Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

UMAARUFU HAUJI BURE BANA

wtsup ma pipo,
nlikuwa pande za zenji kidogo ndo maana mliona kimya.
wakati naanda picha za kilichonipeleka Znz ni hivi
kuna dada mmoja ana miliki blog na anaishi nchi ......,aisee dada anatafuta umaarufu kwa kasi sana
sijui ni nini hasa kinamuwasha kutaka kuandika ma blogger wenzie?it seems anataka kupata umaarufu kupitia gongo langu anakuwa kama watu wa jamii forum kila siku wananichunguza sijui kwa nini hasa,
sasa basi wewe dada wa huko naomba unitue sijawahi kukuandika nami naomba usiniandike
tafa,tafa,tafa bibieee, mimi sichokozeki maana ni UNSTOPPABLE
jua ya huko nasi tujue ya huku please,
 please

kwa leo nina kustahi maana napata comment nyingi sana unajishauwa kuhusu mimi,weeeee JIHESHIMU.

from
UNSTOPPABLE

40 comments:

Anonymous said...

UMEPENDEZA MTU WANGU SINTAH,NAMJUA HUYU DADA TUPO NAE HUKU ANAPENDA SANA KUWAONA WENZIE WAKO NYUMA ILA YEYE KUTWA KUJISIFIA TUU MPE KAVUKAVU AMEZOEA HUKU SIE WENYEWE TUMEMCHOKA SAANA ANAJIDAI HAJAOLEWA HANA MTOTO WALA MCHUMBA TENA KUNA WATU WANADAI NIMSAGAJI MSHENZI WATABIA SANA MUELEZE HUYO KAZOEA HUKU KWENYEWE KUTWA UGOMVI NA WAKO MAKUNDI YAMEGAWANYIKA WABONGO ACHENI UJINGA FANYENI KAZI MFYUUU MTAKOMAJEEE LEO.

Anonymous said...

nishamjua kitu cha S.A,kataaaaa kma c yy Sintah!

Anonymous said...

Sintah sweetheart enjoy ur life...mtu mwenyewe ana kadiploma..tena cha IFM..ha ha ha najua atakuwa ni yule Diva loveness love alikuandikaga vibaya na kukusifia kinafki, msenge tu yule, mshamba wa maisha!!, mama yake alihangaika naye wakati yupo moro anafanya kibarua kiwanda cha tumbaku mpaka alipata TB, baada ya kujuana na huyo mzee malinzi ukubwani analeta za kuleta!!, lihaya halafu anajifanya wa T.A pyuuuu!!!
Achana na wapuuzi tupe burudani mamaaa!!!

Anonymous said...

kwa nini mnapenda kujiabisha kusutana kwenye mitandao wakina mama wa kitanzania mnatia aibu kubwa sana kwani ukikaa kimya unakosa nini?

Anonymous said...

Mbona watu wanapenda ugomvi sana tukianza kuchunguzana tutapita barabarani kweli, mbona yeye na marafiki zake kibao wamejiripua na kujiita wakimbizi na wengine wanatumia passport ambazo sio za kwao kusafiria au tuwataje majina? si bora sisi tunaojiita jlo ya kutania lakini ukisafiri unatumia passport yako ya christine. ngoja kwanza nitawataja muda sio mrefu majina yao na passport za wizi wanazotumia na kuwareport home office kabisa. yasije yakawa ya mtenda atende yeye akitendewa huona kaonewa.

Anonymous said...

Kwani watu wa jamii forum tukoje???

Anonymous said...

makubwa! hegepa kule na wewe! hebu nijibanze banze nitafute upenyo nipite zangu!

Anonymous said...

if you claim to be unstoppable si umpigie umwambie unatuambia sisi ili tufanyaje? afterall hujamtaja jina so na wewe ni walewale uoga mbuzi

Anonymous said...

Huna lolote so umtaje au unamuogopa?

isaackin said...

khe!

Anonymous said...

fanya utuwekee Picha za b'day ya R.T ndo kilichokupeleka znz...

Anonymous said...

Unamuogopa ndo maana haujamuandika jina, kama wewe unstoppable kweli mtaje jina lake, mfyonyoooooooooooooooooooooooo!!

Anonymous said...

Na kile kinyago kingine cha mpapure kinachodandia picha za matairi eti inahuuuu, kibayaaa hujui ni kimama kizee au kibibi?! wacheni uchokozi.

Anonymous said...

makubwa jamani duh, unayenichokozea shoga yangu samahani eeeh, tutakupa mvua ya mave na manundu yako ya kwenye mashavu tajiju

Anonymous said...

