Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MTANZANIA WA KWANZA KUTOKEA KATIKA MAGAZINE SA YA DSTV

my bff Jokate rocks


go go go  my gal the sky isnt the limit just a view,she is out of the country kwa maswala ya community social responsibilities,good gal

kwa wale wanaoangalia Dstv majumbani kwao mkienda multichoice ombeni na magazine ya toleo la march to july utaona mtoto Jokate ame kiki pale

congs gf

9 comments:

LoveForKidss said...

tukimuona tutashiba au tutapewa one month bureeeeeeeeeee?????? she is your gal not our gal

liz said...

bg up jokate bt she z not first tanzanian to appear on dstv magazine i remember latoya,mwisho washiriki wa BBA wamesha appear.

Anonymous said...

Hajui hilo, ye anajua shogake ndo wakwanza lolest

Anonymous said...

mhhhhhhhhhhhh yetu macho unafiki na umbea.ccom

Anonymous said...

atajulia wapi huyo wakati DSTV anaonea kwa jirani yake watu wengi tu wametoka kwenye DSTV magazine

Anonymous said...

THE FIRST TO YOU SINTA. HILOOO AIBU YAKO

Anonymous said...

Uwe na uhakika na unachokiongea sio mtanzania wa kwanza kutokea kwenye dstv magazine

bi mkora said...

Amakweli ushamba mzigo tena wa n'nya,hali hiyo ndo umesoma kama unavyodai je ndo ungekua kama wakina walee??? eti mtanzania wa kwanza teeh teh teeh, poreeee....

Anonymous said...

Really namuadmire sana joket she is qute na anajiheshimu sana tz different from other girl ambao kila siku tunawaona kwa gazeti