged up on me

Hope will one day get to see you. Your American Husband to be

JT

Anonymous said...

lolest, mshanyang'ana mabwanaaaaaa. duh inaonekana imekuuumaa hiyo, tajibeba ndo mjini hapa mama si kila mtu anatafuta!...... ila ni wengi sijui utaanza na nani

Anonymous said...

NAPENDEKEZA HII BLOG ICHUKUE BEST BLOG AWARD YA FREEDOM OF EXPRESSION! KHA! NAIPENDA PRETTY SINTA! AM OFFICIAL YOUR FAN!

stumai said...

weraweraaaaaa kidoti oyeeee watombee hawa maanisi wamezoea kidoti juuuuuuuuuuuuuuu.... fala wewe una bwana wa kuchukuliwa wakati wewe unawekwa mujini na mabwana za watu kutw kuzunguka bar mtaje aliyekuchukulia unamstahi nini sasa

Anonymous said...

Mdada unapenda kutukanwa ww maana kwa maelezo yako tu lazima comment zingekuwa km hizo au hukumbuki wakati wa sekeseke la wema na kidoti na ww ukawa unashadadia! so unategemea leo upewe pole au!

Anonymous said...

Duuuuuuuuuh!!KUDADADEKI Sinta kapatikana!Lo!Hatareeeeeeeeeeee!!!

Anonymous said...

weziiiiiiiiiiiiiiiii wa mabwana za watu wanaaaaanikwa soooooooon mikundu nyie inayofirwa na waume za watu heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Anonymous said...

weziiiiiiiiiiiiiiiii wa mabwana za watu wanaaaaanikwa soooooooon mikundu nyie inayofirwa na waume za watu heeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

Anonymous said...

huhuuu.... kumenogaje leo huku...uko juu sintah, matusi yoote but upo tuu,,, dah..

Anonymous said...

Ngoja niwape news sasa aliyeibiwa bwan ni huyo kidoti wake, diamond kamchukua aunt ezekiel ndio kiroho shoga chamuuma, ukila cha mwenzio na chako kitaliwa, nimefurahijeeeeeeeee, wema uko juuuuuuuu

Anonymous said...

Ngoja niwape news sasa aliyeibiwa bwan ni huyo kidoti wake, diamond kamchukua aunt ezekiel ndio kiroho shoga chamuuma, ukila cha mwenzio na chako kitaliwa, nimefurahijeeeeeeeee, wema uko juuuuuuuu

phides said...

Kidoti kachukua bwana wa wema mbona humsemi mi sikufurahia kwa kweli

Anonymous said...

Msg tu ur bff jocate.....salam zake

Anonymous said...

Kumbe we km Mimi anasema hakuna km Amina C kwa hiyo kidoti ndo mwizi wa waume kwa kumuiba Diamond ye si alikuwa hajui km sisi, sasa kajua hajapendezwa Na hisi hii njumbe niya Kidoti

salica angel said...

Sinta dada yangu a simple advice to u is that y dont u use yo blog for the some potential and good things, as in wat is the main objective of yo blog, au nini reason ya wewe kuanzisha blog? mfano 8020 yule amebase kwenye urembo, michuzi amebase kwenye habari na matukio, uturn mmh i real dont know wat exactly amebase wapi mana nae ndo hivyo hivyo, but kama unavyosema unaelimu sasa mbona unaisema tuu huitumii, be creative coz yo blog imekaa kama blog ya kimbea, and as msomi kama unavyojisema that not your class at all.Coz hiyo elimu yako ni kama umefundishwa jinsi yakuchuja umbea, i think wasomi huwa tupo so creative, be different, let people respect u.Like me nipo London huwa nikiwa nimechoka nimetoka darasani au kazini na stress zangu ilikujiburudisha coz najua nitakuta vitu vya kijinga naingia kwenye blog yako, and am sure weng wanafanya hvyo, and as msomi kama wewe sidhani kama blog yako inatakiwa kuwa disrespected kiasi hcho.
BE REATIVE, HAVE YO OWN CLASS, UNATUDHALILISHA SISI WASOMI COZ HATUPO HIVYO,MSOMI HAJISEMI ILA ACTIONS ZAKE ZINASEMA, BE LIKE THAT MY DEAR, AT LIKE ONE.

Anonymous said...

ah kama kidoti ndio kaibiwa almasi zake na aunt Ezekiel basi kazi ipo hapo ni full kumegeana salio kama lililowapata kina AC na M pakanjia na mbunge wetu singleton yuleeee mwenye vidotidoti vya uso fake,Mungu atanusuru jamani

Anonymous said...

hivi mama yako huwa anasoma hii blog yako????

Anonymous said...

unajua nini, wewe akili zako ziko matakoni, huwa hufikirii kabla ya kupost kitu, yani hii inakulenga wewe na huyo kidoti wako, alafu unajiita msomi, msomi gani mvivu wa kufikiri na kutafakari mambo.