Jamani nyie wala sio huyo Diva mwenyewe Sintah amesema anaishi nchi fudenge. Jamani huyo dada akisikia shughuli ubalozini yuko na kikamera chake wee subiri tu watu wa Home Office wajue kuwa kumbe sio Mrundi ni Mbongo. Watu mnajitia wakimbizi sijui wakirundi wakati kutwa uko ubalozi wa TZ kila mgeni akija upige naye picha, kila MTZ akija upige naye picha, uwanja ni Pit Stop, kampani yako wote waTZ, hivi mnawaona wazungu wajinga sana? Tena yeye ndio anajianika kwenye mafesibuku na hiyo blogu yake ngoja wamstrip off hiyo indefinite leave to remain for fraud yeye na mashogaze ndio watajua kuwa fesibuku na blogu ni nzuri au kujichora! Ukiwa muongo usiwe msahaulifu. Anaitwa JG ni bloger, model, sijui mtangazaji, mwimbaji etc etc. Watasonyajeee!!

Anonymous said...

SINTAH KWANINI SUIMTAJE HUYU DADA YUKO UK,AMEKUANDIKA NIMEONA WATU WAMEKUCHAMBUAJE HUKO KWA MTANDAO WAKE,NAONA ADI UMEOGPA KUJITA JLO WA TZ HAPO JUU,UNAMUOGOPA KUMBE NAHAPA NAPOANDIKA BADO COMENT ZINAMIMINIKA HUKO,YULE DADA ANAJIDAI NAHIVYO WANAKITUO CHAO HUKO UK HUWA ANAOJI WASANII MBALIMBALI ANAITWA JSBLOG AHAHAHHA WARE WARE NIMTAJE NISIMTAJEE KIREFU SURA YAKISWAHILI ANAKUONEA DONGE WEMREMBO SINTAH NDIOMANA.MPE WAZI WAZI KAVUKAVU.HALUUUUU

Anonymous said...

komaaaa wewe eti KADIPLOMA...bibi yako anayo ata hiyo diploma tazama mpua wake km bibo.

Anonymous said...

Asante mdau kwa kuweka JSBLOG nimeshamfahamu ila si alikuwa anatoa mawazo yake jamani he!!!!!! na siyo yeye aliyecomment ni wengine kabisaaaa. yeye amesema "Jamani wats this mastar wabongo kujiita majina ya macelebrity wa nje like keri hilson,minaj,tyra banks,kimora lee,jlo,rihhana,beyonce n whatsoever?to ♍ε its a big NO kwa kweli au labda mie mshamba nisaidiwe lol"

Anonymous said...

Heeeeeeee, kitu chenyewe hiki hapa kweli mmenipa kazi ya kumsaka eheee hatimaye nimempata aishie zake huko.sintah usibane ili nasi tumchambie hapa hapa http://www.jestina-george.com/2012/02/issue-ya-matumizi-ya-majina-ya-mastar.html
watu badala ya kufikiria ya kwao wanaleta za kuleta mfinyuuuuuuuuuuuuuu

mkweli said...

jamani eeh, kusoma hamjui hata kuona hamuoni??? anaitwa JESTINA GEORGE

Anonymous said...

muache aseme mambo mengine yanakera! we kama unakereka ndio ukae kimya, hakuna haja ya kumnyamazisha mtu!

Anonymous said...

ndaga dada, nimekupendaje! sintah kwa style ya umbeya kijiwe hakitapoa! lete ukuda, ongeza umbeya!

Anonymous said...

ehehehehehe...kumbe yule JG anajifanya mkimbizi mrundi?sikulijua hilo...lope lope wala na wewe usijali mchane live tu maana naona mablogger siku izi mwendo ni kuanikana tu,mweeeee

Anonymous said...

nakussuport sana ndugu, yeye na akili zake na elimu yake anayodai anayo haijamkomboa tu....inaama yeye kama yeye hajajikubali, kajikataa kabsaaa ndo maana anajiita jina la mtu mwingine, yani naumiaga basi tu hunioni, u claim to be a star and yet u a using someones identity......aiseee big no.....

Mulape said...

we sinta nawe wataka umaarufu kwa nguvu, huna lolote, unajishauaaa, miss jestina kasema kweli, kwan uongo, jina la sinta lishakubalika na ndo lilikupa umaarufu, aliekudanganya hilo jina la jlo sijui nani yarabi khaaa, ebu be real bana, watuchosha sie

SWHAIN WW

Anonymous said...

Achana nae huyo tena Mpotezee kabisaa Hana ishu! Ndio zake kutaka kujulikana kwa nguvu, alijitumisha mipicha uturn tukamkomesha, sasa Hivi anajifanya kumjua Rachel temu, Yaan sijui yukoje!! Ndio maana uso wake una pembe km sambusa,!!Fala tu huyo Mpotezee

Anonymous said...

Hakanyagi uturn huyo siku hizi, ameanza kukufiafia wewe sasa!! Kwanza mwambie ajirahidi alete perfum na deodorant kwa bwana aliezaa nae huku Tz, mwanamme ananuka jasho utasema beberu Mzee akhaaaa!!!

