Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

VALENTINE'S DAY.MIMI NA MY LADIES TUMEANDAA SINGLE LADIES PARTY

lope lopez

waandaji wa party
ushoga kazi jamani
thanks ma gal Rachel kwa 
zawadi 


wale wenzangu na mimi ambao hatujielewi msimamo wetu wa maisha kwa sasa yaani kama status itakuwa single but not searching,tumeandaa ka party kadogo kwaajili ya siku ya valentine tukijipa moyo na kuwaza ni nini tufanye hata kama hatuna madushelele,so stay tuned for the partyyyy legooo
kama nawe unataka ujumuike katika haka ka party just halla@me the above #


c u there


lope lope ni jina jipya nimepewa na Martin Kadinda na Khadija Mwanamboka sasa nalo linaingia katika ile orodha yangu ya majina (usinune wangu just relax ndo kwanza jtatu)

29 comments:

anna said...

mimi nipo SINGLE nifanye nini ili nijumuike na hyo pati yenu je kuna mchango?

Anonymous said...

AHsante SINTA ina mana kwenye hii party lazima uwe single kama una boi friend auruhusiwe? je wewe jlo upo single?

Anonymous said...

Sinta una wivu sana umemuona MANGE kaandaa EVENT ya watoto yatima na wewe unakuja na SINGLE PARTY haya tupe namba ya MPESA au na wewe kwa western union mana mkishafulia mnakuja na style ya kutafuta pesa ili muendelee na maisha

ELIZA said...

safi sana mtujulishe inakuwaje na kiingilio au ni nyumbani kwako sintah? me pia ni SINGLE

Anonymous said...

safi sana wadada keep it up good JOB sinta sasa kama una mume uruhusiwi mbona party ya masharti sana

Anonymous said...

wazo zuri na sisi tujipongezee tusiokuwa na wanaume maana tuliachwa nyuma

Anonymous said...

Sinta mbona ulikuwa unapendagasana kutaja MR. ilikuwa geresha nn? so u r single...toka Juma Nature akuache kwa wimbo wa SITAKI DEMU, hujapata bwana tena?

Anonymous said...

tupe utaratibu basi ya hiyo Part jamani

LOPE LOPE said...

hamna mtu anahitaji hela ya mtu,kwa anayejisikia nipigie my no hapo juu kwa asiyetaka funika domo lako hatuhitaji kukerwa na wako ujinga

Anonymous said...

safi sana hiyo tutakuja wengi, manake waliolewa tumeshaonyeshwa na wenye ndoa zao tutajipanga nac tuolewe halooooooo

Anonymous said...

wapare oyee

Anonymous said...

wapare oyee

Anonymous said...

Juma Nature hakumuacha jamani, Sinta aliona michosho kwa mvuta bangi haya angekuwa naye mpk sasa Sinta angesoma kweli jamani

Anonymous said...

we kweli mkali umetafuta gia ya kupatia wanaume umeandaa single party ili wajue hamna wanaume mtongozwe hongera dada mtawapata wengi

Anonymous said...

Namimi nimo lope lope nitakupigia simu jioni mamy!!! duuu nimeipenda hiyo parrry hata kabla haijafanyika. Terry

Anonymous said...

OK, Sintarious nimeipenda hiyo! sasa, na sisi ma single gentle mens je,twaruhusiwa kuja?

Anonymous said...

Duuuuuuuuuuuuuh kweli hii kali, Sintah we kiboko kwa ubunifu! utashangaa anapoingia hata naniiiiiiii,kumbe ni single girl! Umewapata wengi sana

Anonymous said...

Wacha wee sikujua huko single nilishani una mr. Aibu yangu. Hiyo party Nasubiri picha. Kila lenye kheri single ladies.
Simah

Anonymous said...

tutakuja sintah tunawapendajeeeeeee jamani so good sintah shule mali mamiii keep it up

Anonymous said...

tutakuja sintah tuambie basi itaanza saa ngapi na mpaka sa ngapi pia tunahitaji kujua dress code mamii

LOPE LOPE ndio nini tena lile la JLO umeliacha sintah?

Anonymous said...

we malaya...sasa party itafanyikaje bila hela, unajifanya huna shida na hela ya mtu!!! lope lope my assssss...kafupiiiiiiii, mbwa we!!!

jullie said...

single girls hata kama mume wako ama boyfriend hayupo kasafiri je unaruhusiwa katika party? mmh inauma kwa siye tulioachana hvi karibuuni jamani acha tushehereke na wazazi na familia zetu kwa siye wenye matatizo ya hvi karibuni lkn kama vipi itakuwa poa basi tujisongeshe kwa pole pole o nimekosea lope lope limekaa vizuri.

Anonymous said...

JOKETI NA WEMA WASIKOSE JAMANI MANAKE WOTE WATIWA NA MTU MMOJA

Anonymous said...

We AnonymousJan 31, 2012 04:47 AM; una vituko, umeniongezea siku za kuishi nimecheka peke yangu kama mjinga, hivi haya meno huwa munayatoa wapi??? Joketi na wema wasikose; jamani kazi kweli

Anonymous said...

HAO WALIOJINADI WAMEOLEWA SASA HIVI TUTASIKIA WAMEACHANA.

Anonymous said...

shost we si una mr hiyo single party ya nini tena umemwagwa nni

Anonymous said...

VALENTINE DAY WAUME ZA WATU ANAOWAITA MR WATAKUWA NA WAKE ZAO, LAZIMA SIKU HIYO AWE SINGLE, ANGEKUWA NA BWANA SI ANGESHATUTAJIA JINA HUMU NDANI, WAUME ZA WATU KAZ KU'DATE NAO EHH, POLE SANA WE KIMA

Anonymous said...

qwi qwi qwi qwi, eti funga domo lako, we ndo ufunge domo lako na utulize nyepe yako maana siku hiyo kitakuwasha, tafuta dudu bandia likutulize kiraru raru we fala

Anonymous said...

An interesting discussion is definitely worth comment.
I do believe that you should write more on this issue, it might not be a taboo subject but
typically folks don't discuss such subjects. To the next! Kind regards!!
Feel free to surf my web site :: Status Symbols