Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

NANI ZAIDI YA RAFIKI HAWA MAISHANI MWANGU??

Jana saa tisa na nusu mchana when i was in the office nilijisikia vibaya sana,actually i had stress,mimi kama mwisilaam safi huwa nafunga kila jumatatu na alhamisi kumuomba Mungu anilinde na aniepushe na mabaya.
usinione hivi kama napenda ku party yaani under this planet siku hizo mbili no matter what lazima nifunge,labda nikiwa kwenye mambo yetu yalee you know ladies stuff lol.

nilijisikia nikianguka bila kutegemea nikapelekwa hospitalini faster kama unavyowajua mashoga zangu wa ukweli huwa hawajifichi,
huku na kule waliangaika kunipeleka Tumaini Hosp very fasttt.
hapo my mum and the rest of the family hawajui.
ninawashukuru sana wote mlionisaidia,Jokate,Rachel,Saada,Zuhura,my lovely sisy Amne from the UK kwa kweli walihangaika sana.
na huyu hapa my BFF Nargis, alifika Hospitali fasta na kuanza kuwaamrisha ma Dr wafanye fasta,kwa ujumla shughuli zote zilistopishwa mpaka jlo alipopata nafuu ukizingatia yote na hii migomo
kikubwa zaidi sikufungulia mpaka muda ulipofika nikisema yote ni mitihani ya Mungu acha nimalizie funga yangu.
Mungu akanisaidia now kidogo nipo ok
thank you my ladies,mimi penda you sana,yaani mpaka Mange jamani she was too concerned duu hali ya jana ilikuwa tete.

 
yaani huyu dada sinaga la kumlipa
she is an angel who came to
intercede on my behalf

nawapendaje my BFF'S


51 comments:

Anonymous said...

shoga kumbe ww ni muslimu?nilijua mkristo!ongra kwa kulitambua ilo.pole sana

Anonymous said...

unapenda sifa mpk unakera, shughuli zistop hospital for u?? who are u??? By the way pole.

juliana deus said...

hee pole jamn mashoga wa kweli siku zote huonekana kwenye shida jaman bt all in all pole mungu akusaidie upone haraka

Anonymous said...

Hata mimi nakuunga mkono Dada uliyetoa comments hapo juu anapenda sifa yaani shughuli za hospital zisimame kwa ajili yake hana lolote sifa za kijinga hizo

Anonymous said...

lope lope kumbe uliumwa jana,pole sana Mungu akupe nguvu zaidi
much love
mwaaaaah

Anonymous said...

jamani CHRISTINA tena na uislam wapi na wapi??makubwa haya, sasa ulivyosema hadi mange she was concerned kwambaaa sijaelewa, eti shughuli zilistop sinta bwana mwenyewe unajiona star, supa star bongo, unakeraaaaaaaaaaaaaaaa, msonyooooooooooooooo

Anonymous said...

Pole Bi dada,yote mitihani ya maisha!
ila usitudanganye kuwa shughuli zote za hospital zilisimama that's too much

kokusimah said...

Kwa hiyo watu wanatibiwa kulingana na vyeo vyao kweli maskin tutakufa wengi km shughuli Zili-stop kwanza utibiwe nimeogopa. Pamoja na hayo pole kwa kuugua na hongera kwa kupata nafuu.

Anonymous said...

si ungekufa tu mbwa wewe!!

Anonymous said...

kwa kweli namimi nimeshangaaaaa ninavyoijua Tumaini hspt halafu useme shughuli zimestop sio kweli by the way who r u mpk Tumaini yote ipapatike labda tumaini dispensary ya kimara.

Anonymous said...

SO WHAT ??

Anonymous said...

pole sana and soon u will be ok mamy.hiyo yote ni mitihani sali sana.

jane bomba

Anonymous said...

mmmmm,,ila punguza maujiko Sintah, shughuli zote zilistopishwa kwa ajili yako,dah! makubwa haya!

