Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

WEMA SEPETU NDANI YA DXB(DUBAI) 5 STAR HOTEL

                                                      Akiwa shopping
                                  nikamwambia na PS 38 size Wema

kudadaaaaaaadeki Gold
uuuh Wema usirudi bongo
chumbani kwake just
her alone


           

kama nilivyosema bahati ya mwenzio,usilalie mlango wazi,aiseee kumbe bwana mdogo (Diamond)alikuwa anabana some potentials?????????????????
wema yupo DXB ki matembezi na shopping zaidi
nashukuru sana Wema kwa kuipa PS  News,nashukuru kwa picha na ushirikiano wako

stay well in DXB

58 comments:

kokusimah said...

Kuna neno zito PS hapa. Kula maisha mdogo wangu ila kisalama salama zaidi. Kila lenye kheri.

Anonymous said...

kma unavyomwambia akutumie kimoja na ndo umwambie haache mkorogo.

Anonymous said...

Mtoto wa kike anapenda matangazo, hembu tulia kimya Wema na Mambo yako, utafanikiwa sana, kwani mpaka utoe matangazo ya maisha yako????? unajiharibia, utaibiwa hilo BUZI, sijui utalia na nani safari hiii, tulia mtoto wa kike upate mume mwema!

Anonymous said...

wema bila diamond inawezekana,achana na mtu yule
anakudhalilisha tu mtoto mzuri kama wewe.

Anonymous said...

huyo bwana ulompata safari hii N KIBOKO, UTULIE SS ULE MAISHA SIO KUHANGAIKA NA MASHAROBARO

Anonymous said...

OOOOOOOOOOOH THATS Great,but she was not alone in her room,she was with the man who took that photos,don't fool us!eeeee mumy

Anonymous said...

Mambo ya Jose makubwaaaa,kaamua kumpeleka mtoto Dubai akaoshe macho? Lakini ka Almas nako ,si haba! kalimpeleka hotel moja ya kifahali pale MANZESE,akala chips na miguu ya kuku!

Fa said...

Jinsi wema au sinta idadi ya wanaume mliotembea nao town kama kuna wanaowafuatilia bado i'm sure wanatoka mikoani kwani machine zenu zimeshachoka sana.

Anonymous said...

mmmh! kesi ya kunguru mwewe hawezi kutoa hukumu! chamba, minya utoko, kojoa ukalale! wewe, yeye, walewale!

Anonymous said...

mmmh! kesi ya kunguru mwewe hawezi kutoa hukumu! chamba, minya utoko, kojoa ukalale! wewe, yeye, walewale!

Anonymous said...

Platinum alikuwa anambania kwa kipi hasa kwa huyo shugamamy zaidi ya yeye kumtilia nuksi mtoto wa watu? hovyo hata haya huna.

Nani asiyejua kuwa wema anaishi kwa kuuza uchi zake? Baada ya kumshauri rafikiyo aache mchezo mchafu atafute kazi mbadala ndio kwanza unamsifia ujinga au wewe ndio kazi yako kuwauza wenzio? Kwa pesa gani alizokuwa nazo huyo malaya mkubwa?

Wachangiaji wenzangu naomba kuuliza, hivi hawa mastaa wasiojiheshimu hawana wazazi au wazazi wao wanaishi vijijini sana hakuna maendeleo?

Ni mimi mdau wako ninayekupenda bt kamwe siwezi kukunyamazia pale nnapoona unakosea.

Keep it up!

Unknown said...

mimi nafikiri unapotaka kumuonesha mtesi wako how hapy u r si kumuonesha exactly una mlenga yeye kumtaja Diamond kwenye shoping ya wema t doesnt make sense mamito mic0u

Anonymous said...

Ushamba na ulimbukeni tuuuu. Hamna jipya

Anonymous said...

wewe sintah acha kutudanganyaa, hiyo si 5star hotel, mi naifahamu.

Anonymous said...

we vipi riziki kwa diomond ilishaisha bwana kwanza alikuwa anamzeesha yeye tu ashazoea kuwa mapedeshee baendelee alitaka kumpa eda bure mtoto wa watu

Anonymous said...

tatizo la wema yuko kifedha zaidi kwa sababu hana mapenzi ya kweli atabakia hivyo hivyo, anabanda gari anashuka wenzie wanaendelea wapiiiiiii

Anonymous said...

ukwel Wema ana zali ukilitumia vizuri utawin maisha ila uchukue na tahadhari tusije kukuzika na kilo mbili

Anonymous said...

cv zenu zishaharibika mmgejitahidi msisafishe maana mnaboa ile mbaya hata huyo wema anatisha maana katoka hapa hapa hata mwwzi hamalizi kiboko hivi hajisikii vibaya uonee huruma mwili wako maana ushaanza kuseeka kwa mbolo du!

Anonymous said...

ila kweli acha kujitangaza fanya mambo yako kimya kimya
so kila unachofanya unatangazia watu
si wote wanakufurahia kwa taarifa yako hao hao wa karibu yako
wanakuonea vibaya shauri yako......

