Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

KIDOTI FASHIONS ROCKED (J WAKE LO) BEST DRESSED KTMA

well done Mpoki
ukumbi


 best dressed KTMA
guna taratibu unajua uko kazini boss
akikusikia itakuwa noma
muda wa kazi
unaangalia blog
we rep kidoti
Millard na sintah wake
heeee mtahisi vibaya mmh
ni my bro for life
Diamond huyoo katoka mlimani
city na 3 awards
chezeya 
diamond dressed by kidoti fashions
malkia wa taarabu na wake kipenzi
heee full stop
cheki ktk juu mpaka chini
kidoti ilitisha
hapa kazi tuu
majungu kwenu
my new nick name
mti wenye matunda ndio unaopigwa mawe
lolest
jokate's cousin & i
my best partner
dimpoz na diamond mlitisha
back stage  Abby,jlo n Noel
                                                          with ma gals

mmmmh earing silver
belt silver


anayesema belt ya gold naomba ukale mchicha.

24 comments:

Anonymous said...

Sintah ulipendeza sana hiyo KIDOTI fashion iko wapi??? na sisi tukapendeze???

Anonymous said...

Sintah ulipendeza sana hiyo KIDOTI fashion iko wapi??? na sisi tukapendeze???

Anonymous said...

waoooo mlipendeza sana hongera Sintah i love uuuuuuuuuuu

Anonymous said...

yani sijui nisemeja ma dear umendezaaaa kila kitu kimepangiliwa huo mguu sasa. watajinyonga wanaokuoneaga waivu wenye midomo ya bakuli kama la maharage.

umepndeza sana hongera kwa kidoti fashion.

joyce rowland

Anonymous said...

miguu uwwii, yani ukilala na mwanaume akiona miguu anakinai, hakutamani tena.

Anonymous said...

kwa mara ya kwanza umependeza andunje we2....endelea kuvaa kidoti2 kla cku,sio marapurapu yako unayovaaga

Anonymous said...

Na wewe na mdau hapo juu hujui kuandika ebu soma ulicho kiandika

Anonymous said...

Nilipoguswa n kichwani,pls naomba niambie iyo nywele n ya aina gani na umeshonea wapi na me niende kujitoa chicha kama wewe,umependeza sanaaaa Aisee keep it up love
Dogo lake Jlo wa bongo.xxxxxooo

Anonymous said...

huna lolote eti mtawaza vibaya usitake kumchafua mtt wa watu ana demu wake wa ukwee cyo ww kutwa nyuma ya mabwana za watu....

Anonymous said...

Yap kuna pic hyo ya ful mwenyewe sioni kama ni nzuri sana ila da rest ni nzuri ulitoka mama sana mjitaidi sasa muagize na nje sio mtumba tuu gauni nimelikubalisana

Anonymous said...

To be honest, Sintah you looked stunning from head to toe! The make up and everythng was super duper amaizing.

Anonymous said...

Ah sintah sintah hajapendeza wala nini ebu tutokee hapa na hicho kinukta chako sijui kidoti,yaani mnanitapisha hamjui tu ebu nijilie kipande changu cha ndimu mie tired of u fyoooooooooo

Anonymous said...

heheehhe yaani nguo hiyo hiyo picha kumi na kila picha unajisifia..tumeshaona umependeza sasa mbona matangazo?

Anonymous said...

Sinta, umependeza sana nilikuangalia mara mbili mbili siku ile. Make up imeenda shule, gauni ndo usiseme, hizo nywele ni za wapi jamani??????? Tuelekeze salon

Anonymous said...

Mhhh! Sijiona, kawaida sana.

Anonymous said...

Ukinichukia wewe hanitupi mola wangu hanitupi mola wangu!


Unstoppable - kama maji vile lazima utayatumia!

Anonymous said...

Umependeza sn pretty sintah yan atakekuponda hapa huyo atakuwa na lake jambo c bure KWEL MTI UPIGWAO MAWE NDO WENYE MATUNDA NIMEIKUBAL HYOOO

Anonymous said...

Sintah umependeza sasna mummy, tuambie basi hiyo kidoti fashion inapatikana wapi tumuungishe rafiki yako,

Anonymous said...

Umependeza sana mdogo wangu sintah, wenye wivu wajinyonge. kidoti fashion oyeee

Anonymous said...

Nimependa kifua jamani! Yumi yumiiiii..

Anonymous said...

Mola hapendi wenye majivuno,wazinzi,waongo etc hawezi kuwa nae karibu... Upo?

Anonymous said...

yani ukiona mtu anakusema vibaya ujue umemkuna.....eti miguu mibaya kwani umejiumba...na huyo anaesema miguu mibaya hakukosoi wewe anamkosoa mungu na akumbuke hajafa hajaumbika kwaiyo asijitie yeye amekamirika.....i lyk u gal na kweli ulipenda....big up kwa kidoti pia kazi nzuri sana....kweli unstoppable...safi sana be proud of who u r

Anonymous said...

Ulipendeza sana Sintah big up to kidot.Everything was superb!!!!

Anonymous said...

Sinta ulipendeza saana yaani nilikupenda sana that evening...ila hii camera yako ipo chini ya kiwango haikureflect wewe if ua the copy of JLO.....