Anonymous said...

unajua nini, wewe akili zako ziko matakoni, huwa hufikirii kabla ya kupost kitu, yani hii inakulenga wewe na huyo kidoti wako, alafu unajiita msomi, msomi gani mvivu wa kufikiri na kutafakari mambo.

Anonymous said...

unajua nini, wewe akili zako ziko matakoni, huwa hufikirii kabla ya kupost kitu, yani hii inakulenga wewe na huyo kidoti wako, alafu unajiita msomi, msomi gani mvivu wa kufikiri na kutafakari mambo.

Anonymous said...

HIVI WATU WOOOTEEE MNAOSEMA JOKATE ANATEMBEA NA DIAMOND,...YANI YOU GUYS ARE COMPLETELY WRONG..THEY ARE NOT DATING HATA CHEMBE...YANI WASWAHILI BANA DAH,...DIAMOND ANA JIDEM LAKE MUISLAM..SIJUI MNACHO SHADADIA NINI..

FAMILY MEMBER! TEAM KIDOTI!!

Anonymous said...

umezid unafki acha yakukute...poleeeeeeee

Anonymous said...

familiy member! hebu kafirane huko! kwa hiyo kama hawadate ndioo......., koroga juice ya puff, kafie mbele huko! ebo!

Anonymous said...

we family member diamond mwenyewe alianika anatoka nae na kidoti hJkN hDI LEO ACHA UNAFIKI HUYO KIDOTI MALAYAAA SANA F ANAJIFANYA MTAKKATIFU LOOOOOOL

Anonymous said...

huyu alishpata laana kutoka kwa Dandu mungu amrehemu kk wa watu kusababisha kifo chake kwa ajili ya Neture hutakaa ukaheshimika hata siku moja, eti kuibiwa bwana ww unaconfidance na unajiamini iweje uibiwe bwana

Anonymous said...

HUYO ANAYESEMA JOKATE HATEMBEI NA DIAMOND ANAFIRWA NINI KUMAAA HY,NA ALMASI ALIVYOTANGAZA KM DEMU WAKE JOKATE WE ULIKUWA WP AU NDO KAZI YA KUGAWA MKUNDU ILISHAMIRI MPK HUKUCKIA HII HABARI,UCWE UNAONGEA VITU KM UNAHARISHAA KUMAA WW....MSONYOOOOOOOO

Anonymous said...

AGHKHH PTOOOOOOOOOOOO ETI FOUNDATION WATOTO WENYE FOUNDATION UNGEENDA DSJ KUSOMA VICHOCHORONI MATOKEO YAKE UKAISHIWA KUTIWA NA NATURE TMK FOUNDATION LOL!!UNGETIWA NA WATU WA MAANA TOKEA UTOTONI ANGALAU WANGEKUTIA MAADILI HATA UMAPEPE UNGETULIZA

NA WW MDAU WA PILI TOKA MWISHO USITUCHEFUE HAPA HUYO JOKETI KAMA NI FAMILY MEMBA SIDHANI HATA KAMA UNAMJUA ANAEMTIA COZ HUYO NI FAKE KULIKO MAELEZO MALAYA BUBU HUYO KAMA HATOMBWI NA DIAMOND SHUHULI ZOTE ZIMPATE ZA NN SHAMELESS BITCH WITH NO ASS
BANIA NA HIYOOOOO

Anonymous said...

Umri umri mama! Oooh

Anonymous said...

Mamake akiingia humu anaweza kujikanumba lol

Anonymous said...

Msomi mshamba msomi limbukeni msomi mjinga

Anonymous said...

masikini dah mara nyingi nimekuwa napita kwenye blog yako lkn siangalii coments lol!!pole sana.km ulivyosema wewe ni msomi tunatarajia positive things kutoka kwa wasomi, nakushauri kitu kimoja nina imani nia uliyonayo ni njema kabisa labda kuelimisha lkn jinsi ulivyoamua kuelimisha naona kabisa umepitia njia isiyo sahihi, haipendezi kujisifia kila wakati ww ni msomi hizo itikadi za kibaguzi ambazo naziona kabisa kwenye blog yako ina maana hutaki hii blog itembelewe na wasio wasomi?na je ww unaishi katika dunia iishio wasomi tu? na je vp kuhusu wasiosoma? sinta umejiwekea ukuta mwenyewe kati yako na watu wa aina nyingine ambao ww unawaita sio wasomi, huna haja ya kutengeneza chuki na watu kwa usomi ulionao kwani kusoma kwako ni faida kwako na familia yako, nadhani ukiutumia usomi wako vizuri utakusaidia sana na ukumbuke unaishi ktk dunia yenye watu wasiosoma pia na wao labda wanakuangalia ww km njia ukianza kuwabagua watakuchukia, na kumbuka pia hata ww hukuwa msomi kabla hujasoma kwa hiyo unayemdharau leo kwa sababu hajasoma anaweza aksoma na akawa msomi km wewe .jifunze kitu kutoka hapa dada angu mimi sio msomi nimeishia kidato cha nne tu....