Anonymous said...

shoga ingekua ndio ivo basi hata mama ako aliyezaa watoto wengi k... yake ingekua imechoka na baba ako sasa angekua anatongoza nje lohhhh umesahau km k... ya mwanamke ni km rababendi na kizuri sasa mungu hawezi punguza utamu km mnato unabaki vilevile hata utembee na dunia nzima so piga kimya wewe

Anonymous said...

hahahahaaa,mdau umeniacha hoiiii.

Anonymous said...

haya mwinzio kapelekwa dubai,wewe utapelekwa wapi?na hiyo mikorogo muwache jamani mnatisha sana mna rangi zenu nzuri mnajiharibu tu,

Anonymous said...

Achana nao Sintarious, ni kama daladala inapakia ina shusha,mwisho wa siku mwenye mali anahesabu mapato na zaid "Ni kama mpiga tarumbeta " mwishowe huumia mwenyewe

Anonymous said...

OOOOOOOOOOOOOOOhooooo,msidanganyike Sintah kitu mnato usipimie! Nadhani magazeti yanakudanganya,tuulize wadau!

Anonymous said...

Siku ukipata bahati ya kulala na Sintah wewe,kesho yake unakwenda kwenu ugweno kutoa talaka!
Mtoto anajua kuoga na kupanga viwalo acha mambo yetu yaleee
Tatizo umekulia uwanja wa fis,umezoea visungula tope visivyo jua kuoga!

Anonymous said...

kila siku kaweka mi lace wig na kubandika mikope. mbona sio mzuri , ni wa kawaida wanajilazimisha uzuri, atoe huo mlace wig na mikope uone anavyotisha na mi lips yake iliyovimbiana. macho yake tu yanaonesha ni kicheche

Anonymous said...

kama kweli wema kaachana na diamond kwangu mimi ni furaha kubwa,kiukweli jamani wema hakustahili kuwa na diamond,hadhi ya wema ni kubwa sana,nafurahia mafanikio ya wema

Anonymous said...

Wemaaaaaaaaa change una wabaya wengi mbona wasanii wenzako wakisafiri hawajitangazi ,fanya mambo ya maana u will end up with nothing ,jenga ,fanya biashara jiendeleze na masomo sio kufunga bar muulize mr nice ,

Anonymous said...

hahahhahah nimeipendaje uwii mbavu zangu mie

Anonymous said...

wazazi wao wameshawasema weeee wamelia weeee wameokoka weee wameona hawabadiliki basi wameamua kuwaacha kama walivyo uzuri hawatapata shida kuuguza ngoma zao kipindi mrefu sababu ARV zina rutubisha so it takes less than two weeks kushika hatamu kwenda kuhesabiwa kwa sir God.

Anonymous said...

how do we know she is in Dubai mbona picha zote ni indoor ajifunze piga picha ukiwa nje ya mjengo tuuaccess hicho kitanda could be from any hotel in dar na duka kama hili could be anywhere in dar also. alafu mwambie shostisto wako kwakuwa anatembea na mume wa mtu sasa basi afanye mambo yake chin chin atabutuliwa na mwenye mali not very long i tell you

Anonymous said...

ahahhhhahhahaahh weweeee nimecheka mpaka basi! lkn huyu sintah nae kwa majisifu sasa hiyo ni five star hotel gani hujatembea dubai nini kuona majihotel hiyo wala haipo na pia Sintah uache sifa mbona Diamond ndo alimfanya Wema akawa na mvuto na pia alikuwa akimpa good time sana. panapo ukweli tusemeni jamani ! Sasa hivi wema kwa mkorogo ptuuuuuuuuu ......

Anonymous said...

Its true

Anonymous said...

Wema hakutakiwa kujiingiza kwenye mkorogo she is pretty.Anyway hayanihusu.

Anonymous said...

Mkorogo jamanii, mtakufa na cancer ya ngozi

Anonymous said...

mdau nimekupendaje?yn kuna mwingne kauza K mwanza tena mwanafunz wa SAUT ss yuko dar chuo wamefungua ila ndo bado hanakiuzisha uku dar mna mwanza washamchoka tyr na n group lao.

Anonymous said...

WEMA KABADILI ILE STATUS YAKO KWENYE FB YA RELATIONSHIP WITH DIAMOND PLATINUMZ,HARAKAAA!!

Anonymous said...

Bi Wema kama umeenda Dubai kwa mapumziko yako binafsi vyema. Lakini kama ni muhimu na wengine wajue, na bahati mbaya unapata ubishi kwamba uko huko kutokana na muonekano wa picha zako(indoor. Kwa sisi wazoefu wa kusafiri ningependa kukushauri maeneo yafuatayo yatakusaidia kuuza sura bila ubishi. Tembelea pande za Jumeira Beach kule utakutana na taswira ambazo ukiziona tu we mwenyewe utajua uko Dubai. Ukitika hapo elekea ya maeneo ya Burj Khalifa hapa pamoja na mambo mengine utakumbana na ule mjengo mrefu kuliko yoooooote duniani, hivyo utakata/kupunguza ubishi. Kisha hapo ulipofikia waambie wakubookie DESERT SAFARI, event ambayo kila mtalii hupenda kufanya, huko utatembezwa jangwani na kupata nafasi ya kuona ngoma za kiarabu na kule buffet ya kiarabu. Hizi picha zako za Deira, utaendelea kubishiwa.

