Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

MC ALIKUWA JLO TZ NA PARTY NI YA LINEX MZEE WA MOYO WA SUBIRA

toto Linex
Mc Sintah&Wema
chezeya Mc,
shoes Thx to lil
sis Amne na Uk
Sauda&Linex


wapenzi wangu mmmh Unstoppable amekuwa na kazi nyingi hapa town,
Corporate figure,Actress,Mc,Blogger,na sasa anaonyesha fashion show,
mmmh ndo maana nikilala kichwa changu kinauma maana mtoto nina app sita kwa siku duu,
yote ni kusaka mahela maana wanawake tujiamini
bila wanaume tunaweza,ndo maana mimi nipo busy sana na kazi zangu rather than being idle

kwa wale wanaopenda jamani, narudia tena kwa wanaopenda,maana kuna vizabi zabina vitaingia na kusema ya kwao kama kawaida yao,sijakuilamisha  wasiliana na mimi kwaajili ya Mc usijali bei tutawezana tuu.

simu zipo hapo juu

21 comments:

Anonymous said...

shoga mshauri uyo shoga ako kuacha mkologo mna duh iyo miguu htr!

jline said...

naomba uliza kwan cku hiz ni fashion kwenye birthday kummwagia birthday person maji or pombe???..Back to the pics.,for the first time nimeona sauda mwilima kapendezaaaa na nguo!!!Even u mama mashauz kagauni kako kazuri na viatu nimevipenda..mazoez ya kupungua bado waendelea??hujatupa feedback!!Wema my dear i like u n you have a perfect body,sexy but why mkorogo??????ona sasa miguu ilivyoharibika aahhhhhh cjapenda..ila umepungua kidogo unapendeza..

Anonymous said...

mc tena toba ma mc wameingiliwa yani dd kwa kujishaua sijaona

Anonymous said...

kweli sauda amependeza sana. uendelee kuvaa vizuri hivyohivyo pendeza sana dada Sauda

Anonymous said...

Point yani i was also thinking huyu wema si alikuwa mweupe by nature so inamaana hajaridhikana weupe wake? na maji ya kunde wafanyaje. hawa mabinti sijui nani anawadanganyaga kujichubua ndio uzuri wanaonekana kama sanamu vile basi na wazungu nao wajichubue wawe weusi lol

Anonymous said...

Usiwe unapiga picha na hao ma super tall, unaonekana andunje!ni ushauri tu kama vip tupa kule!

But u're so cute!

Anonymous said...

Nimeamua kujitoa muhanga Sintah, upo tayari?

Anonymous said...

For the first time, mtoto wa Mwilima kapendeza,eehe na habari zake na yule mcheza show zimeishia wapi mdau!

Anonymous said...

Point yani i was also thinking huyu wema si alikuwa mweupe by nature so inamaana hajaridhikana weupe wake? na maji ya kunde wafanyaje. hawa mabinti sijui nani anawadanganyaga kujichubua ndio uzuri wanaonekana kama sanamu vile basi na wazungu nao wajichubue wawe weusi lol

Anonymous said...

Kumbe Sauda hapendezagi eeh! sasa kwanini mashosti wasiwe wanamuadvise viwalo vya kuvaa. ushosti sometimes ni kuchorana tu

Anonymous said...

Chondechonde dada Sintah,usitumie mkologo kabisa,una uzuri wa asili plz!

Anonymous said...

hongera kwa kwa ujasiriamali ndio inavyotakiwa hvyo....mwanamke kujishughulisha babuu ee na c kujbweteka!!!

Anonymous said...

ACHENI KUMUONEA WIVU MWANANKE MWENZE SINTA ACHAN NAO NAKUPENDA MUMMY KEEP IT UP!!!!!!!!

Anonymous said...

yaani ni andunje haswaaa,halafu kwao yeye ndo tall

Anonymous said...

mashoste wenyew hawajui,pwagu na pwaguzi hakuna wa kumuongoza mwenzie

Anonymous said...

achia comment andunjeeee usizibanie

Anonymous said...

Huyo nae ni mkorogo.com,anagalia picha zake wakati yupo na kiroboto na picha za sasa,punguzeni mikorogo jmn.

Anonymous said...

beutiful

Anonymous said...

Unapenda sifa sana mama punguza mashauzi mtu mwenyewe mbayaaaaaaa

Anonymous said...

da sintah mi nakupenda sana na nimfatiliaji mzuri wa blog yako. napenda nifate nyayo zako please nisaidie. nipo tanga mail yangu iwe siri. edna.mwaza@yahoo.com

Anonymous said...

Hii mikorogo itawadhuru baadae, tumieni vipodozi salama jaman, haya endeleeni mtakiona cha moto.