Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

26 comments:

Anonymous said...

cake mbayaaaaa mmmxxxiii

Anonymous said...

keki mbaya sijui nani kamtengenezea sio keki za kisasa

Anonymous said...

kekiiii mbayaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

Anonymous said...

Sintah,, Mbona hujatupa updates za kajala masanja? Kesi yake inaendeleaje?

Anonymous said...

Cake Kama ya kijijini loo ya kishambaaaaaa

Anonymous said...

Mbna mbaya jmn ,,yani km ya elf 10 haina quality kabisa khAa ,,we c j wake lo ila hapA umechemka bora ucngewekaa

koku said...

sijawahi kuona cake inaandikwa hadi FROM.....makubwa haya

Anonymous said...

Jamani hii keki ni low quality. Mbaya halafu kama imepinda. Finishing chafu. Umeoka kwenye mkaa nini hii mpaka icing inadunda kusmooth out vizuri!

Anonymous said...

hii keki nahisi utakuwa umetengeneza wewe mwenyewe maana maandishi hayajakaa kiufundi zaidi...pia decorations za mwaka 47! kama umepika wewe then it is the thought that counts....kama umeenda kununua kadai hela yako haraka!

Anonymous said...

duh!andunje iyo cake umtengeneza mwenyewe nn?

Anonymous said...

ndo cake ya kujfanya kumpa da so best friend,haina kiwango kama ulivyo mwenyew,hata mlengwa nafikir alimpa mbwa wa kwao hakuila

Anonymous said...

kiukweli sikua na mda wa kucomment but imebidi. keki mbaya kupita maelezo, umetengenezea wapi, kama look iko hivi, taste je, itakua inanuka mafuta ya kimbo. yani yakishamba, kweli JLO nawewe umeniudhi, bora hata isingepakwa rangi, iko kama ya miaka ileee, 80s

Anonymous said...

keki chafu, i guess na boksi nalo litakua chafu ukichunguza vizuri, keki mbaya alafu outdated

Anonymous said...

Kiukweli Jokate nakupendaga sana....mara ya kwanza nilikuona kwenye muvi ya Fake Pastorls...na jana niliposikia sauti yako tam ktk kipindi cha amplifier wow!!! jamani angalau basi japo hunijui wala kuniona...wish u all da best in ur 25th anivessary!!!! HAPPYBIRTHDAY Jok!!!

Anonymous said...

KATENGENEZEN YA KWENU

Anonymous said...

Cake mbaya msema kweli kipenzi cha mungu,Jlo wa kibongo bongo cake ya kibush bush,mweh uende na wakati basi..hujui mambo ya black forest??heheh hiyo ikizidi sana 20thou

Anonymous said...

Nadhani mwenyewe aliguna hmmmm,huyu Jlo na cake hii makubwa hay!jokate uliikula kweli??manake inatisha haki,lolest..ama ulipika mwenyewe jlo hahahahh kama ilitoka kwenye mikono yako ningesema wow kamejitahidi Buahahahahhah

Anonymous said...

Hahahh mafuta ya kimbo,enzi zileeee,umenikuna mdau kataka bei chee mwenzenu anaijua hela huyu,elf 15 tu hapo heheheh no gharama,andunje oyeeeeeee!!!!

Anonymous said...

Hahahah watu mnamaneno loh eti mafuta ya kimbo.... mmmh me sijaopenda cake yaan ya kizaman

Anonymous said...

lo dada umeabikaje cake chafu inanuka mavi

Anonymous said...

mdau umeniacaha hoi na mafuta ya kimbo,shost hiyo cake kawape kuku maaana hailiki,umechemshaje andunje wa fake j lo

Anonymous said...

lo dada umeabikaje cake chafu inanuka mavi

Anonymous said...

chini ya kiwango.....

Anonymous said...

JLO nakupenda, lakini huyu best wako JK simpendi coz kwanini anachukua wanaume za watu???? Mi sipendi pia cake yake ya long....

Anonymous said...

keki ya kawaida hata mwanangu siez mpatia keki kama hy ndo mnataka kushindana na wema sepetu kwa taarifa yenu hamumpati kwa lolote wewe na jokate wenu ni km h/girl wa wema tu, kuma zenu

Anonymous said...

keki ya kawaida hata mwanangu siez mpatia keki kama hy ndo mnataka kushindana na wema sepetu kwa taarifa yenu hamumpati kwa lolote wewe na jokate wenu ni km h/girl wa wema tu, kuma zenu