Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

PS EXCLUSIVE ( WEMA GOT A NEW RIDE)

with or without Diamond she
can live

Lope lope with Wema
                                                      mkoko wa dada wema




hii ni breaking news
kwa wale msiojua Wema Isaack Sepetu amepata her own ride this week,sasa mimi ningependa kuwaasa wadada wa mjini,jamani jamani chonde chondeeeee msije mkafanywa vya kufanywa ili na nyie mpate Lexus,amini kila mtu ana bahati yake nawe utapata yako kuliko kwenda kutafuta kwa udi na uvumba,VITAKUTOKEA PUANI.
Wema congs mammy,wenye wivu mtasonyajeeeee?maana ooh vile
kazi kwenu
zoom upate jina litakuja LEXUS

49 comments:

Anonymous said...

hahahahahahaha ila angetulia hakafanya ya mna kuliko kuendelea kuwa na scadal kila kukicha mna tumemchoka magazetini hasa scadal za wanaume duh kazd uyo dada kama wampenda rfk yako mshauri hatulie wanaume wanamzeesha kma hajijui.

Anonymous said...

scadal ndio nini na wewe? sema scandal...!

Anonymous said...

Hongera zake mdogo wetu.
Simah

Anonymous said...

yale yale ya kina Ray na magari, watu tumebadilisha magari mpaka tumechoka, tunataka kuona nyumba kama Mamvy...hapo ukute card ya gari ina jina la mtu mwingine, lol.

Anonymous said...

we inakuhusu nini? mbona mnapenda kuangalia ya wenzenu tu ya kwenu hamyaono?? we unajiona uko sawa au kwa kuwa umepewa mdomo mkubwa kuzungumzia wenzio. mwacheni jamani kila mtu ana maisha yake. keep it up Wema.

Anonymous said...

safi sana wema wachome watu na bahati zao mtaishia kufunuliwa bureeeeeeeeeeeeeeeee

Anonymous said...

Mtoto mrembo anahitaji ushauri kwa maana mhhh.....hatari!!!!! uzuri waweza upoteza tukakusahau mara moja, japo kila mtu hufa kwa ahadi ila ukijikinga na kujistiri mambo mengine yaweza kukuepuka kama UKIMWI! Nakupenda sana WEMA umzuri sana, jaribu kujiepusha na vyombo vya habari na wanaume maarufu, naomba iga mfano wa HOYCE TEMU, wewe ni mzuri kaka yeye au kuliko na unastahili heshma hivyo jiheshimu, utaheshimika katika jamii na maovu yako yote yatafutika, maovu hufunikwa kwa mema, nakutakia maisha mema, UBARIKIWE SANA, Amen!!!!!
Yours,
Mshauri Nasaha.

Anonymous said...

Mtoto mrembo anahitaji ushauri kwa maana mhhh.....hatari!!!!! uzuri waweza upoteza tukakusahau mara moja, japo kila mtu hufa kwa ahadi ila ukijikinga na kujistiri mambo mengine yaweza kukuepuka kama UKIMWI! Nakupenda sana WEMA umzuri sana, jaribu kujiepusha na vyombo vya habari na wanaume maarufu, naomba iga mfano wa HOYCE TEMU, wewe ni mzuri kaka yeye au kuliko na unastahili heshma hivyo jiheshimu, utaheshimika katika jamii na maovu yako yote yatafutika, maovu hufunikwa kwa mema, nakutakia maisha mema, UBARIKIWE SANA, Amen!!!!!
Yours,
Mshauri Nasaha.

Anonymous said...

duuuuuh! huo mkorogo wa wema umekolea haswaaaaaaaaaaa,mpe hongera zake bana kale ka bwasheee kalikuwa kanampotezea muda wake bora amekapiga chini.watu wazima ndio mpango mzimaaaaaaaaaaaaaa masharobaro zzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz
Lope lope natarajia kuliona gari lako soon.
Much love baby
kisses.

Anonymous said...

Hongera Wema on Point Jlo katika posts zote kuwahasa watoto wa mujini wasiharibu marinda i like it maana ni kweli wakiona mwenzao kapata basi nao kutwa kutafuta mabwana wataharibiwa na kuishia kupata ngoma. Wema sasa utulie ulelewe mdada achana na scandals za mujini uliyempata mpende na akupende kama ni mume wa mtu chuna vizuri mradi mywife asijue na usiharibu ndoa ya watu. mwisho wasiku akili kichwani siku ukiachwa uwe upepiga hatua siyo urudi squire one au zero kabisa i hope unanipata bibie all the best Diamond almasi hapo lazima ajichinje atakomaje he so wasted mtoto mzuri's time. alikuwa anasema wanini wanaume wenzake wanajiuliza watampata lini halo halo mjini tambarare milima iko usukumani

Anonymous said...

nyooooko!!! umejipendekeza kwa wema,sa si unamuangusha shoogaako jokate!!! yani wema ndo alitakiwa awe JLO, at least ana mvuto wa ki jlo sio we kuma!!!