Anonymous said...

WE ANOY HAPO JUU MSENGE SANA, KWANI HUKUSIKIA DIAMOND MWENYEWE AKIONGEA KWENYE AMPLIFIER KWAMBA GIRL FRIEND WAKE SASA NI KIDOTI. TUPISHE HAPO

Anonymous said...

Uswazi humu,sinta uliambukizwa gonjwa baya la tabia za kiswazi na nature na haliishi mpaka ukampe tena kiduchu

Anonymous said...

HALOOO LEO NIMECHEKA KWELI ETI UMEIBIWA BWANA BWANA GANI WA KUIBIWA WEWE KUMA IMEJAA MAJI MAPENZI HUYAJUI ATAACHA KUTUTAFUTA NA BADO SAFARI HII AKIJA NALOWEKA NA NGUO KABISA NA NAKUPIGIA SIMU UJE KUMUONA MAMBO NINAYOMPA NIMEFUNDWA MIE POLE SANA UTAISHIA KULIWA NA KUACHWA. NA KWA TAARIFA YAKO SIMUACHI NG'OO. UTALIA SANA MWAKA HUU HATA UKIMPATA MWENGINE LAZIMA NIMCHUKUE MANA ADHIMA YANGU NI KUSHARE KILA KITU NA WEWE. UTAJIBEBA BIBI ROHO YA KUT HUTAKI NA WENZAKO TUPATE MJINI KUBANANA BIBI HAHAHAHAAAAA!

Anonymous said...

Wewe family member wa team Kidoti unayesema kwamba Diamond hatoki na Kidoti. Mbona yeye mwenyewe amesema na kuweka status kwenye facebook nk, mlikuwa wapi msiseme kwamba anajisingizia. Vitu vingine msitake kuwafanya watu wajinga. Amemwibia Wema mtu wake na Karma is a bitch. Tell that to Kidoti.

Anonymous said...

family member tutolee inzi humu..alikwambia nani moyo unasemewa?kwahiyo unatufanya watu wote mazumbukuku nyau wewe..kidoti kakaa kama mchawi anajifanya kama hayupo kumbe loh...kakuma kake saa zote kanapwita aka mama manyege..mpaka siku akusuprise akualike saa anaenda kula mhogo ndio ujue ni kweli..wake up call inakubeep

Anonymous said...

Roho inamuuma aunt ezekiel kamchukua diamond ndio maana

Anonymous said...

Huu mti wenye matunda kiboko unashambulia mpaka majani na miti inang'olewa

Anonymous said...

Dunia ina mambo

Anonymous said...

Hii blog komesha

Anonymous said...

Kama sio utahira nini ina maana huyo jokate kampa yule chai jaba Go ahead ya kuwa na ujasiri wa kujitangaza ana mmega,huyo dada basi akili zake ni 0,kataka achukiwe na watu katamani attention matokeo yake ni kama kajiharishia kila kona ananangwa

Anonymous said...

Dada salica umemshauri vizuri kama ana upeo yamuingie akidharau,sie wakumpa shua tupo atachoka yeye

Anonymous said...

we salicia angel jipange tena iwe mwisho wako kudumbukia huku..blog zote zikiwa za kisomi itakuaje..utakua utatumanulia uchi wako ndio tucheke tujitoe mastress yetu.mablog yenu hayo yasiokua na comment hata ya kutoka kwa mwenye blog nani anataka?chapa lapa fasta na usigeuke nyuma!

Anonymous said...

Kha!nimeamini leo comment za maana haweki,naandikaga kiungwana anabania ngoja na mie nikajifunze matusi kumanina nirudi

Anonymous said...

kikovu we jiandae tu kushare hilo lidiamond na walimwengu, mpaka mwisho wa dahari, laana ya wema itakurudia! mfyuuuuuuuuuu!

Anonymous said...

Jamani mnamtetea wema na wakati mwenyewe kwa kinywa chake alihojiwa akasema hajawahi kumuacha Kanumba na wakati huo alikua na Diamond pia?

Yeye malaya na kina sinta pia malaya.

Anonymous said...

Hamjamuelewa sinta anamsemea Jokate. Si aunt ezekieli anatoka na diamond kwa sasa. na walibambwa ktk hoteli ya Kebbys wakiduuu. Mnalo???????????? ulifurahi sana wakati ule wa wema sasa ndo zamu yenu. Big up sana Aunt. umewakomesha. na huyo kidoti diamond anamtumia kwa mavazi yake tu, hakuna mapenzi hapo. Shwaini.

Anonymous said...

we wa kugongea bia za watu kanye huko