Baby Mashauzi said...

Copy of my comment to Jestina's blogpost!

:The greatest wealth is Wisdom; the greatest poverty is stupidity;

Tena Bora my Girl Sintah a.k.a J wake Lo (Meza au tema, habari ndo hiii) yeye ni muigizaji by proffession so kwake lolote linakubalika.

Sasa kuna vikaragosi kama kile kibibi kinachojiita "Kim K" wakati hata resembles ya unyayo achilia class hamna! Kasota weee na GX mia miaka 100, wakati wakina Kardashian wanapesa, magari, nguo za kumwaga. Yeye kaishia kuwa "blacksheep" of the family na kumuhangaisha mamake kumfund daily. Madeni kwa aunty Rozella hayaishiii!

Jestina ukiibania hii, naenda kuleee kukuchambua!

Anonymous said...

Amen. anon feb 27 (4.39pm).

Anonymous said...

Mtabakia hivyo hivyo na maunongo yenu pale hajatajwa cha sinta wala nani ni mtu katoa maoni yake na wala hajifanyi mrudi ni mtz ila hana karatasi

Anonymous said...

He he heeeee mnenikosha wapenzi, huyo kimbau mbau mwiko wa pilau anapenda sana umaarufu, na huwa anajiskia yeye ndio yeye, mashauzi kwenda mbele, huko UK anagombana na kila mtu hana rafiki. Kazidi sana huyo Jestina George. Mkimbizi makaratasi hana ya kuishi UK, mwnaume alie mzalisha kamkimbia, linakuwaga na mawvu sana, hapendi maandeleo ya wenzake, mwanga tuu sinta ahana nae mchawi.

Anonymous said...

KWA KWELI HUYU J KAZIDI, KWANZA MMBEYA ANAPENDA KUDAKIA MAMBO YA WATU NA MNAFIKI HAMNA MFANO. KINACHONOBORE NI ANAVYOPENDA KUJIGONGA KWA MASTAR WA BONGO UTAFIKIRI ANAWAJUA, MTU HANA MBELE WA NYUMA.AKIONA KAZADIWA ANAWEKA POST ZA MUNGU KWENYE WALL YAKE WAKATI SHETANI NATAMANI WAMDEPORT NA YEYE. WATU WA UK HAWAMPENDI BASI TU WANAMLIA JIWE, KUJIPENDEKEZA GANI HUKO. kama JLO SI WEWE, NA YEYE AJIITE Grace Jones basi maana wamefanana hawana tofauti, ashukuru mungu huo mkorogo anaopakaa sasa hivi.

Anonymous said...

wewe ni kiboko nimekukubali baby mashauzi

Anonymous said...

Ile post haikuandikwa kwa ubaya na wala haikumlenga mtu acheni mambo yenu kumuandamba mtoto wa mwenzenu kila afanyalo sumu nyie na magroup yenu huko UK wote wambea na wanafiki na sie huku bongo tunawachora tu. UK mmejaa umbea, wivu, chuki na majungu na maana hamna kazi za kufanya hata wewe uliye comment hapa huna lolote mmbea tu na unafiki. Get a life biatch

Anonymous said...

UKWELI LAZIMA AAMBIWE UMBEYA UMEMZIDI NA UNAFIKI ULIOKITHIRI. HAMNA ANAYEMUONEA WIVU ILA ANAAMBIWA UKWELI, ALEE MTOTO WAKE HUKO NA HUKU BONGO AWE ANAMTUMIA BWANAAKE HIZO DEODAORANTS kwa KWELI KWA MAANA NILIPISHANA NAE JUZI MMMMH, NA SIKU HIZI SIJUI ANA BIBI KULE SINZA? JG UMBEYA KAZIDI SIO SIRI.

Baby Mashauzi said...

Hivi we unaonge nini???? Fyuuuuuxxxxxxxx zako.
Usilolijua litakuhangaishajeee! huna unalolijua mjini hapo wewe kaa kimya, ungekuwa kwenye system ungeelewa. ila upo kwny "Anonymous bongo list" itakuwa ngumu sanaa kukuwezesha!

Ukomeee kuparamia usioyajua, si ungesoma upite tu.

Baby Mashauzi said...

halooo. nafurahi kukutana na mwana U-Turn mwenzangu hapa as najua chambo lishapata mchambaji.

Twende kazii mashosti za Mama Kenzo

mkweli said...

ndaga fijo na wewe too, love u

Lilies said...

Namshangaa.....!

Lilies said...

Lakini kwani uongo, si ukuze jina lako sio unapapia la mwingine...ni ufyontoooo
Yaani watu wengine bana...mkielekezwa mnaona mmetukanwa...