Anonymous said...

Lexux my butt, sasa kwani kuwa na Lexux ndo nini? mbona watu washamba jama?

Anonymous said...

Kweli ndugu yangu hapo juu wanaume wanamzeesha hajijui tu huyo atakaeoa anachukua scraper.

Anonymous said...

HUYO TULISHAMZOEA CHUPI MKONONI NI KWA MUDA TU. YANI NA KUUZA K MIAKA YOUTE HIYO NDO KAGARI GANI HAKO JAMANI. AWE TU SINGLE TUJUE MOJA

Anonymous said...

im happy for u wema huyo diomond alijiona bila yeye huwezi akakutumia kama tambala!! sasa imekula kwake mazima mana wewe ndio ulikuwa unampa umaarufu kaza roho achana na ule uchafu wapo watu wema nje kwa ajili yako kwani yeye ana nini??na alikupa nini??yani wema wewe ni mzuri sana kuwa na mwanaume wa type yako watu wanakutumia ili wapate u super staa,pls pls siku nyingine usirudie

by
judth

Anonymous said...

hongera zake ila magazeti ya jana yameandika kwamba hawezi kuishi bila huyo almasi wake kweli? hebu Sinta jkaeni na huyo rafiki yenu asirudi kwa huyo bwege manake anamsema vibaya sana kwani yeye ni nani bwana, hongera Wema ungezeeka kwa kumpikia mama mkwe

Anonymous said...

Mi naomba utuscanie kadi ya gari, je ina jina la Wema?!

Anonymous said...

tEHETEHEEE!! Mwambie atulie sasa
Joseph asije mwacha bure

mariam said...

kiukweli nimempenda wema bure kabisa na wish siku moja nikutane nae japo niongee nae ,sasa hvi asonge mbele na aachane na skendo za kila siku, ni mwanamke anaejiamini na mkweli siku zote ktk mapenzi, she talks sense when it comes to relshp, love her mooo

Msukuma original said...

Wema umetisha mammy! Yaani mimi nakupendaje, motto m cute, yote maisha, achana na hake ka almasi uchwara, hakana hadhi ya kuwa na motto mzuri Kama wewe bana! Yani Leo ntajitoa out kujipongeza kwaajili yako mrembo wangu. Jlo kaza buti, visokorokwinyo vinasonyaje!!!

Anonymous said...

congrtn Wema and keep it up,but nataka ufanye maendeleo zaidi ya hayo ili wapate lakusema loooo!

jane bomba

Anonymous said...

andunje nawe mwenyewe umeona hilo ndio gari la kulinadi,acha ushamba,

Anonymous said...

Ebu lete umbeya, mume mpya anaitwa Joseph?

Anonymous said...

hahahaha nimekupendajeeeeeeeeeee,tena je kma kweli isiwe kapewa kwa mda mambo yakiisha anaambiwa haludishe.

Anonymous said...

He!!! makubwa Joseph nani tena ila anabahati akiachika tu kidogo anakuta wanamsubiria mlangoni

Anonymous said...

me napita waungwana.......

Anonymous said...

Wema songa mbele, anagalia future yako zaidi achana na hawa masharobaro hawana mapenzi ya kweli.

Anonymous said...

joseph ana benz nyeusi ana hela ndefu huyo

Anonymous said...

watoto someni mpate future zenu achaneni na kupata mali za uzinzi jamani muogopeni Mungu mbona bado mda umri mdogo ngono zinazeesha jamani lol kila kukicha wnaume wapya hivi mbele za Mungu mtasema nini tulipitia huko hakuna la maana ni kujiongezea midhambi tu

Anonymous said...

Hongera zake jamani. nampenda sana wema ni mrembo lakini haangalii wanaume wakuwa naye mwanaume kama diamond wala hafananii jamani . muulize Nargis amepata mume wa maana jamani sio wasanii sijui nini y? usiniangushe tafuta jamaa unayeendana naye hata kama sio maarufu

Anonymous said...

gari gari utalala huko?? angetuonyesha nyumba kama ya mwamvita makamba tungeona ana akili gari ni nini ushamba tuu,nenda U-turn cheki nyumba ya mwamy mbona utaota usiku wewe yale ndio maendeleo sio huyu kutwa magazeti

Anonymous said...

hata iweje na mikashfa trillion me lav wema so much kacute jmn Mungu amuweke tuje tuone uzao wake utakuwaje...hongera wema wengine hata bajaji hatuna TUMIA ULICHONACHO UPATE UTAKACHO wewe ni wewe na utabaki kuwa wewe.....

