Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

SIMAH KAMUGISHA NDIO MREMBO WA WEEK HII

                                                       hebu nicheki ninavyon'gara

25 comments:

Anonymous said...

JLO, mbona huweki pics za kitchen party ya mshkaji wako SAUDA bana......wanna see them!!!

Anonymous said...

mh mdada huyo yupo sweden maana naona lijibot hiloo loh wadada walioko sweden tena wanapenda kuuza sura hao mh,sintah hapo umewapata mpendwa.alafu sintah nimekuona jumamos ulikuwa mikocheni kwa kiki manunuzi yanguo kuchangia mfuko wamtoto wakike aweze kwenda shule hongera saana mdada,umependeza saana wewe mzuri sintar acha watu wachonge ila wenimrembo napenda midomo yako haina haja yakufekisha kama kina fudenge.unamidomo mizuri ya lipstic kama angelina jolie ,nihayoo.penye sifa zitolewe.vijiba vya roho mtasonyajeeeeeeeeee

Anonymous said...

Kakae unywe naye chai...........

Anonymous said...

Hakuna ubishi una uzuri wa asili,mshukuru Mungu kwa hilo. Ila kumbuka mti wenye embe ndio hutupiwa mawe.

Take care mamy

Anonymous said...

Kuhuza sura ruksa

Anonymous said...

Kati ya wanawake nao wajua ambao hawana makuu ni huyu dada. Simah nakukubali na hasa roho yako, Alafu Sintah huyu dada anakipaji cha kuigiza ukikaa karibu naye unaweza kucheka siku nzima tafadhali mtaftie nafasi huko huwa anachekesha sana.
Sophy Norway

Anonymous said...

lol lidada nalijua ilo sweden iyo shamba hata kuvaa alijui mjanja wake anaitwa nancy ndo namfundisha kila kitu kwenye maisha

Anonymous said...

du uyu sima ana lolote mshamba mmoja ivi sweden anataka kuuza sura tu

kokusima said...

thanx wapendwa, unaambiwa raha ujipe husisubiri kupewa. Wakati wa kuuaza sura na blog ya sintah nyoooooooooote mmepewa nafasi so ni wewe na kamera yako na pc kama c cm kutuma.

Koku-Simah

Anonymous said...

Ahahaha hahaa

Anonymous said...

Hasiyejua maana

Anonymous said...

Hivi kuna sehemu kulipoandikwa ana kitu

Anonymous said...

Hili lidada unalijua sababu kwa sabbu halinywi pombe likajikojolea km wewe
Hili lidada unalijua sababu halisimami barabarani kuuza uchi km wewe
Hili lidada unalijua coz halijawahi kusutwa na umbea km wewe
Hili dada unaliita hivi coz roho inakuuma koz hana shida km zako ukafilwe kwanza ndo uishi acha unafiki viroho mbaya tuma yako km unajiamini na wajua kuvaa tukichambe mavi yako we ulizaliwa nanguo changu mkubwa. Nancy kawaharibu kichwa eti kamfundisha kuvaa, tabia zenu za kuiga iga atembee na vichipi km nyinyi ndo mtasema anajua kuvaa, angekiwa hajui kuvaa mzungu angemtoa bongo?? Au mnafikiri ye ulaya kaja km nyinyi mpange foleni New africa mbakwe na kufirwa ndo mpate ela ya madili na huku mjifanye wakongo kila siku disco kutafta wazee, ibilsi inakutosha kwa

Kokusima said...

Thanx sweetheart na wewe ni noma kama jina lako. Luv u mama

Kokusima said...

Asante mdau kwa kulijua limimi kuliko navyojijua, umenifurahisha sana. eti lidada nalijua.

Kokusima said...

u got da point sweetheart.

Anonymous said...

Safi dada Simah sikuji haunijui na wapenda wadada kama wewe, na elewa siku zote mti wenye maembe ndo urushiwao mawe ni hivi walioandika kwa chuki wanatamani wangekuwa wao lakini ndo hivyo tena haiwezekani watu wenye njaa utawajua tu anaandika huku kakunja sura hahahaaaaa bi dada Big UP. Jane wa L

Anonymous said...

ThAnx My dada Janeth ndo hivyo wanaambiwa kila jini na mbuyu wake, tunawasamehe Bure na maisha yanaendelea. Wanawafanya watu washindwe kutuma picha zao Kwa kuogopa mikono ya watu, ujasiri ndo hivyo wengine tushajaliwa. Thanx again na MUDa mwema.
SimaH

Anonymous said...

Asante mpendwa wangu.
Simah

Anonymous said...

sasa mbona izi msg zote kaandika simah mwenyewe una kazi ulali eti mzungu wakati wazungu wanatongozaga wanawake wabaya ndomana ulikuja unamakegete miguuni unaongea nini unaingia ulaya tunakuona wewe jijibu mwenyewe msg kama 20 ivi

Anonymous said...

ahahaa umenifurahisha wewe mdau ni noma. ahahaaa ongeza mama.
Simah

Anonymous said...

We Malaya anonymous 01.23 acha sifa uchwala lama unajiamini jiweke humu tukuone mavi yako umenikeraje, mi sima namjua tangu shule na kuma la mamako kamwombe albamu yake ndo uje kujua unalolisema, unatafta umchafue tu mwenzio habari ndo hiyo bahati si yako mkundu unakuema. Watu wa Sweden sijui mna matatizo gani wewe huwezi kumjua sima kunizidi nilisoma naye na namjua Sana weka zako kama unajiamini. Weka humu tukuchambe. Sima ebu waonyeshe hao Malaya picha zako kabla ya mzungu aibu ziwajae, alopewa kapewa shost na kama mbaya kaumbe wako matako meusi wewe.

Anonymous said...

Anonymous feb 3,01:23 tazama kwanza saa yako shetani wa kurasini wewe, umenichekesha unamwambia mwenzio halali wakati wewe una comment saa saba na nusu usiku? U bet go and get kipigo from that hell u call hubby ulala-la. Kila siku kutuletea habari zake mtoto wa watu umemzagaza kila kona kwa maneno yako ya uhongo asiyekujua Nani wewe ulikuja ulaya una nini? Baada ya ngono kufoda ukaja kuuza mkundu huku. na lengo Lako kubwa likikuwa nini? Kaja unamwona saa ngapi we shetani mlevi wa sifa, si ungeandika jina Lako km kweli unamjua na unayoongea ya kweli. Sima huyu mbwa anakusemaga zaidi ya Haya nipe email yako nimwambie umwepuke. Ila sababu hauna wa bongo as a friends ushajua nayemsema. Akileta sifa ntamtuma kwa mange tumchambe akafie mbele. Mtajibeba mwaka huu.

Anonymous said...

simah mbona unaangaika unanijibu mwenyewe msg zote

Anonymous said...

mbona simah kazi unayo unajijibu mwenyewe