Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

NGUO ZA WEDDING BELLS NILIZOPITA NAZO JUKWAANI KATIKA HARUSI TRADE FAIR


watu j wake lo,heee





Hizi ngu zinapatika wedding bells kwa wale wanaotaka basi duka lao lipo msasani.



17 comments:

Anonymous said...

MANGE KIMAVI NASIKIA KAPIGANA NA SINTAH KWENYE BABY SHOWER YA CAPTAIN HILDA NA KUNA PICHA ZINA ZUNGUKA BBM MDAKU FANYA KAZI YAKO FASTA UTULETEE NEWZ.

Anonymous said...

Unavutia mwaya! Hongera!

Anonymous said...

Olewa basi...utayavaa sana

Anonymous said...

Mumy hapo umependeza sanasanasana....sh ngapi kama hlo la pink.....

Anonymous said...

Umependeza sana na hayo mashela,olewa basi

Anonymous said...

Jamani hizo shela zilivyonzuri natamani kuolewa hata kesho, hasa hiyo picha ya kwanza na ya pili

Anonymous said...

acheni unafki kwanza hata huko kwenye baby shower J lo wetu hakuwepo, alafu kuna kitu nimekigundua kuna watu wanaumwa sana roho kuona sinta anamaelewano mazuri na mange yani wanatamani sana wakorofishane, ndo mana kila siku vijimaneno hawaishi kutumja comment za chokochoko hasa kule u turn. mtafaidika nini jamani? Dunia tunapita wapendwa na huko tuendako ni shubili, haya endeleeni naona wenzetu mnamkataba wa kuishi milele

Anonymous said...

pendezaaaaaa baby sinta...upo juu juu

Anonymous said...

UTAISHIA KUONYESHA MATANGAZO YA HIZO NGUO, KWA ROHO YAKO ILIVYO MBAYA HUOLEWI NG'OOOOOO!!!!!

Anonymous said...

We anony wa kwanza acha umbeshuuuu...muone sura ka unakunya kimba gumu.

Dida said...

Utabakia kuvaa hivyo hivyo kwenye maonyesho.labda katafute mikoani wasikokujua.

Anonymous said...

UMEPENDEZA SANA SINTAH. WATU WANAKUONEA WIVU ETI HUTAOLEWA WAKWAKO YUPO NA MUNGU AMEKUPANGIA NA KWA WAKATI WAKE UTAFIKA NAWE UTAOLEWA.

HONGERA SANA MAGAUNI MAZURI NIMEYAPENDA HASA PINKI

MIMI PENDA WEWE SANA

JOYCE ROWLAND

Anonymous said...

na nyie wanafiki wakubwa mnajifanya mnampenda sinta nyie wote wanafiki wakubwa,na ndio maana wabaya kama roho zenu.


na we sinta utaishia kuonesha matangazo mpaka ukome tafuta ya kwako utulie utatamani sana na kuyavaa ila jinsi ulivyo nyamafu ndoa sahau

Anonymous said...

HAYA TUMESHAONA MAONYESHO, SASA JE YAKO WEWE ITAFIKA LINI? AU ANGALAU UPATE ENGAGEMENT RING TU KAMA KINA FUNENGE..?

Anonymous said...

aolewe nini naye ni DUNGAJEMBE ATAHANGAIKA TU

Anonymous said...

KAZI KUPIGA PICHA KWENYE MA HOTEL YA WATU KULALA KWENU KTAOLOJIA.

HA HA HA HA HA HA\

WANAWAKE WA BONGO BANA KILA KITU DRAMA HAMZICHOKI HIZO CHORONGA NYAMA

MTATUMALIZA KWA KUPENDA VYA BURE JAMANI

Anonymous said...

SASA NYIE MNAO MPONDA HUYU BINTI MBONA MWANISHANGAZA!:o MPAKA UNACHUKUA UAMUZI WA KUTEMBELEA BLOG YAKE NI KWELI UNAMCHUKIA AMA NI WIVU!!??

NA NYIE MNAO JIITA MA SUPER STAR WA BONGO HEBU BASI PUNGUZENI SCANDAL ILI MUHESHIMIKE NA JAMII KIUKWELI!!