Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

KIDOTI FASHIONS IMEKUJA KUWASHIKA

huyu ni model wa kidoti fashions
ps,diamond na kidoti
                                                           4ever shostito

hayawi hayawi sasa yamekuwa ni Kidoti fashions imekuja
kidoti ni Jokate na aliamua kuuita Kidoti makusudi kwasababu yaile black spot pembeni ya mdomo wake, kuna wale wenzangu na mimi walikuwa wanasema sana ooh Jokate ule ni wanja
jibu si wanja ni kidoti,
ukitaka jokate akutoe chicha just wasiliana na jlo Tz akupe full data kwa namna gani utampata
namtakika kila la kheri Jokate na project yake mpya mammy Mungu atakusaidia there is nothing comes in a silver plate,work hard my gal u will achieve.

4 comments:

Anonymous said...

unapenda kupokea simu eeh?umezoea usecretary nn?Jokate yuko fb,na pia kama ni biashara anafanya aweke namba yake..sasa ww tukupigie ili?
grow up girl,sio kila kitu unataka umaarufu mbuzi...this is buzness .mimi mchumi,it is waste of money and time..if she is in buzness basi am sure atakuwa na namba.
ila na ww nitakupigia nikitaka nifanye biashara na ww,does it make u feel better now?..

nina bonita said...

1st mummy sinta hongera 4 this amazing blogspot wewe ni mzuri na mpaka mtu anacomment shit manake he o she is yor fun coz kafungua the blog........a ways about kidoti thats abig step for binti huyo may god always be wth yall fighting gals
love yah

Anonymous said...

duh,yani hizo pamba mmemfanya kijana wa watu aonekane kama wa manzeseee kabisaaa.bongo bado hatujafikia level za mataputapu kuvaa supa staa.

Anonymous said...

Kokea hapo kijana wenyewe ni wa kulekule manzese hata akiishi masaki awezi kubadilika kabisa.mdomo mkubwa chapati hakunji pumbavu mkubwa na we acha upambe.