Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

AUNT EZEKIEL AVAMIWA DUKA



maskini dada wa watu kafungua duka lake hivi  karibuni demontee wine shop,na sasa wamemvamia na watu wakaibiwa vitu na kaka mmoja kwa jina la Musa akapigwa risasi,
nahisi haya mambo ya Nigeria tunayo yaona katika movie yameingia bongo.
daah Jb mpaka akashindwa kuingia chini ya uvungu wa gari yake maskini unene noma.

pole sana Aunt Mungu atakujalia utapata vingine tuu.
 

8 comments:

Anonymous said...

ahhaah!pole jamani,wezi mie wananiudhi yaani mtu unataka kujikwamua kimaisha wenyewe wanakuja kukuibia,pole aunty ezekiel jamani mungu atafungua njia nyingine ya mafanikio,

nampenda aunty ezekiel kwani yeye mambo ya mkorogo hana,yupo happy na ngozi yake,bongo movies wadada mnatisha kwa mkorogo,hamjiamini nini?

Anonymous said...

pole mwaya aunt ni mitihani tu hiyo, lkn angalia wameiba ss ngapi kama mchana sawa lkn kama usiku mtu wa karibu ndio kachoresha inshu,

Anonymous said...

Eeh atamjalia vilivyo halali,mali isio halali mwisho wake huwa mbaya tu.mtafute kwa nguvu ya mikono yenu na mungu anatia baraka

Anonymous said...

Huyu shoga ako?unaskia huruma mwenyewe irene ulisherehekea kuibiwa kwake nyOko

Anonymous said...

we bdau hapo juu hatusemi inshu..ni issue..mwe!
pole aunty

Anonymous said...

Pole sana aunty,Mungu atakupa zaidi ya hicho.

ramla mwakasi said...

pole anti mungu atakupa nyingine

Anonymous said...

ujue .sasaivi nchi minaijeria imejaaaa bongo inafundisha watu ujangili na hiii njaaa watz wanafanya .mmm mungu saidia siiipendi mipoopo minajeria mijizi michawi .miongo.pole dada