Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

THE RETURN OF JLO TZ IN DAR CITY CENTRE MTAJIKUMBATIA KAMA SI KUJIBEBA

nothing but confidence
a lil bit of education
helped this lady
hii ni kwa jlo's tuu
mimi hapa Tz na my sisy abroad
tunakwaga na hivi vitu vya kutu identify the jlo's

nakumbuka miaka fulani iliyopita before her death ma BFF AC wa mpakanjia aliniambia jlo hivi kwanini un
aenda kusoma banaaah,,utaniachia mji mwenyewe maana mimi na Amina we had so many things in common
yaani when  think of her i always shade tears jamani ,nikamwambia acha tuu niende mamito maana life hii ya bongo mishe mishe siziwezi without a knowledge basi akanielewa,,
sasa leo i have got what i wanted in ma life and she isnt there to share with i,,it sucks kwa kweli mammy AC you will always be in my heart.sasa nimerudi bongo as you can see na hayupo tena imebaki history
 iam here to stay wale haters nawaambia you always make me famous pale unaponichukia
mimi simchukii mtu i do my stuff kwa kujifurahisha sasa kipi kinakukera\

achana na mimi bana focus on your own life coz got mine to handle

15 comments:

Anonymous said...

kweli we ni JLO mami wakuache miaka mia nane umemtaja AMINA umenikumbusha mbali sana dia mungu amuweke mahala pema peponi.....

Anonymous said...

safi sana sintah endelea kutembeza bakoraaaa sintah funika bovuuuuu

Anonymous said...

Yani kuhusu haters umeongea kweli Sinta, i am one of your fancy, just ignore them. Mi nafikiri watz tumelaaniwa!!! wakishakuona tu mtu unamaendeleo basi wanaanza kuchonga midomo yao. Kaza buti mama....watasema mwisho watalala!!!!

Anonymous said...

Apumzike Kwa Amani mdada nilikuwa na mkubali na nikiongozi wa ndoto yangu moja na naimani ntaifikia wakati ukifika. Songa mbele Sintah jipe kile kitu inataka binadamu huwezi waridhisha ni Kawaida yetu.
Simah

Anonymous said...

hebu toka hapa unaambiwa ukweli unafikir watu wanakuchukia,wewe ni fala na utaendelea kua fala,uchukiwe kwa kipi,mikono kama mbeba vyuma

Anonymous said...

dah sinta leo umenifurahisha umenielewa umeacha kupaka ile makeup yako kwakwel umependeza sana mada zako nazo nzuri sasa naanza kukuelewa

Anonymous said...

umelaaniwa mwenyewe...eti fancy...sio fanatics tena???

Anonymous said...

Hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa yaani we anony umenichekeshajeeeeeeee ooh my, eti mikono kama mbeba vyuma , jamani. ila ukiangalia ni kweli kabisa utazani ni boxer

Anonymous said...

Ha ha ha kazi kweli kweli, waliosoma wanaonekana kwa matendo na maneno ila wewe sijui ulisoma wapi huko ambako hata identity yako hujui mpaka unacopy majina ya watu eti jlo

Anonymous said...

Kama angejiumba ningekuwa sawa kumkosoa, kama wewe umeumbwa vizuri mshukuru Mungu wako lakini usiwatoe kasoro wale ambao hawakupata bahati ya kuumbwa na mikono isiyo ya ki boxer!!!

Anonymous said...

kaleni makakojoe mkalale kama jina la jlo linakuudhi tena vaeni na pedi mana kwa stress za hili jina mp zenu hizo zaja

Anonymous said...

we anon hapo juu simdanganye mwenzako kabsaaa.....huo ni ujinga na kutokujikubalu, kisa cha kuacha jina alake na kutumia some one's identity ni nini, afu uniambie yeye ni msomi, msaidie mwenzako aache kuwa mjinga kiasi hicho. wasomi hata hawapo hivo. afu we sinta umesoma nini mbona una kelele sana na hiyo shule, au hukutegemea. ooo nilisahau we ni mswazi kiaina

Anonymous said...

sema ww mama, huyo jlo hana hata idea ya existence ya huyu kikaragosi sinta, hilo jina la sinta limemfaa sana, sijui anataka nin, nyang'au ww

Anonymous said...

unaboaaaaaa...yaani kila nikipitia blog yako naondoka na hasira. asa msomi gani English yenyewe broken, kujisia how you have made it wakati unaishi maisha ya kawaidaaaaaaaa, u MC na Ucorporate hauonekani...maneno meeengiiii hatuoni mafanikio yenyewe.

pls, shut this blog down!

Anonymous said...

hahhah na ungepewa hilo booty la jlo unalohisi unalo wakt huna na elimu ya uchochoroni unayotambia pangechimbika!lakini kwa kua hamna kitu namaanisha empty set....kalale kuleeeee!