Anonymous said...

pole sana kwa kweli na hongera kwa kutimiza ibada ya funga ya jumatatu na alhamis na ndo maana unafanikiwa kumbe

Anonymous said...

afanikiwe wapi mwislam gani unavaa uchi na uislam ni kujihifadhi lkn ww umeona uislamu ni kufunga tu wapi jamani waislam wameingiliwa tobaaaaaaaaaaaaaaaaaa

SHOSTITO said...

hebu acheni USENGE nyie ndio shuguli zilistop kweni AMJUI kama JLO ni kiboko ya JIJI mtajibeba shuguli zilistop kudadadeki na bado

POLE JLO WEETU GET WELL SOON

Anonymous said...

Makubwa jongo

Anonymous said...

Tumaini mbona ni private iwaje useme na mgomo huu lakin wewe walikuhudumia pale sio serikalin hamna mgomo

Anonymous said...

walamba viatu nao! mhhhh...napita tu!

Anonymous said...

Mbavu zangu jamani uuuwiiiiiiiiiiii! Lope lope kikwetu ni mtu anayependa kuongea uongo uongo so mie sishangai kwa haya ninayoyaona.

Usifunge blog bibie tuendelee kucheka tuongeze siku za kuishi duniani sie tunaopanga folen kila pahala.

Anonymous said...

we AnonymousFeb 3, 2012 02:08 AM acha kujifanya unajua sana Dini kuliko wengi hebu tuonyeshe picha yako tuone unavyovaa isitoshe hata kama anavaa uchi inakuhusu nini au umeliwa na fangasi kwenye uchi wako ndo unakufanya uwashwe kuongea usilolijua

Anonymous said...

mweu wewe kah! wewe una uislam gani jamani hii dunia mwe, ina mambo sana wewe unaitwa christina john manongi, haya uislam uko wapi? labda uwe una mwanaume wa kiislamu unakera hujui tuuuuuuuuuuuuu @#$%^&*((*&^%$ nashindwa tusi la kukutukana, coz yote ya zamani, nikipata jipya nitakutukana

Msukuma original said...

Pole mamaaa Lope Lopez Lopezinho! But shughuli zote kusimama loh!,....., hapo na doubt kiduchu! By the way, hongera kwakuwa na mashost wanaokujali!

Anonymous said...

hahahaaa,hata mimi nahisi Tumaini dispensary ya kimara,eti shughuli zilistop,makubwa jmn!

Anonymous said...

Uongo mwingine hauna maana shughuli zilispot kwa ajili yako, mmmh......Sinta John Manongi mwislamu????????????????????

Anonymous said...

Mashauzi @.com

Anonymous said...

kwani wewe ndo wa kwanza kuumwa? ila unapenda sifa na attention jamani kha! mie sizimii sana mambo ya kupeana attention, kwa hiyo hata kama ungekuwa shoga yangu wala usingeniona. i hate people who define others kupitia kigezo cha kuoneana huruma. some of us we see things as happen for reason.

Anonymous said...

Jamani watu acheni kumtukana huyu dada wa watu kuhusu imani yake wala hampaswi kumhukumu, isitoshe jina sio dini. Tangu zamani sana tokea yupo Kaole alishasema yeye ni muislam, why and how HAITUHUSU. Na isitoshe kama kasema anapractise kufunga msimhukumu pia, funga ni yake na Mungu wake. Isitoshe hamuwezi kujua kidogo kidogo Mungu anaweza kumuongoa akawa mcha mungu mzuri tena kushinda wale wanaomng'ong'a sasa. Haya mambo haya hayana formula ni kuombeana tu Mungu atuongoze maana wewe unaweza kuwa hamsa salawati na hijabu juu, ukateleza siku moja tu umauti ukakuta hujatubu, au pamoja na yote kutwa kuteta watu (kula nyama za watu na kusengenya na kula mali za yatima. Na huyu Lope lope na mapepe yake Mungu akamuongoa. Kwa hiyo cha msingi ni kumpa pole kama binadamu waungwana tunavyopaswa kufanya.

