Sintah.Com Launched

Karibu Sintah.Com. Bonyeza Hapa Kuingia Sintah.Com

DUAH DUAH AT LATIFA'S HOUSE



                aluuuuh mwanamke mkao


             mashostito
thanks sauda ure a true friend

               


ni muhimu sana kumkumbuka Mungu kwa kila kitu,nawashukuru wote mliokuja na Mungu awajalie sana

9 comments:

Anonymous said...

sinta umependeza sana.unasura nzuri ila nakuomba chonde usiendelee kujikoroga jamani,unamuona mwenzio sauda kama kinyago jamani,kah.yaani inafikia mahali hata kwenye kupigwa picha anakuwa hana amani tena yaani amekuwa kama kinyago kabisa jamani mkorogo huo wakina dada kuna siku mtakumbuka rangi zenu za awali nahazitorudi tena.hayaa.mdau sweden.

Anonymous said...

huo mkorogo wa Sauda Mwilima.Kwanini anakuwa hivyo looooooh!!!!

Anonymous said...

Sintalicios,mtt wa kike uko juu. Hembu tujuze kulikuwa na nini? ukisema dua unamaanisha nini? tafadhali tujulishe wengine. Otherwise uko smart as usual.

Anonymous said...

Eheee kumbe ndo shosti wako wa karibu. Ndo maana make up sikunyingine zinakuwa kama yeye. Nadhani umenielewa hapo

Anonymous said...

ivi jamani bado kuna watu wanajichubua kizamani km sauda??? sijui ni cream au carolight hata sielewi mpk mvuto unapotea lol ..... yani Dotinata sura ipo km analia kisa macream cjui akitoka kuamka inakuwaje mana hapo nnaposema km analia ndo kajipodoa ivoooooo

Anonymous said...

kwa kweli mkorogo nouma sana,hata dida pia hana mvuto at all,naona na wewe unakoelekea siko.jaribu kutimia cream za kukufanya uwe soft tu sio mweupe dear,u r beautiful usijiharibu na hiyo mikorogo! muangalie dida,sauda na dotnata yaani nakwambia hata poda hazikai jinsi wamechoka utadhani wa mwaka 47 lol!!!

Anonymous said...

huyu Sauda si ndo yule alienda kwa shekha kujifunza kujimake up akapewa maybelline! masikini wala haikumsaidia! Mkorogo kweli ni noma! hata utumie maybelline!

Anonymous said...

Sauda ni m-bad jamani duuuh mh

Anonymous said...

Jamani sijawahi kucomment hata siku moja ila Sinta na hyo shoga yako Sauda embu acheni kutumia hyo mikorogo maana mnanyata mnakuwa kama manyani Wazee... aliyewaambia nyie kutumia mkorogo ndio uzuri nani??? kwa taarifa yenu Black is beauty mwambie na shoga yako muache tabia mbaya.