Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

CONGRATULATIONS SINTAH



ni saa kumi na mbili  muda wa kule alipokuwa na akanitwangia na kuniambia kaka kazi yangu inaanza kuzaa matunda ni watu takribani 60 walioenda na 20 tuu waliopewa nafasi ya kuandika vitabu viwili the impact of girl child education na cha pili kwanini viongozi wa Africa wana'ngangania madaraka na yeye akiwa ni mmoja wa wale 20
Sintah ataenda Adiss Ababa kesho makao makuu ya Africa Union kuanza kukusanya material ya kazi hizo
kumbuka alianza na mission in Darfur akiwa mwaka wa kwanza shuleni na sasa amehamia United Nations office to the African Union akiwa anafanya kazi za kijamii za kujitolea  pale,go go go jlo labda ipo siku watakupa kazi maana unatoa sana mchango hapo

NO BBM,FACEBOOK,TWITTER,PHONES,INTERNET MAISHA YAKE ANATAMANI  ARUDI KESHO,WEWEEE FANYA KAZI ZA KIJAMII HUKO ACHA KUTAKA KUJUA YA HUKU

these people miss you a lot Nargis,Jokate,Saada,Ida,Chabby,Sauda, na wengneo wengi tuu

22 comments:

Anonymous said...

sinta,i know u very well.grew up same street.for this news.i got 3 words for u girl YES U CAN!iam very happy for u!

Anonymous said...

Vingine vyote kazi nzuri na Mafanikio mema ila hilo JLO linakuharibia kila kitu.

Anonymous said...

Hongera sana Sintah ila wewe unayemuandikia unapataje habari? mpk unajua kuwa kamiss kina fulani sasa hivi yuko sehemu fulani eheeee najua utaiweka kapuni hautasubutu kupost hii comment yangu unajua unashangaza maana unafikiri watu wote wana akili kama zako.
NO BBM,FACEBOOK,TWITTER,PHONES,INTERNET MAISHA YAKE ANATAMANI ARUDI KESHO,WEWEEE FANYA KAZI ZA KIJAMII HUKO ACHA KUTAKA KUJUA YA HUKU

IT said...

kapiga cm mara moja kuliza kama nina post vitu na alitumia simu y setalite za Un sasa hana mawasiliano ina maana atakuwa amemiss sana maana yeye na Bbm ni kama uji na mgonjwa
sasa ataachaje kunipigia mimi kuniuliza kamaime post nini katika blog
najua wamemiss maana mdio mashosti wake wanaompenda wengine wana fake tu

mkweli said...

we IT nawe ni walewale, unajuaje kama wenyewe hawajakuambia? kwanza unavyosema wanampenda uliingia mioyoni mwao au unajisemea tu, najua hii utaibania ila ujumbe umeusoma maana ni wako huu wala si wa jamii.

Anonymous said...

Umuelezee sinta kuwa 99.9% ya funs wake wanapenda atunie jina lake la CM anu hili la Sinta lkn lile lingine hata sasa hivi huyo mdada anapondwaje kwa kukosa maadili amesasambua kwenye advert ya Fiat,kila mtu anamkandia,anyway wewe IT huna kauli nzuri lakini unaiweka hii blog active kuliko hata huyo owner,so kuna vitu vichache itabidi ujifunze ikiwemo kuwa mpole manake matoa comments wanaweza kukupandisha hasira tu kwa makusudi sasa ww ukikurupuka na kujibu mbovu unakuwa unachemsha!! lakini mi nimependa upo active sana.

Anonymous said...

kwanini wadada wa Tz mnapenda kutangaza vitu ambavyo hamfanyi au havipo? Sintah acha kudanganya watu, acha kujitangazia, acha watu wakusifie kwa kile unachofanya!!

Anonymous said...

weraaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa amproud of my gurl rahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa gogoggogogo SINTAH

Anonymous said...

Uongo mtupu mbona watu chungu mzima wapo huko na wana simu za mikononi kwaniyeye alishindwa kununua card? Anataka kujifagilia tu.

Anonymous said...

HAHHAAAAAAA HUYU IT NAYE HAMNAZO BORA MMESHASHTUKIA KITU. AKUULIZE KAMA UMEUPDATE KITU ILI IWEJE KWAMBA NDO KAZI ILIYOMUWEKA HAPA MJINI. HALAFU KITU KINGINE WEWE SINTA HATA UKIWEPO HUWA HUNA TABIA YA KUPOST DAILY INACHUKUA HATA WIKI KIPINDI KINGINE SI JAMBO LA AJABU KWA BLOGGER AKISAFIRI NA TUNAJUA AMESAFIRI TUANZE KUTAKA POST CHA MUHIMU SISI TUNASUBIRI PICHA TUMPONGEZE. HIZO BLA BLA NYINGINE SIJUI KANIPIGIA ILI KUJUA KAMA NIMEPOST NOOO PLSSSSSSSSSSSSSSS.

juliana deus said...

gooooooooooooooo gallllllllll we are happy for u ooogoshhhhhhhhhh ua so amazingggggg gal plz IT wa ps blog ucbane hii

Anonymous said...

kweli wewe ni IT... blog sasa iko kwenye mpangilio maana akiwepo Sintah anaweka mipicha mikubwa mpaka inapitiliza hadi tamplate inakuwa haieleweki tena.Plz akija mwelekeze awe anaweka saizi kama hiyo mbona tunaona tu

chimami said...

baya

Anonymous said...

bayaaaaaaaa

Anonymous said...

bayaaaa

Anonymous said...

haaaaa!!inashangaza sana, wanamdanganya nani?
hata kama yupo huko, FOR WHOSE INTEREST!!!
come on!!!

Anonymous said...

is this IT a lady or something, i don understand the way she is wring her post, if she is a lady i will excuse her, if not a lady she will be something else.

Anonymous said...

sasa hao mashosti zake walikuja kwako wakakwambia wamemiss na umejuaje wengine wanafki me naona childhood ndio mana huwa amafiki mbali kwa utt na kuji show off... akienda na aende akifanikiwa is good for her and her family acheni ushamba... shosti hawa ni wa mjini hakuna ata mwenye msaada hapo ujing mtupu rabda kwenda kwenye kitchen party

Anonymous said...

sinta wewe ni mbaya sana hivi unajijua

Anonymous said...

Umepata kaintern au volunteer nanga inapaa utafikiri wewe ndio katibu mkuu wa UN, je ukiajiriwa itakuwaje?

Anonymous said...

hongera sana dada achana na wanaotaka kukuvunja moyo. kama mbaya au huelewi post zake y do u west ur time kuzisoma pumbavu inahusu kwanza

Ray said...

sinta kwani sidiria unavaa size gani?