Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

WANAUME DEVU NDANI YA DAR NA TZ KWA UJUMLA

hellow Wadauzzz


kwakweli kuna tabia ya wanaume wa hapa Dar  wanapenda kuwafanya wadada wawe na matumbo kama pipa
utakuta mwanaume anamywesha mwanamke beer mpaka anajikojolea ila omba hela ya kusaidiwa kufungua duka atakupa longolongo.
wanaume wa Dar si wanaume bali ni magume gume yanayowalewesha wanawake na kuwatumia
ladies.ladies watch out,wanaume wa Tz majority aren't romantic na si wapenda maendeleo
maana kama anapenda maendeleo asingekaa bar from monday to monday na na kukunywesha mapombe na vyakula vya ajabu as if kwenu au kwako huna vyakula hivyo.
kudadeki wanaume wa mjini mmezidi, hakuna mwanamke anaependa kula machips kujazana matumbo na pombe looh mnatiaga aibu.

mkinuna ndio vizuri mtajirekebisha.

kwa taarifa yenu wanawake wapenda maendeleo hawapendi tabia zenu,jirekebisheni @mnajijua wenye hizo tabia


jamani mimi wadau ndo wamenituma not ma words

toto hiloooooo
utanunaje
aaarh jlo shikide

19 comments:

Anonymous said...

wanawake wakibongo ni waajabu sana,kwani ni lazima uishi kwakumtegemea mwanaume?acheni mnyweshwe hayo mapombe na mlishwe machips ndo mkome maana mzoea vya dezo!mnataka mpewe hela ili mkahonge vibwana vyenu vya pembeni maana hamuaminiki hata kidogo,mmeweka maslahi mbele kuliko mapenzi!imekula kwenu hakuna cha kupewa hela wala nini!

Anonymous said...

Wewe sinta ni mpumbavu sanaaaa andunje mkubwa.

Anonymous said...

WANAUME WAMJINI WAMAANA WAPO ILA NYIE HAMUWAONAGI MADEM MNASHOBOKAGA NA VITU VYA KIJINGA SN, BAR MNATAKA WENYEWE, SHUTI UWAALIKE NA SHOGA ZAKO IVI TUKISPEND MORE THAN 300,000 BAR NITAKUHONGA NINI TENA???????? MSIPAPUKE NA SURA SIJUI MAGARI SIJUI SIMU WENYE SURA MBAYA,SIMU MBAYA NA GARI YA KAWAIDA NDO WANAPENDA.
HAYA HAPO JUU UNASPEND MILION 70 KWA SHOPPING?????? SIKATAI MWANAMKE KUVAA WAT ABOUT KUJITENGENEZEA MAISHA???HUYU MTOTO ANA UWEZO WAKUJENGA HEKALU KM AKITULIA ILA NAE NI WAKUPAPIKA KM HAO WANAOSHINDISHWA BAR

Anonymous said...

Shosti eti nasikia umepata bwana mzungu,ndio maana unawaponda wabongo?

Anonymous said...

HAPO UMENENA SINTAH NIMEKUPENDAJE KHA HAWA WANAUME BWANA WAMEZIDI LAKINI NA SISI WANAWAKE NDIO TUNASABABISHA HIVYO MTU AKIKUKWAMBIA KUNYWA BIA USINYWE MWAMBIE UNA SHIDA INGINE ILIA HATA AKUPE HIYO HELA KULIKO KUSPEND KWENYE VINYWAJI AKUPE WEWE BINTI.

Anonymous said...

we sinta hapo ulipo umefunguliwa mradi gani na bwana? hovyooooooooooo

Anonymous said...

mnalalamika nini na nyie mnataka usawa??? tafuteni pesa zenu ndio mpangie matumizi! huoni aibu eti unapelekwa bar? mnapenda wenyewe na manjidhalilishaje? kwanza hamna kazi za kufanya muda mwingi mnapoteza kukaa bar,si mtafute shughuli za kuwakeep bize? yaani nachukia mimi wanawake mnaotegemea wanaume wawafanyie vitu!halafu mnadai usawa phuu!!

Anonymous said...

Mh! nawasiwasi kubwa kuwa wewe ni graduate, unatuaibisha wasomi. ulienda kununua vyeti au? hata inavyoandika lugha unayotumia ni kama unasoma tution ya lugha halafu unachukua maneno utakayosoma unafanyia mazoez kuandika kwenye blog yako.

umeajiliwa wapi!

Anonymous said...

ha ha ha ha ha msonyoooooooooooooooooooooooooooooooo
mzungu huyo akipata mzungu humu ndani patakalika unadhani jinsi alivyo mswahili sipati picha.............
na huo uandunje basi.....
mdau hapo juu umenifurahishaje...
fetty

Anonymous said...

hahaaaaaa,kula tano mdau nimekupendajee!

Anonymous said...

eti j.lo, teh!x20. mfupi kama kabati la hospitali.

Anonymous said...

Hilo nalo neno, japo nilikuwa napita tu!

Anonymous said...

Nimekuita bar,unategemea nini lazima nikupe monde mpaka uzimike! Eti nikufungulie duka,kwani mimi spendi kuwa na duka! Nyooooooooooooo mama angu mwenyewe yupo kishumundu hana duka nikufungulie wewe kwa lip?

Anonymous said...

Sahauuuu kuhusu mshiko pombe nitakupa hata crate 10!

Anonymous said...

Kama duka unadhani ndio maendeleo,nenda kapande mbegu DECI,mwisho wa siku utavuna!

Anonymous said...

Ok, Sintarious njoo huku Mwanza ulizia papa Shirandula , mimi nahonga maduka kwa kwenda mbelee lakini nakula tigo! Are u ready?

Anonymous said...

Acha ushamba wee Sinta maisha yenyewe mafupi acha watu watanue

Anonymous said...

Umenigusa mdau .. utakuta jitu linakununulia pombe wee! hata hela ya kuamkia na supu kesho hakupi KWELI WENGINE SI WANAUME NI MIGUME GUME.. halafu hawataki kuachwa hao ving'ang'anizi kazi kuzibiana ridhki 2!

Anonymous said...

na wewe unakaa eti mwanaume akufungulie duka umekuwa mke wake , yani wanaume wenye akili amfungulie mpita njia duka tena hata hajijui kama yuko peke yake au la , wanawake tujikwamue wenyewe tuache kutegemea miili yetu kupata kipato. hao ndo nawaita wanaume wenye akili aache kufanya maendeleo yake , kwni ye hataki duka ,