Hilo la shughuli kusimama, huyu kachangamsha genge alijua tu mtalipuka na comments, she knows where to tik you guys, mie niliposoma nimechekaa nikasema subiri watu wamjibu. Wingi wa comments ndio kuuza kwake!

Anonymous said...

hehehehehe hehehhehehe uwiiii yaani hii coment imenichekesha hadi basiii uwiiiii hehehehe tehetehete

Anonymous said...

shughuli za kudeki chooni zilisimama maana ulikuwa unaharishaa ikabidi wkupishe wa muda hehehehehehehe

Anonymous said...

heheheheheheh yaani leo humu naishia kucheka tu

Anonymous said...

Eti mwislam...hizi dini hizi..yaani wewe ni mwislam act like one. Kutwa kufanya mambo ya kijinga kutembea uchi, kujichubua ngozi eti mwislam. Usiwatie aibu waislam wa kweli...

Anonymous said...

pole sintah

Anonymous said...

usimchukie sababu ya imani yake ya dini, yeye ana imani yake nawe yako so' mungu ndio anajua yote. Tupendane tuache majungu jamani jamani eeeee.

Anonymous said...

MHHHHHHHHHHHHHHHHHHHHH.... THIS IS TOO MUCH. ATTENTION SICKER HUYO

Anonymous said...

TUONDOLEE USHUZI WAKO HAPA WHO R U TZ HII MPK SHUHUR ZISTOP FOR U,

Anonymous said...

MSOMI WETU UCHWARA HATA HAJUI TUMAINI NI HOSP.BINAFSI

Anonymous said...

lakini wewe sintah unaboa sana, tumaini hospital isimamishe kazi kisa wewe, amakweli usipoyaona na musa utayaona ya filauni

Anonymous said...

kiroboto c muslim ndo amejislimisha teh teh teh hapana chezea dushelele za tmk naskia zaitwa gusa UNASE...

Anonymous said...

MAMA WA TMK MRS MISIFA ATTENTION SICKER YOU WILL NEVER BE THERE WERE YOU WANT TO BE YAANI UNAJIKWEZAAA TOO MUCH SIKU UKIMILIKI JUMBA KAMA LA MWAMVITA MAKAMBA TU SIJUI ITAKUWAJE NAONA UTAKODISHA BANGO LA OUT DOOR UWEKE TANGAZO PYUUUU

Anonymous said...

napitaga tu huku nikivunjika mbavu duh!

Anonymous said...

achia comment usizibanie na ndo maana ikawekwa hii sehemu ya sisi kucomment....

Anonymous said...

njogo makubwa haya

Anonymous said...

Mbavu zangu miye....natamani kutukana basi tu!

Anonymous said...

umeona eehhh kma vip hatuoneshe anapokaa au ndo ziko vichochoroniiiiiiiiiii mna hata siku moja hajawai kuonesha kitanda wala sofa kila pic kwenye maparty poleeeeeeeeeeeee bint.

Anonymous said...

mmetumwa muingie mbona mwajichosha

Anonymous said...

Mh! kweli duniani kuna mambo....

Anonymous said...

nyie wana majungu mbona mnamchukia mwenzenu kiasi hiki kwa nini jamani hii ni blog anaweka anachotaka yeye na anavyojisikia kuandika sasa wewe roho yakukimbia kama wataka kufa na presha vip achani roho mbaya songa mbele nakupenda sasa weeeeee.................. achana na hao wanaojifanya wanajua kutukanaaaaa

Anonymous said...

sio dunian kuna mambo watu ndiyo wana mambo!!

herieth said...

Mavi matupu unaongea

herieth said...

Nyan'gau huna jipya umekwisha habar yko