Inawezekana head phones ni fashion ya bongo movie. Bora Sintah umeondoka kwenye huo ushamba wa bongo movie. Mtu unaenda kwenye shughuli umeweka makorokoro kibao, kuna mdau mmoja alicomment ATTENTION SICKER na nimeikubali.SINTAh uko wapi mbon kwenye picha hauonekani pls uwe unatuwekea na picha zako maana wengine wakienda kwenye party bana hawajui kuvaa kabisaaa, bora tuwe tunakuangalia wewe na wengine.
Jamani wasanii wa filamu washamba sjaona sasa hizo head phone za Lulu na Jack za nini mbona mwachekesha jamani kuharibu shughuli za wenzenu na vitu vya kuiga manake hapo mnamkoga nani na wewe Jack kuvaa kwenyewe ovyo na hayo madude ndio kabisa Sinta waambe wenzeo wawewanaweka kwenye pochi wakija sehemu kama hizo
hivi hizo headphnes wanazovaa hao wasanii kila mahali hata pasipofaa kuvaa ndio fashion now au, kama huyo wolper, lulu na uwoya pia nimeshauona hebu mtujuze kama ndio mupya iliyoheat now
Irene uwoya anajua sehemu ya kuvaa hayo ma headphones yao, ktk wasanii wa bongo movie wnaojua kuvaa ni wema na lulu lkn lulu hayo ma head phones big no umeniangusha sn, sinta ina maana hujamjua huyo aliye na uwoya ni odama au jenipha? Pia wasanii wengine kila siku muonekano wao umekaa kichangu changu ndo maana hamuheshimiwi km anti ezekiel
ahahahahahah mbavu zangu mie! wabongo mnaniongezea siku; hizo swaga zilizoanzishwa za maheadphone kweli mnafaa kuingia ze comedy! sintah ukiiiga tu nitakushusha hadhi upo juu mumy huitaji headphoneu watu wakuone lol!
YANI KIFUPI NAONAGA MA DJ NDO HUVAA HIZO SASA ME MWENYEWE NIMESHANGAA HIYO NI YA WAPI. KAMA MNATAKA UASISI WA MA HEAD PHONE MMECHEMKA TAFUTA KITU YINGINE JAMANI KHA
aunt ezekiel ni black how come ameshonea weaving ya rangi hiyo?au ndo upande wa mafashion yupo nyuma pia hajui kuvaa yy na rafiki yake walper hawajapendeza.
13 comments:
Inawezekana head phones ni fashion ya bongo movie. Bora Sintah umeondoka kwenye huo ushamba wa bongo movie. Mtu unaenda kwenye shughuli umeweka makorokoro kibao, kuna mdau mmoja alicomment ATTENTION SICKER na nimeikubali.SINTAh uko wapi mbon kwenye picha hauonekani pls uwe unatuwekea na picha zako maana wengine wakienda kwenye party bana hawajui kuvaa kabisaaa, bora tuwe tunakuangalia wewe na wengine.
Jamani wasanii wa filamu washamba sjaona sasa hizo head phone za Lulu na Jack za nini mbona mwachekesha jamani kuharibu shughuli za wenzenu na vitu vya kuiga manake hapo mnamkoga nani na wewe Jack kuvaa kwenyewe ovyo na hayo madude ndio kabisa Sinta waambe wenzeo wawewanaweka kwenye pochi wakija sehemu kama hizo
hivi hizo headphnes wanazovaa hao wasanii kila mahali hata pasipofaa kuvaa ndio fashion now au, kama huyo wolper, lulu na uwoya pia nimeshauona hebu mtujuze kama ndio mupya iliyoheat now
napenda wema jaman kwenye swala la kuvaa huwa akosei huyu mtoto
huyo shilole kajaa mashauzi mafanikio kidogo mashauzi mengi maana yake nn mmmmh ovyoooooo
Mwambie Amba Rose atoe hilo begi si anapenda kukaa uchi atoe basi tumuone
amber atakuwa yeye, sioni hata alichofanana nae. na ushamba wao nin sasa kujibebesha ma Headphones kila mahali.
Irene uwoya anajua sehemu ya kuvaa hayo ma headphones yao, ktk wasanii wa bongo movie wnaojua kuvaa ni wema na lulu lkn lulu hayo ma head phones big no umeniangusha sn, sinta ina maana hujamjua huyo aliye na uwoya ni odama au jenipha? Pia wasanii wengine kila siku muonekano wao umekaa kichangu changu ndo maana hamuheshimiwi km anti ezekiel
ahahahahahah mbavu zangu mie! wabongo mnaniongezea siku; hizo swaga zilizoanzishwa za maheadphone kweli mnafaa kuingia ze comedy!
sintah ukiiiga tu nitakushusha hadhi upo juu mumy huitaji headphoneu watu wakuone lol!
honestly;huyo sintah mwenyew cjawah muona kapendeza atawashaur nin wenzie,napita tu
Yani ushamba tu ndio ulio jaaa, kisa Uwoya aliyvaa kwenye BSS, basi kawapa wezie fashion kila mahali headphone hadi aibu kuharibu shuhuli zawatu tu.
YANI KIFUPI NAONAGA MA DJ NDO HUVAA HIZO SASA ME MWENYEWE NIMESHANGAA HIYO NI YA WAPI. KAMA MNATAKA UASISI WA MA HEAD PHONE MMECHEMKA TAFUTA KITU YINGINE JAMANI KHA
aunt ezekiel ni black how come ameshonea weaving ya rangi hiyo?au ndo upande wa mafashion yupo nyuma pia hajui kuvaa yy na rafiki yake walper hawajapendeza.
Post a Comment