Anonymous said...

ndgu unautani nn eeh wawe na mjengo kama ule c watajiona awafi wala hawako bongo,yule daa kafunika na ndo tunaweza kusema yy ndio CELEB WA BONGO wengne ovyoooooooooooo.

Anonymous said...

mmmmmmh!!! sio JOSEPH KUSAGA kweli????????/

Anonymous said...

ila mnao dis gari la wema kwa kweli ni wanafki tu. Lexus sio gari la kusifiwa like we have never seen it before lakini sio gari la ku sema eti onho yani ndo cha kusifia! kwa level yake amejitahidi, ni maendeleo japo ingekuwa amenunua mwenyewe ingenoga zaidi. nani asiyejua kama siku hizi kumiliki gari sio luxury, inakuwa kama hitaji muhimu kutokana na mazingira yetu yalivyo. nini lexus hata angenunua starlet, duet, vitz, corolla jamani ni maendeleo kwani sio kila mtu anaweza ku afford japo kuna wengi wanatamani japo hata wavipate. hivyo kwenye ukweli tuseme ukweli kwa level yake anastahili pongezi, kwani binafsi Lexus naizimikia sana tu, ni chaguo tu. HONGERA DADA.

mama candy! said...

haya jamani napita tena, sinta weka hata mkeka wapita njia tunywe uji wa kungu, turembue, tukojoe, tuoshe nyapu zetu then tukalale! wao na magari yao, na sie na nyapu zetu!

Anonymous said...

"Wema kununua gari" Is it a breaking news?!!!! Sintah nina wasiwasi na weledi wako

Anonymous said...

Nawe kauze yako upate hata bajaji,toka umeanza kuuza umepata nini wewe?? heri yake yeye hata amepata hako! umebaki kumnyooshea wema kidole wakati nawe marinda yako yooote yalishalegezwa.....!kwenda huko wewe kutwa kuchwa kubaki kula vumbi tu wakati wenzako wako kwenye viyoyozi

Anonymous said...

Katuscanie mkundu wako tuone kama bado una marinda achana na gari ya wema, haikuhusu iwe yake au isiwe yake

Anonymous said...

Hehehe shem Joseph!!!!Hongera mwaya Wema, hyo diamond atajiua mwaka huu, kula mihela mwaya ila usimsahau Mungu wako na kuwajali wenye shida

Anonymous said...

JEALOUSY IS A SICK&SAD DISEASE,YAKO IKO WAPI WW UNAYEPONDA LEXUS AU NDO WALE WALE WANAOAZIMA MAGARI,NYOOO KAFIE MBELE MSAGAJI MKUBWA MUACHE WEMA APAEEE

Anonymous said...

NI KWELI KABISA HAO WANAOLIPONDA HILO GARI UKUTE HATA MKOKOTENI HAWANA,CHA MTU CHAKE HATA KAMA LEVEL YA CHINI

juliana deus said...

hahahhaah nimefurahishwa na maneno ya mama candy mana ni yale ninayoyasikiaga kwa wasicha na wa mtaani kwetu mhhhh nyapuuuuuuuuuuuuu

Anonymous said...

hongera wema tena saaana tu mungu akuzidishie , inshaalah

Anonymous said...

ha ha ha ha ha ha ha ha ha uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii jamni ascan marinda ha ha ha ha ha ha ha ha wabongo raha sana by seda kibonge

Anonymous said...

Naenjoy kuingia humu jamani maana kuna watu wanamanenoooooooo mmh!

Anonymous said...

JOSEPH GAN JAMAN HUYO, EBU TUPENI INFORMATION, SA HIV KAAMUA FANYA MAMBO KIMYA KIMYA HUYO WEMA EHHH

Jasmine said...

Jamani eeee...
Hili si ndio gari lililogongwa la kuazimwa na Mume wa mtu??
KIKO WAPI???
Aibuuuuu
Eti Wema anunue gari,kwa pesa gani?? Ya kuuza jiuchi chakavu??

Anonymous said...

Jamani hii gari si ndio kapigwa nalo juzi na mke mwenye bwana alomhonga Wema? Tena gari linyewe kanunua mke wa huyo bwana