Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

UWIIIII NIMENENEPA SANA HAAAA MPAKA NAJISHTUKIA

uwiiii nataka kurudi huku
jamani natamani hili umbo mdau wangu nimenenepa sana jamani daah mpaka najiogopa lakini nipe week 3 maana nimerudi kwa kasi sitaki baby aanze kutafuta wengine no no noooo this time is for real naanza my diet on monday 7th may najipa kama week tatu au mwezi wish me all the best

23 comments:

Anonymous said...

Tuwekee diet yako utakua unakula nn na si tufanye maana wengine tumenenepa hatari

jud canada said...

I really like you Sinta, We ni mzuri mpenzi na jikubali kwamba ni mzuri Siyo lazima kila picha unayopiga unaweka miguu hiyo alama ya kuzidisha.
OOh Nilifikiri hauna mpenzi kama ulivyowahi kusema, Kumbe tayari umepata ? Kama ni wa halali hongera mpenzi kwani udokozi hauendani na wewe ambaye ni msomi. Pia usinenepe sana wala usipungue sana, na nguo ndefu itakufanya uonekane mrefu zaidi. Take care girl.

Anonymous said...

ni kweli umenenepa na umependeza ila miguu unaikuja ya nn kila siku style yako ya kupiga picha ndo hiyo hiyo tu. jiamini, jikubali ulivyo sint. kip it up

Anonymous said...

Fanya diet my dia ukijumlisha na mazoezi kiasi utakuwa bomba sana. Edge point ni kiboko ya unene.

Anonymous said...

mh! Baby tena wakati ulisema upo single?

Anonymous said...

acha mashauzi yasiyo ya msingi wewe bitch, toka umeanza hy diet leo mbona hatuoni mabadiliko yoyote unaenda gym ukitoka unafakamia bia za offer na michemsho ya kuhongwa utapungua....! wenye kufanya diet wanafanya kimyakimya tunaona matokeo tu sio ww maneno mingi matokeo zero msss****ghhhh.......!

Anonymous said...

Twende mbele turudi nyuma hapo ulikuwa safi na pia hiyo ndo colour yako.Sasa hivi na mikorogo umejiharibuje?njua unatamani kuacha but tabia ya mkorogo ukiacha kamwe huwezi kurudi ulivyokuwa zamani!!poor sintah!!!

Anonymous said...

Mbona hizi picha ni za zamani, au ni kama kawaida yako kuiga, anyway good idea

Anonymous said...

UNATISHA CHRISTINA MANONGI, HUJIOGOPI KWELI?

Anonymous said...

Mjanja wewe hiyo pic ya pili umekata kichwa ingekuumbua ulivyokuwa dark sinta wa sasa hivi kajichubua hatari

Anonymous said...

Poor cntah bcz of tht ckutaki tena!

Anonymous said...

nadhani hii diet itakufaa http://www.liveandfeel.com/diets/how_to_lose_5_kilos.html yaani hautasikia njaa kamwe! tena hata loose skin hakuna, inatighten the skin mpaka utapenda mwenyewe. all the best!

Anonymous said...

Hilo jina la jlo naomba Badilisha hauendani kabisaa loooo!!!huoni hata aibu kujiitaaa hivyoooo!!jamani wataka mambo makubwa na wakati huyaweziiiiiiiiiii aibuuu

Anonymous said...

Malaya weirder

Anonymous said...

Huendani na jina la jlo unatutia aibuuu,!!yaaaannn hufananii kabisaa lol..aibuu

Anonymous said...

dozi hizo za kuongeza siku za kuishi, matokeo yake tunasikia umekufa ghafla kwa prehsa au kichwa.

Anonymous said...

Jamani tuwekee basi hiyo diet coz wengine tumenenepa mpaka basiii

Anonymous said...

MAvi wewe hata ufanyeje diet hupungui ng'ooooo.

nono said...

Umenenepa ,una kitambi ! Nilikuona maisha club last wik kitambi kinadondoka na topu yako ya green!ptuu kumbe kawaida sana picha na tv zinawabeba sana !

Anonymous said...

Penda ViboNGe mM

chaby said...

thanks dear kwa kushare nasi nimeshaanza hiyo diet. Mungu akubariki

chaby said...

thanks dear kwa kushare nasi nimeshaanza hiyo diet. Mungu akubariki

Anonymous said...

mbona tumbo kubwa unafanya diet gani