Anonymous said...

Hivi huyu wema ana uzuri gani jamaniiiii??? eeeh nawauliza nyie hlo TAKO LAKE LA KICHINA? au kuna kingine na hayo makope kama jini wakizungu ukijumlisha na hayo malace wigi sijui makitu gani + mkorogoo uuuuwii eti mzuri na nini hapo? hebu atutolee ushuzi hapa.

Anonymous said...

acheni ..u....n.g.e .... hiyo five star gani in dxb ......hell with u ....mnajichubua tu ...

Anonymous said...

wee sinta huyo acha kusifia kipumbavu huyo wema anafanya kazi gani mpaka ajipeleke dubai?na eti pekeyake room kwani aliyempiga picha ni nani kama sio huyo bwanaake?hebu acha kutoa sifa za kijinga kwa shogaako

Anonymous said...

Mange eti hapo DUbai??

CHEUSI MANGALA said...

SIKUHIZI NDIO FASHION MKOROGO KWA TANZANIA NAONA TUNAONGOZA THEN WANASEMA WAMESOMA .HAHAHHAHAHHAHAHAH WAPO WENGI IVYO JUA KHALI WANANUKAJE WANAJIZIBA NA MIWANI KUBWA .WATAISOMA NAMBA SIKU IKIFIKA @CANCER YA NGOZI KAMA UNAVYOSEMA MDAU .YETU MACHO .INGEKUWA HIVYO WEUSI TUSINGEISHI DUNIANI.MI NAJIVUNIA RANGI YANGU.

Anonymous said...

eeeh! kakimbilia dubei watakoma

Anonymous said...

Pumbavu Mkorogo utafikiri kuku kachunwa akiwa haiiiii Heeee Wema ninini hichoooooo!!!!!aliyekwambia ngozi yako sio nzuri nani mdogo wangu! ndio maana tulikuvisha taji la miss Tz janai au na hilo hulithamini?nilidhani shule kidogo ulionayo inakusaidia kumbe Hakuna kitu.Company nayo matters kama kina dida ndio mabest No wonder Join the club
Hovyooooooooooooooooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Anonymous said...

mkorogo uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
kama wale mashamkupe ya uswahilini dah!!!!!eti Miss Tanzania.Miss tanzania my Foot! enzi zile alikua mzuri sijui kajua dunia basi tabu kweli kweli No wonder alikua na Diamond! Uswazi mwenzake TUPA KULE NEXT!

Anonymous said...

MDAU HAPO JUUU MWACHE AFE NA HIYO CANCER KWANI UNAFIKIRI HAWAJUI?WANAICHEZEA CANCER BAHATI NASIBU NAWATAIPATA.HIKI KIZAZI HIKI MHHH SIJUI.huko uzeeni sijui itakuaje!
Halafu hivi kila mtu angekua anajianika hivi leo nimekwenda wapi kesho wapi kungekua na maana ya privave na kila mtu na maisha yake.Acheni ulimbukeni Nyambavu!Mnaboa sasa!
mshewwwwwwwww Msonyoooooooo!!!!!

Anonymous said...

hili ni kundi lilelile, joyce kiria.com! no shule, full mikorogo na ujinga! umbeya na kutosoma! completely rubbish! idiots!

grace said...

jamani kanga tenaaaaaa khaaaaa..... hiyo shopping yote kasahau sexy rob au lingerie ya ukweeeee.......ha...au hiyo hotel haina mataulo ya ukweee au huyo alinae hana shati....jamani kanga....kweli bongo movie!!!!!low grade!!

Anonymous said...

Mtajiba na mikorogo yenu inahusuu

Anonymous said...

wapuuzi sana nyie mna rangi nzuri lakini kujichubua sijui kwa nini na mtakufa kibudu mbwa nyie mmekaa kama watumwa bwana aliyewaambia weupe ndo uzuri nani watu ngozi zenu nzuri hazina chunusi wala nini mnaangaika na nini hamuwaoni wenzenu kina aunty ezekiel na monalisa hawatumii mikorogo hata siku moja. wapuuzi kabisa wote mnaojichubua ww sinta, wema joyce kiria, dida na mbwa wenzenu wote

Anonymous said...

GET A LIFE!

Anonymous said...

Like

Anonymous said...

Yaani akili zingine! Msomi wetu hawezi kuanalize kama wewe!

Anonymous said...

Help me understand! Five star my foot!

Anonymous said...

Bado anampenda

Anonymous said...

Yaani,It's more likely to be a 2star.Maana hata 4star in hadhi nzuri sanaaa.Waaay better than hii.Cheee pesa yote unadai ka-spend hata kuongeza pesa kidogo akakaa kwenye hotel bora zaidi kashindwa?Me hoiiii kabisa!

Anonymous said...

wewe acha ushamba mwanamke uremboooooo sema unamtaman tuuuuuuuuuuu